LGE2024 CCM Imeshinda kihalali na kuvuna kile ilichopanda, CHADEMA haikujipanga

LGE2024 CCM Imeshinda kihalali na kuvuna kile ilichopanda, CHADEMA haikujipanga

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

CCM imeendelea kuonyesha Umwamba wake katika siasa za Nchi hii na Bara zima la Afrika.imeendelea kuonyesha namna inavyokubalika ,kupendwa ,kuungwa mkono na namna ilivyo na ushawishi mkubwa hapa Nchini.

Imeonyesha namna ilivyobeba Matumaini ya mamilioni ya watanzania.imeonyesha Watanzania bado hawapo tayari kuongozwa na vyama vya upinzani wala kuviamini vyama vya upinzani. Imeonyesha watanzania bado hawaoni tumaini jipya kutoka vyama vya upinzani.

CCM Imeshinda uchaguzi huu kwa haki na kihalali kabisa .hii ni kwa kuwa CCM ilijiandaa vyema na uchaguzi huu,iliwekeza kwa watu ,ilikuwa karibu na watu,ilisikiliza sauti za watu,ilifanyia kazi na kutatua kero na changamoto za watu,ilijibu kwa wakati kero za watu, ilipeleka huduma karibu na watu,ilijisahihisha pale ilipokosea.

Lakini kubwa kuliko ni kuwa CCM iliteua viongozi na wagombea wanaokubalika kwa watu,wenye ushawishi kwa watu,waadilifu , wanyenyekevu,wasikivu, wachapakazi,wenye historia nzuri katika jamii na wenye ushirikiano mkubwa na wanajamii. CCM iliteua wagombea ambao walikuwa wanajua kero za maeneo yao na namna ya kumaliza kero hizo.

Wakati hayo yakifanyika upande wa pili vyama vya upinzani hususan CHADEMA ilikuwa inafanya kazi ya kuokoteza okoteza wagombea wasio na ushawishi wala uwezo wa kuongoza wala kukubalika kwa watu.iliteua wagombea wenye sifa mbaya kwa jamii ,wasio na upeo wala kufahamu vyema mahitaji ya watu.ndio maana walikuwa wanashindwa hata namna ya kujenga hoja za kueleweka majukwaani.

Lakini pia chama kwa ujumla kuanzia ngazi ya juu hakikuwa na maandalizi ya aina yoyote ile ya kushinda uchaguzi huu.hakukuwa na mipango na mikakati ya pamoja,hakukuwa na sera wala ajenda za pamoja,hakukuwa na muunganiko na ushirikiano wa viongozi.ni kama kila mtu alikuwa anapigana vita yake kutafuta ushindi wake binafsi. Ndio maana chama kimepoteza pambano pamoja na vita yenyewe.

Angalia Mbowe Mwenyewe alikuwa amejificha nyumbani kwake huko siku zote na kuja kuibukia siku za mwisho kwa kupita maeneo machache tu.huku Lissu naye alikuwa akipuyanga tu kivyake bila ajenda wala sera za kueleweka wala hoja zenye kugusa Maisha ya watu.chadema ya sasa ilikuwa ni tofauti sana na ile CHADEMA ya 2014 chini ya Dkt Slaa pamoja na Mbowe Mwenyewe ambao walifanya kazi ya kuzunguka Nchi Nzima kupiga mikutano ya nguvu na yenye kila aina ya hoja zenye kugusa Maisha ya watu.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Tufute upinzani. Wa nini na chama tawala ndo pekee kinachohitajika?
Utajifuta wenyewe na kubakia katika kumbukumbu za daftari la msajili wa vyama vya siasa. Hii ni kwa sababu upinzani umepoteza ushawishi na uungwaji mkono . wapinzani hawaaminiki kabisa
 
Weee ni mtanznia au? Wizi ulikuwa wazi nakila aina ya hujuma kutoka ccm ht mtt wa dr la saba anajua
Acheni visingizio Dhaifu.mmeshindwa kihalali kwa sababu hamkujiandaa wala kuwa na wagombea wenye ushawishi na kukubalika kwa watu
 
Mimi sitokuja kupiga kura mpaka tupate chama cha upinzani chenye nia ya dhati ya kuwapambania watanzania.

