Daaa japo mie ni Chadema Ila Kinana alikuwa Noma, hakuwa mbabe Wala mshamba Ila aliheshimika sanaHawa jamaa ndiyo walijua namna ya kufanya siasa na kuifanya ccm ichanue tena ndani ya mioyo ya watanzania. Walijua waseme nn, wakati gani na kwa faida gani?
CCM ilinga'ara na kupendwa sana. Chaguzi zilipofika kulikuwa na mtifuano wa haki wa kisiasa baina ya ccm na wapinzani.
Baada ya wao kuondoka CCM kupitia Polepole ikaanza kutafuta wafuasi kwa manunuzi. Hivi sasa CCM imejaa mashaka chini ya uenezi wa Shaka.
View attachment 1977184
Jeshi la Polisi Tanzania lipo pale kuhakikisha CCM inaendelea kuwa madarakaniNa wasipowarudisha kuendesha dawati la siasa pale lumumba basi wajue hawatarudi kwenye peak tena.
Never and never againNa wasipowarudisha kuendesha dawati la siasa pale lumumba basi wajue hawatarudi kwenye peak tena.
Jamaa alikuwa jembe bhana.Daaa japo mie ni Chadema Ila Kinana alikuwa Noma,,hakuwa mbabe Wala mshamba,, Ila aliheshimika sana
Jeshini ana taaluma ya strategic planningDaaa japo mie ni Chadema Ila Kinana alikuwa Noma,,hakuwa mbabe Wala mshamba,, Ila aliheshimika sana
Nani kakwambia?Jeshi la Polisi tanzania lipo pale kuhakikisha CCm inaendelea kuwa madarakani
Jeshi gani hawa hawa wabeba korosho?Jeshini ana taaluma ya strategic planning
Basi ndiyo maana jamaa yupo strategic Sana!!Jeshini ana taaluma ya strategic planning
Ila jiwe alilibagaza jeshi letu. Kwamba wakaweka silaha chini na kugeuzwa kuwa makuli wa kubeba magunia ya korosho!!Jeshi gani hawa hawa wabeba korosho?
Jiwe alikuwa mdhalilishaji.Ila jiwe alilibagaza jeshi letu. Kwamba wakaweka silaha chini na kugeuzwa kuwa makuli wa kubeba magunia ya korosho!!
Ubora wa elimu ni pamoja na kuleta mguso kwa jamii. Kinana kaigusa jamii kwa elimu yake ya mikakati.Jeshi gani hawa hawa wabeba korosho?
Sasa hivi kazi ya uenez inafanywa na aijpiiHawa jamaa ndiyo walijua namna ya kufanya siasa na kuifanya ccm ichanue tena ndani ya mioyo ya watanzania. Walijua waseme nn, wakati gani na kwa faida gani?
CCM ilinga'ara na kupendwa sana. Chaguzi zilipofika kulikuwa na mtifuano wa haki wa kisiasa baina ya ccm na wapinzani.
Baada ya wao kuondoka CCM kupitia Polepole ikaanza kutafuta wafuasi kwa manunuzi. Hivi sasa CCM imejaa mashaka chini ya uenezi wa Shaka.
View attachment 1977184
Na kweli. Maana kila siku intelijensia yao inawaona BAWACHA tu.Sasa hivi kazi ya uenez inafanywa na aijpii
Sihitaji kuambiwa since every shit is crystal clear.Nani kakwambia?