Nawaonya CCM kwa mara ya kwanza kwamba, kupuuza na kutupilia mbali mtindo wa kuendesha nchi kwa alivyokuja nao hayati JPM, 2025 lazima iwagharimu
Ninao uhakika juu ya hili, endapo CCM Kitaendelea kupuuza yote mema, na misimamo thabiti ya namna alivyokuwa nayo kiongozi wa awamu iliyopita hayati JPM kwa kuitupilia mbali, 2025 siyo mbali, Historia itaenda kuandikwa upya na kwa mara ya kwanza, Tanzania itakuwa mikononi mwa msiowapenda!
Bibafs, kwa chama chochote kitakachokuja na slogani ya Magufulification kitapata kura yangu, na nitakuwa wa kwanza kufanya kampeni ili kumng'oa CCM, naamini stakuwa peke yangu, ni wimbi kubwa la Watanzania watakaounga mkono chama hiko
Ndiyo, Hayati JPM anayo makosa mengi, ila pia anayo mazuri mengi
Machache kati ya mengi mazuri aliyokuwa nayo,
# Hakupendelea nchi yetu iwe ombaomba
#Hakupendelea nchi yetu tujione wanyonge na kujiita sisi ni masikini, hakupenda kabisa tujivunie umasikini, kokote alikotembea alisema kwa ujasiri kuwa Tanzania sio masikini
# Alitupilia mbali na kukataa katakata miradi yote ya kinyonyaji kama mradi wa Nandari ya Bagamoyo
#Alielewa madhara ya kama kiongozi mkuu kukubali kuwa sasa tumeelemewa na Korona na tunahitaji misaada zaidi ya Msaada kutoka Kwa Mungu Hili nakili kuwa linaupinzani mkubwa kwa sababu kuna wanasayansi hudhani Mungu na sayansi ni kama vita vya tembo na nyasi licha ya hivyo huwa inaeleweka siku zote kuwa Mungu ni zaidi ya sayansi
#Aliwakemea wote wenye kutaka kuleta fyokofyoko bila kujali umaarufu wao, na ndiyo maana hatukushuhudia ujingaujinga wa shirika la Tanesko kukatakata umeme kama ilivyo sasa, misingi hii inapaswa isimamiwe kwa nguvu zote ili tutoke
Jambo lingine la kusisimua, JPM aliamini hasa ukiwa kiongozi unayesimama kwa ajili ya kutetea rasilimali za nchi, kifo huwa ni rafiki mkuu wa mtu huyo, Yeye hakujali
.
Tumpate wapi mtu kama huyu asiyeogopa chochote kwa ajili ya wengi?
Naam..! kwa maana hii, huu ndio unapaswa kuwa msingi wa nchi yetu, anayestahili haki apewe na mwenye kuvunja sheria bila kujali anacheyo gani naye awajibike
Uingozi, sio kumfurahisha kila mtu pia sio kumfedhehesha kila mtu
Ninao uhakika juu ya hili, endapo CCM Kitaendelea kupuuza yote mema, na misimamo thabiti ya namna alivyokuwa nayo kiongozi wa awamu iliyopita hayati JPM kwa kuitupilia mbali, 2025 siyo mbali, Historia itaenda kuandikwa upya na kwa mara ya kwanza, Tanzania itakuwa mikononi mwa msiowapenda!
Bibafs, kwa chama chochote kitakachokuja na slogani ya Magufulification kitapata kura yangu, na nitakuwa wa kwanza kufanya kampeni ili kumng'oa CCM, naamini stakuwa peke yangu, ni wimbi kubwa la Watanzania watakaounga mkono chama hiko
Ndiyo, Hayati JPM anayo makosa mengi, ila pia anayo mazuri mengi
Machache kati ya mengi mazuri aliyokuwa nayo,
# Hakupendelea nchi yetu iwe ombaomba
#Hakupendelea nchi yetu tujione wanyonge na kujiita sisi ni masikini, hakupenda kabisa tujivunie umasikini, kokote alikotembea alisema kwa ujasiri kuwa Tanzania sio masikini
# Alitupilia mbali na kukataa katakata miradi yote ya kinyonyaji kama mradi wa Nandari ya Bagamoyo
#Alielewa madhara ya kama kiongozi mkuu kukubali kuwa sasa tumeelemewa na Korona na tunahitaji misaada zaidi ya Msaada kutoka Kwa Mungu Hili nakili kuwa linaupinzani mkubwa kwa sababu kuna wanasayansi hudhani Mungu na sayansi ni kama vita vya tembo na nyasi licha ya hivyo huwa inaeleweka siku zote kuwa Mungu ni zaidi ya sayansi
#Aliwakemea wote wenye kutaka kuleta fyokofyoko bila kujali umaarufu wao, na ndiyo maana hatukushuhudia ujingaujinga wa shirika la Tanesko kukatakata umeme kama ilivyo sasa, misingi hii inapaswa isimamiwe kwa nguvu zote ili tutoke
Jambo lingine la kusisimua, JPM aliamini hasa ukiwa kiongozi unayesimama kwa ajili ya kutetea rasilimali za nchi, kifo huwa ni rafiki mkuu wa mtu huyo, Yeye hakujali
.
Tumpate wapi mtu kama huyu asiyeogopa chochote kwa ajili ya wengi?
Naam..! kwa maana hii, huu ndio unapaswa kuwa msingi wa nchi yetu, anayestahili haki apewe na mwenye kuvunja sheria bila kujali anacheyo gani naye awajibike
Uingozi, sio kumfurahisha kila mtu pia sio kumfedhehesha kila mtu