Sio awa wa sasa hoja zao ni kuzusha taarifa mjini tweeter.
Hakuna chama kitakuja kuwa na uwezo wala nguvu ya kuitikisa CCM madarakani au katika sanduku la kura.CCM huwa na utaratibu wa kujisahihisha.
 
Hakuna chama kitakuja kuwa na uwezo wala nguvu ya kuitikisa CCM madarakani au katika sanduku la kura.CCM huwa na utaratibu wa kujisahihisha.
Unapingana hata na akina jaji Warioba walioukataa uchaguzi wa 2020 ambao ni muendelezo wa chaguzi za baada ya hapo? Jiwe alikuwa mtu mbaya sana na wizi wa kura wa wazi bila aibu unaoendelea kwenye chaguzi uliasisiwa na jiwe. Hata wana ccm wale wanaokipenda chama na wanaofahamu siasa hawawezi kukubali upuuzi mnaouita uchaguzi. Chama kimetoka kwenye wizi wa kificho wameamua kuwa wezi wa kura bila aibu.

Huo uhalali ni kwa tafsiri ya ccm.
 
Ndugu zangu Watanzania,

CCM imeendelea kuonyesha Umwamba wake katika siasa za Nchi hii na Bara zima la Afrika.imeendelea kuonyesha namna inavyokubalika ,kupendwa ,kuungwa mkono na namna ilivyo na ushawishi mkubwa hapa Nchini.

Imeonyesha namna ilivyobeba Matumaini ya mamilioni ya watanzania.imeonyesha Watanzania bado hawapo tayari kuongozwa na vyama vya upinzani wala kuviamini vyama vya upinzani. Imeonyesha watanzania bado hawaoni tumaini jipya kutoka vyama vya upinzani.

CCM Imeshinda uchaguzi huu kwa haki na kihalali kabisa .hii ni kwa kuwa CCM ilijiandaa vyema na uchaguzi huu,iliwekeza kwa watu ,ilikuwa karibu na watu,ilisikiliza sauti za watu,ilifanyia kazi na kutatua kero na changamoto za watu,ilijibu kwa wakati kero za watu, ilipeleka huduma karibu na watu,ilijisahihisha pale ilipokosea.

Lakini kubwa kuliko ni kuwa CCM iliteua viongozi na wagombea wanaokubalika kwa watu,wenye ushawishi kwa watu,waadilifu , wanyenyekevu,wasikivu, wachapakazi,wenye historia nzuri katika jamii na wenye ushirikiano mkubwa na wanajamii. CCM iliteua wagombea ambao walikuwa wanajua kero za maeneo yao na namna ya kumaliza kero hizo.

Wakati hayo yakifanyika upande wa pili vyama vya upinzani hususan CHADEMA ilikuwa inafanya kazi ya kuokoteza okoteza wagombea wasio na ushawishi wala uwezo wa kuongoza wala kukubalika kwa watu.iliteua wagombea wenye sifa mbaya kwa jamii ,wasio na upeo wala kufahamu vyema mahitaji ya watu.ndio maana walikuwa wanashindwa hata namna ya kujenga hoja za kueleweka majukwaani.

Lakini pia chama kwa ujumla kuanzia ngazi ya juu hakikuwa na maandalizi ya aina yoyote ile ya kushinda uchaguzi huu.hakukuwa na mipango na mikakati ya pamoja,hakukuwa na sera wala ajenda za pamoja,hakukuwa na muunganiko na ushirikiano wa viongozi.ni kama kila mtu alikuwa anapigana vita yake kutafuta ushindi wake binafsi. Ndio maana chama kimepoteza pambano pamoja na vita yenyewe.

