CCM ijitoe kwenye Maridhiano kama matusi yataendelea kwa Rais Samia

Kumbe lengo lilikuwa wakubaliwe kuiba, haitatokea wezi wakubwa mmezoea. Achani hayo maridhiano na 2025 mkalee wajukuu zenu ili nchi iendeshwe na akili kubwa.
 
Sio kujitoa ktk maridhiano bali ccm hamieni kwa warabu huko matahira wakubwa ninyi.
Hatuwezi kukaa pamoja na wasaliti ninyi mlio uza utu wetu kwa uroho wa fedha.
 
Mbona hamkusema JPM alitukana aliposema "Ni kichaa tu anaweza kukubali ule mkataba wa Babamoyo" sasa ule ulikuwa wa Bagamoyo ambao ulikuwa na nafuu, je huu wetu wa milele je angekuwa neno gani ndugu msomaji?
Kweli
 
Maridhiano na nani maana nikama inastage mambo yasiyoeleweka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…