Vijana wengi sahv tunamkubali Magu, CHADEMA walijiua wenyewe
Sometimes kuna comments zinafurahisha mpaka unajiuliza huyu aliyeandika haya ni mzima kweli upstairs!?Chizi tu ndo ataikubali CHADEMA
Jamani tusichaguliwe Rais ambaye hata debate hawezi, haya ni maisha yetu na nchi ni yetu sote. Yaani sasa hivi kuna watu wanatuchagulia Rais kama wanavyoona wao na familia zao halafu wanatumia jeshi na polisi kunyanyasa. Tangu leo tukatae.Ccm haiwezi kutoboa hata kwa dawa ...vijana kuanzia 18-30 ambao ndo idadi kubwa ya wapiga kura wote wako Chadema , sasa ccm wanatoboaje?
Ccm wanajipa matumaini kuwa sisi vijana hatuna kadi , ukweli nikwamba Mimi na vijana wenzangu wa miaka 20+ kadi tunazo vizuri ...leteni hoja zingine zenye mashiko.
Vijana wengi sahivi tunamkubali Magu, CHADEMA walijiua wenyewe
CCM haiwezi kutoboa hata kwa dawa, vijana kuanzia 18-30 ambao ndo idadi kubwa ya wapiga kura wote wako Chadema, sasa CCM wanatoboaje?
CCM wanajipa matumaini kuwa sisi vijana hatuna kadi, ukweli ni kwamba Mimi na vijana wenzangu wa miaka 20+ kadi tunazo vizuri. Leteni hoja zingine zenye mashiko.
Mungu anakuonaMitano tena
Ukiona mtu anapinga sana Rais aliyepo na kazi nzuri anayofanya kuna jambo,either alikua ana vyeti feki ,mfanyakaz hewa,ndugu yake amekumbwa na kadhia hiyo,Mkopo bodi ya mikopo,na vitu kama hivyo.Ccm haiwezi kutoboa hata kwa dawa ...vijana kuanzia 18-30 ambao ndo idadi kubwa ya wapiga kura wote wako Chadema , sasa ccm wanatoboaje?...
Umeongea ukweli mkubwa sana ndugu!!! Hivi naachaje kumchagua Lissu wakati ana Sera ya kumsomesha hata mwanangu ambaye nimemsomesha private?CCM haiwezi kutoboa hata kwa dawa, vijana kuanzia 18-30 ambao ndo idadi kubwa ya wapiga kura wote wako Chadema, sasa CCM wanatoboaje?
CCM wanajipa matumaini kuwa sisi vijana hatuna kadi, ukweli ni kwamba Mimi na vijana wenzangu wa miaka 20+ kadi tunazo vizuri. Leteni hoja zingine zenye mashiko.
OkChizi tu ndo ataikubali CHADEMA
Kila mahali imekataliwaCCM haiwezi kutoboa hata kwa dawa, vijana kuanzia 18-30 ambao ndo idadi kubwa ya wapiga kura wote wako Chadema, sasa CCM wanatoboaje?
CCM wanajipa matumaini kuwa sisi vijana hatuna kadi, ukweli ni kwamba Mimi na vijana wenzangu wa miaka 20+ kadi tunazo vizuri. Leteni hoja zingine zenye mashiko.
Hujaona mwamko wa wajumbe mzeeSawa wanaweza wakawa wanaikubali chadema Ila unadhani vijana katika umri uliotajwa wana mwamko wa kupiga kura Kama wazee wa CCM
Asante sana Ndege John wanaoswma hatuna vitambulisho mwaka huu itakula kwao