Pre GE2025 CCM iko mtaani CHADEMA iko mtandaoni

Pre GE2025 CCM iko mtaani CHADEMA iko mtandaoni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Aiseee CCM ni wakongwe ndio maana wao wako busy mitaani kusajili wapiga kura wapya na wanachama wapya mitaani .
Lakini chadema wamejikita kwenye mitandao tu kuangalia linalotrend wapinge au watoe maoni. Kwa hali hii CCM itabaki milele na mtindo wa kupata wanachama ukiwabeba vizazi na vizazi.
Chadema badilikeni
Tusidanganyane, ukweli ni kuwa wananchi hawana imani na tume ya uchaguzi, wanachokifanya sasa hivi ni kususa kwa sababu bado hawajapigika kisawa sawa

Kuhusu kwa nini unaona kuwa hawapo na cdm ni kwa sababu hakuna mantiki , chadema sio suluhisho la kuitoa ccm kwa sasa ccm haiwezi kutoka kwa maneno, ccm itatoka kwa damu kumwagika kama mkolpni au Ke. Na muda wa wabongo kumwaga damu iki kuitoa ccm bafo haujafika ila nfio tunaelekea huko.
 
Aiseee CCM ni wakongwe ndio maana wao wako busy mitaani kusajili wapiga kura wapya na wanachama wapya mitaani.

Lakini CHADEMA wamejikita kwenye mitandao tu kuangalia linalotrend wapinge au watoe maoni. Kwa hali hii CCM itabaki milele na mtindo wa kupata wanachama ukiwabeba vizazi na vizazi.

CHADEMA badilikeni
Siuanzishe chama chako
 
Tusidanganyane, ukweli ni kuwa wananchi hawana imani na tume ya uchaguzi, wanachokifanya sasa hivi ni kususa kwa sababu bado hawajapigika kisawa sawa

Kuhusu kwa nini unaona kuwa hawapo na cdm ni kwa sababu hakuna mantiki , chadema sio suluhisho la kuitoa ccm kwa sasa ccm haiwezi kutoka kwa maneno, ccm itatoka kwa damu kumwagika kama mkolpni au Ke. Na muda wa wabongo kumwaga damu iki kuitoa ccm bafo haujafika ila nfio tunaelekea huko.
Wananchi wapi hao unawazungumzia?
Wa mtaani au wa mtandaoni
 
Back
Top Bottom