CCM imchunguze diwani wa Ifumbo kwa kutoa taarifa za uongo

CCM imchunguze diwani wa Ifumbo kwa kutoa taarifa za uongo

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Kumekuwa na tabia mbaya ya baadhi ya wanasiasa kutoa taarifa za uingo ili kujipa kiki au kutaka kujenga hoja kwa maslahi binafsi. Madiwani wengi na wabunge wengi walizoea kufanya hivi.

Mifano kama iliyotokea Mbeya ni tip of the Iceberg yaani kwenye mikutano ya kisiasa wapo baadhi ya wanasiasa huandaa waliaji wa kukodi, wapiga makofi na wapandisha munkari na mizuka wote hawa huandaliwa kushinikiza jambo flani sometimes sio la kweli.

Ili kuwaweka sawa na kuondokana na siasa chafu inabidi tuanze utaratibu wa kuwawajibisha ipasavyo sambamba na vyombo vya habari vinavyotumiwa.
 
Acha vitisho vya kijinga watu wanaposema ukweli. Japo ni kweli CCM wana hiyo tabia ya kuwapanga watu ili kupotosha umma. Kwa mfano sasa hivi kila anayeongea kwenye vyombo vya habari, anasema Magufuli anakubalika sana na wananchi jambo ambalo sio kweli.
 
Kumekuwa na tabia mbaya ya baadhi ya wanasiasa kutoa taarifa za uingo ili kujipa kiki au kutaka kujenga hoja kwa maslahi binafsi.madiwani wengi na wabunge wengi walizoea kufanya hivi...
Tunawafahamu nyie kijani ni kiwanda cha uongo,anayesema kweli kwenu ni adui,ila anayesema uongo wenye maslahi ukwenu yeye ni zaidi ya rafiki.sijui huo ni utamaduni gani mpya kwenu.
 
Acha vitisho vya kijinga watu wanaposema ukweli. Japo ni kweli ccm wana hiyo tabia ya kuwapanga watu ili kupotosha umma. Kwa mfano sasa hivi kila anayeongea kwenye vyombo vya habari, anasema Magufuli anakubalika sana na wananchi jambo ambalo sio kweli.
mkuu hili sio la chama kimoja bali vyama vyote vya siasa.Zitto aliwahi kutaka Rais atangaze njaa kama janga la kitaifa.
 
Acha vitisho vya kijinga watu wanaposema ukweli. Japo ni kweli ccm wana hiyo tabia ya kuwapanga watu ili kupotosha umma. Kwa mfano sasa hivi kila anayeongea kwenye vyombo vya habari, anasema Magufuli anakubalika sana na wananchi jambo ambalo sio kweli.
Kwahiyo anakubalika ila sio sana au hakubaliki kabisa?
 
Nyie wajinga mnasema Corona hakuna halafu kelele zikizidi mnasema ipo kidogo nani atawaamini?

Unasema taarifa za uongo wewe kama nani? wacheni kuwafundisha watu uoga, mtawaangamiza watanzania kwa u-jingalao wenu.
 
mkuu hili sio la chama kimoja bali vyama vyote vya siasa.Zitto aliwahi kutaka Rais atangaze njaa kama janga la kitaifa.

Kwani ilikuwa uongo? Mbona sasa hivi serikali inatangaza kuwa kuna viwanda 8,000+, halafu wakati huo huo waziri Mkuu anasema hakuna ajira vijana wajiajiri? Kama kuna viwanda elfu nane kweli iweje watu wasiwe na ajira, na nchi yetu isiitwe nchi ya viwanda?
 
Kwani ilikuwa uongo? Mbona sasa hivi serikali inatangaza kuwa kuna viwanda 8,000+, halafu wakati huo huo waziri Mkuu anasema hakuna ajira vijana wajiajiri? Kama kuna viwanda elfu nane kweli iweje watu wasiwe na ajira, na nchi yetu isiitwe nchi ya viwanda?
Serikali ya waongo eti!?
 
Kwani ilikuwa uongo? Mbona sasa hivi serikali inatangaza kuwa kuna viwanda 8,000+, halafu wakati huo huo waziri Mkuu anasema hakuna ajira vijana wajiajiri? Kama kuna viwanda elfu nane kweli iweje watu wasiwe na ajira, na nchi yetu isiitwe nchi ya viwanda?
kiwanda kimoja kinaajiri watu wangapi?
 
Kumekuwa na tabia mbaya ya baadhi ya wanasiasa kutoa taarifa za uingo ili kujipa kiki au kutaka kujenga hoja kwa maslahi binafsi. Madiwani wengi na wabunge wengi walizoea kufanya hivi. Mifano kama iliyotokea Mbeya ni tip of the Iceberg...yaani kwenye mikutano ya kisiasa wapo baadhi ya wanasiasa huandaa waliaji wa kukodi, wapiga makofi na wapandisha munkari na mizuka wote hawa huandaliwa kushinikiza jambo flani sometimes sio la kweli.

Ili kuwaweka sawa na kuondokana na siasa chafu inabidi tuanze utaratibu wa kuwawajibisha ipasavyo sambamba na vyombo vya habari vinavyotumiwa.

Brother usiwalaumu wameiga kwa baba
 
Ishu ipo ivi wew hata ukiwa Eye witness uta ambiwa wewe Sio msemaji wa serikali.

Ukijifanya kujitangazia ndio utaijua serikali.

Yaan hata Kama tukio limekutokea na umelishuhudia na nikweli kabisa ila wew Sio msemaji mkuu.

Ova
 
Hata Dr wa wilaya kasimamishwa,mambo yanaenda ovyo ovyo kama waziri yuko busy kutumia accounts za social media za wizara kufanya mazoezi na mumewe na kujifukiza na kupost unadhani anaweza kuwa na mawazo constructive zaidi ya kukurupuka badala ya kuchukua hatua na kulifanya jambo la dharula waziri anasimamisha, jinga kabisa
 
Alisema waliokufa ni 15 lakini uchunguzi wa awali umeonesha ni wa5
Uchunguzi wa awali upi?Huu wa serekali ya giza?Kati ya mganga mkuu ambae alishuhudia vifo kwa macho yake katika hospitali yake na wachunguzi wa kinafiki waliotokea Dar na Dodoma ni yupi wa kumwamini?
 
Back
Top Bottom