Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,413
- 23,592
Sina mahusiano makubwa na siasa za CCM ila nimehakikishiwa kipande hiki kweli kimetokea. Cha ajabu ni kwamba maslahi ya Wananchi na kuliweka Taifa kwanza zinaitwa ni sera za Upinzani... Hapo mishipa ya akili imesimama, sijui niseme nini kuhusiana na CCM..
Ndio maana kila ninaposoma post za wateteaji ufisadi humu ndani kama anayejiita mkamap na wenzake, nazidi kupandishwa mori. Kelele na kejeli zao dhidi ya upinzani ndizo zinazidi kuchochea mwamko wa wananchi kutaka kutimua hili genge la wahuni (CCM) madarakani. Hivyo nawaomba waendeleze juhudi zao hizo za kubariki dhuluma kwa kuwa wanazidi kupalia mkaa wa moto hasira za wananchi. Kwa hilo nawapa pongezi Ladslaus na mkamap na wanaowaunga mkono.