Angalia Mbowe Mwenyewe alikuwa amejificha nyumbani kwake huko siku zote na kuja kuibukia siku za mwisho kwa kupita maeneo machache tu.huku Lissu naye alikuwa akipuyanga tu kivyake bila ajenda wala sera za kueleweka wala hoja zenye kugusa Maisha ya watu.chadema ya sasa ilikuwa ni tofauti sana na ile CHADEMA ya 2014 chini ya Dkt Slaa pamoja na Mbowe Mwenyewe ambao walifanya kazi ya kuzunguka Nchi Nzima kupiga mikutano ya nguvu na yenye kila aina ya hoja zenye kugusa Maisha ya watu.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mimi sitaki kukupinga wala kukukubalia kwamba ccm inaongoza kwa kukubalika ila mimi ni muumini wa ushindani wa halali kwa hiyo nakerwa sana na matukio kama lile la iringa kuzuia kugongwa muhuri kwenye barua za mawakala wa chadema, kule Dodoma kukutwa masanduku ambayo yamepigwa kura tayari mara kuna watu wamepiga kura lakini hawapo kwenye daftari Matukio kama yale yanatia kinyaaa.

Maana kama mnkubalika acheni ushindani wa halali ili mtu anayeshindwa ashindwe kwa halali
 
Ndugu zangu Watanzania,

CCM imeendelea kuonyesha Umwamba wake katika siasa za Nchi hii na Bara zima la Afrika.imeendelea kuonyesha namna inavyokubalika ,kupendwa ,kuungwa mkono na namna ilivyo na ushawishi mkubwa hapa Nchini.

Imeonyesha namna ilivyobeba Matumaini ya mamilioni ya watanzania.imeonyesha Watanzania bado hawapo tayari kuongozwa na vyama vya upinzani wala kuviamini vyama vya upinzani. Imeonyesha watanzania bado hawaoni tumaini jipya kutoka vyama vya upinzani.

CCM Imeshinda uchaguzi huu kwa haki na kihalali kabisa .hii ni kwa kuwa CCM ilijiandaa vyema na uchaguzi huu,iliwekeza kwa watu ,ilikuwa karibu na watu,ilisikiliza sauti za watu,ilifanyia kazi na kutatua kero na changamoto za watu,ilijibu kwa wakati kero za watu, ilipeleka huduma karibu na watu,ilijisahihisha pale ilipokosea.

Lakini kubwa kuliko ni kuwa CCM iliteua viongozi na wagombea wanaokubalika kwa watu,wenye ushawishi kwa watu,waadilifu , wanyenyekevu,wasikivu, wachapakazi,wenye historia nzuri katika jamii na wenye ushirikiano mkubwa na wanajamii. CCM iliteua wagombea ambao walikuwa wanajua kero za maeneo yao na namna ya kumaliza kero hizo.

Wakati hayo yakifanyika upande wa pili vyama vya upinzani hususan CHADEMA ilikuwa inafanya kazi ya kuokoteza okoteza wagombea wasio na ushawishi wala uwezo wa kuongoza wala kukubalika kwa watu.iliteua wagombea wenye sifa mbaya kwa jamii ,wasio na upeo wala kufahamu vyema mahitaji ya watu.ndio maana walikuwa wanashindwa hata namna ya kujenga hoja za kueleweka majukwaani.

Lakini pia chama kwa ujumla kuanzia ngazi ya juu hakikuwa na maandalizi ya aina yoyote ile ya kushinda uchaguzi huu.hakukuwa na mipango na mikakati ya pamoja,hakukuwa na sera wala ajenda za pamoja,hakukuwa na muunganiko na ushirikiano wa viongozi.ni kama kila mtu alikuwa anapigana vita yake kutafuta ushindi wake binafsi. Ndio maana chama kimepoteza pambano pamoja na vita yenyewe.

Angalia Mbowe Mwenyewe alikuwa amejificha nyumbani kwake huko siku zote na kuja kuibukia siku za mwisho kwa kupita maeneo machache tu.huku Lissu naye alikuwa akipuyanga tu kivyake bila ajenda wala sera za kueleweka wala hoja zenye kugusa Maisha ya watu.chadema ya sasa ilikuwa ni tofauti sana na ile CHADEMA ya 2014 chini ya Dkt Slaa pamoja na Mbowe Mwenyewe ambao walifanya kazi ya kuzunguka Nchi Nzima kupiga mikutano ya nguvu na yenye kila aina ya hoja zenye kugusa Maisha ya watu.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili. la kitu kilipangwa. Kumbuka 2019

Ndugu zangu Watanzania,

CCM imeendelea kuonyesha Umwamba wake katika siasa za Nchi hii na Bara zima la Afrika.imeendelea kuonyesha namna inavyokubalika ,kupendwa ,kuungwa mkono na namna ilivyo na ushawishi mkubwa hapa Nchini.

