CCM iliendaga na hawa mgwiji wawili wa siasa. Hivi Sasa CCM iko mochwari

CCM iliendaga na hawa mgwiji wawili wa siasa. Hivi Sasa CCM iko mochwari

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Hawa jamaa ndiyo walijua namna ya kufanya siasa na kuifanya ccm ichanue tena ndani ya mioyo ya watanzania. Walijua waseme nn, wakati gani na kwa faida gani?

CCM ilinga'ara na kupendwa sana. Chaguzi zilipofika kulikuwa na mtifuano wa haki wa kisiasa baina ya CCM na wapinzani.

Baada ya wao kuondoka CCM kupitia Polepole ikaanza kutafuta wafuasi kwa manunuzi. Hivi sasa CCM imejaa mashaka chini ya uenezi wa Shaka.

20211017_101910.jpg
 
Na wasipowarudisha kuendesha dawati la siasa pale lumumba basi wajue hawatarudi kwenye peak tena.
 
Hawa jamaa ndiyo walijua namna ya kufanya siasa na kuifanya ccm ichanue tena ndani ya mioyo ya watanzania. Walijua waseme nn, wakati gani na kwa faida gani?

CCM ilinga'ara na kupendwa sana. Chaguzi zilipofika kulikuwa na mtifuano wa haki wa kisiasa baina ya ccm na wapinzani.

Baada ya wao kuondoka CCM kupitia Polepole ikaanza kutafuta wafuasi kwa manunuzi. Hivi sasa CCM imejaa mashaka chini ya uenezi wa Shaka.

View attachment 1977184
Daaa japo mie ni Chadema Ila Kinana alikuwa Noma, hakuwa mbabe Wala mshamba Ila aliheshimika sana
 
Hususani ni Nape, kwahali ilivyo watamrudisha muda si mrefu kwenye kiti cha uwaziri, angalau alete impact
 
Kinana sawa ila sio Nape. Alimtukana mzee Lowassa kuwa ni mgonjwa saa yoyote anakufa, hizo ndio siasa?

Mbona Lowassa hakutoa tusi hata moja?

Laana ya Lowassa inamtafuna Nape hadi kesho. Aende Monduli kutubu.
 
Hawa jamaa ndiyo walijua namna ya kufanya siasa na kuifanya ccm ichanue tena ndani ya mioyo ya watanzania. Walijua waseme nn, wakati gani na kwa faida gani?

CCM ilinga'ara na kupendwa sana. Chaguzi zilipofika kulikuwa na mtifuano wa haki wa kisiasa baina ya ccm na wapinzani.

Baada ya wao kuondoka CCM kupitia Polepole ikaanza kutafuta wafuasi kwa manunuzi. Hivi sasa CCM imejaa mashaka chini ya uenezi wa Shaka.

View attachment 1977184
Sasa hivi kazi ya uenez inafanywa na aijpii
 
Back
Top Bottom