Imeonyesha namna ilivyobeba Matumaini ya mamilioni ya watanzania.imeonyesha Watanzania bado hawapo tayari kuongozwa na vyama vya upinzani wala kuviamini vyama vya upinzani. Imeonyesha watanzania bado hawaoni tumaini jipya kutoka vyama vya upinzani.

CCM Imeshinda uchaguzi huu kwa haki na kihalali kabisa .hii ni kwa kuwa CCM ilijiandaa vyema na uchaguzi huu,iliwekeza kwa watu ,ilikuwa karibu na watu,ilisikiliza sauti za watu,ilifanyia kazi na kutatua kero na changamoto za watu,ilijibu kwa wakati kero za watu, ilipeleka huduma karibu na watu,ilijisahihisha pale ilipokosea.

Lakini kubwa kuliko ni kuwa CCM iliteua viongozi na wagombea wanaokubalika kwa watu,wenye ushawishi kwa watu,waadilifu , wanyenyekevu,wasikivu, wachapakazi,wenye historia nzuri katika jamii na wenye ushirikiano mkubwa na wanajamii. CCM iliteua wagombea ambao walikuwa wanajua kero za maeneo yao na namna ya kumaliza kero hizo.

Wakati hayo yakifanyika upande wa pili vyama vya upinzani hususan CHADEMA ilikuwa inafanya kazi ya kuokoteza okoteza wagombea wasio na ushawishi wala uwezo wa kuongoza wala kukubalika kwa watu.iliteua wagombea wenye sifa mbaya kwa jamii ,wasio na upeo wala kufahamu vyema mahitaji ya watu.ndio maana walikuwa wanashindwa hata namna ya kujenga hoja za kueleweka majukwaani.

Lakini pia chama kwa ujumla kuanzia ngazi ya juu hakikuwa na maandalizi ya aina yoyote ile ya kushinda uchaguzi huu.hakukuwa na mipango na mikakati ya pamoja,hakukuwa na sera wala ajenda za pamoja,hakukuwa na muunganiko na ushirikiano wa viongozi.ni kama kila mtu alikuwa anapigana vita yake kutafuta ushindi wake binafsi. Ndio maana chama kimepoteza pambano pamoja na vita yenyewe.

Angalia Mbowe Mwenyewe alikuwa amejificha nyumbani kwake huko siku zote na kuja kuibukia siku za mwisho kwa kupita maeneo machache tu.huku Lissu naye alikuwa akipuyanga tu kivyake bila ajenda wala sera za kueleweka wala hoja zenye kugusa Maisha ya watu.chadema ya sasa ilikuwa ni tofauti sana na ile CHADEMA ya 2014 chini ya Dkt Slaa pamoja na Mbowe Mwenyewe ambao walifanya kazi ya kuzunguka Nchi Nzima kupiga mikutano ya nguvu na yenye kila aina ya hoja zenye kugusa Maisha ya watu.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Nakuhurumia. Hata sisi wana CCM tunajua kilichopangwa. Mwaka 2019 Magufuli aliwaita watendaji wa kata nchi nzima ikulu. Kilichofuata unajua sana japo unajifanya fyatu kichaa wa sifa za kijinga. Ungeenda vituo vya kura uone watu walivyosusa kupiga kura. Baada ya kikao cha watendaji wa kata 2019 ndipo tukaona mauaji, karatasi za wagombea kuporwa, watendaji kukataa kupokea fomu za wapinzani au kutofungua ofisi .Watu kukamatwa nk. Na kwa mara ya kwanza tangu uhuru wa Tanganyika 9/12/1961 haki kuchagua na kuchaguliwa ikaporwa na kupata uchaguzi uliopitisha washindi wa upande mmoja. Hatuamini mawazo bora yanatoka kichama, kivyama. Hata wakati wa Mwl Nyerere alichanganya mawazo. Kaa kwa kutulia dogo.
 
Back
Top Bottom