LGE2024 CCM Imeshinda kihalali na kuvuna kile ilichopanda, CHADEMA haikujipanga

LGE2024 CCM Imeshinda kihalali na kuvuna kile ilichopanda, CHADEMA haikujipanga

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Kubalini ukweli kuwa hamkujipanga katika uchaguzi huu na kwamba mnapaswa kujipanga upya hapo mwakani.

Wananchi hawana habari na CHADEMA maana wanajua ni wababaishaji sana.
SiSiEm & CDM wote hamna Kazi..
Hakuna Mapinduzi yeyote.
Mambo yaleyale kila Mwaka
Hakuna Maneno Mageni
Cdm vijembe Tele
Na wala SiSiEm na Cdm siyo wapinzani, Bali ni Maadui.
Everything is clear
 
Ndugu zangu Watanzania,

CCM imeendelea kuonyesha Umwamba wake katika siasa za Nchi hii na Bara zima la Afrika.imeendelea kuonyesha namna inavyokubalika ,kupendwa ,kuungwa mkono na namna ilivyo na ushawishi mkubwa hapa Nchini.

Imeonyesha namna ilivyobeba Matumaini ya mamilioni ya watanzania.imeonyesha Watanzania bado hawapo tayari kuongozwa na vyama vya upinzani wala kuviamini vyama vya upinzani. Imeonyesha watanzania bado hawaoni tumaini jipya kutoka vyama vya upinzani.

CCM Imeshinda uchaguzi huu kwa haki na kihalali kabisa .hii ni kwa kuwa CCM ilijiandaa vyema na uchaguzi huu,iliwekeza kwa watu ,ilikuwa karibu na watu,ilisikiliza sauti za watu,ilifanyia kazi na kutatua kero na changamoto za watu,ilijibu kwa wakati kero za watu, ilipeleka huduma karibu na watu,ilijisahihisha pale ilipokosea.

Lakini kubwa kuliko ni kuwa CCM iliteua viongozi na wagombea wanaokubalika kwa watu,wenye ushawishi kwa watu,waadilifu , wanyenyekevu,wasikivu, wachapakazi,wenye historia nzuri katika jamii na wenye ushirikiano mkubwa na wanajamii. CCM iliteua wagombea ambao walikuwa wanajua kero za maeneo yao na namna ya kumaliza kero hizo.

Wakati hayo yakifanyika upande wa pili vyama vya upinzani hususan CHADEMA ilikuwa inafanya kazi ya kuokoteza okoteza wagombea wasio na ushawishi wala uwezo wa kuongoza wala kukubalika kwa watu.iliteua wagombea wenye sifa mbaya kwa jamii ,wasio na upeo wala kufahamu vyema mahitaji ya watu.ndio maana walikuwa wanashindwa hata namna ya kujenga hoja za kueleweka majukwaani.

Lakini pia chama kwa ujumla kuanzia ngazi ya juu hakikuwa na maandalizi ya aina yoyote ile ya kushinda uchaguzi huu.hakukuwa na mipango na mikakati ya pamoja,hakukuwa na sera wala ajenda za pamoja,hakukuwa na muunganiko na ushirikiano wa viongozi.ni kama kila mtu alikuwa anapigana vita yake kutafuta ushindi wake binafsi. Ndio maana chama kimepoteza pambano pamoja na vita yenyewe.

Angalia Mbowe Mwenyewe alikuwa amejificha nyumbani kwake huko siku zote na kuja kuibukia siku za mwisho kwa kupita maeneo machache tu.huku Lissu naye alikuwa akipuyanga tu kivyake bila ajenda wala sera za kueleweka wala hoja zenye kugusa Maisha ya watu.chadema ya sasa ilikuwa ni tofauti sana na ile CHADEMA ya 2014 chini ya Dkt Slaa pamoja na Mbowe Mwenyewe ambao walifanya kazi ya kuzunguka Nchi Nzima kupiga mikutano ya nguvu na yenye kila aina ya hoja zenye kugusa Maisha ya watu.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Aa wapi! Na CCM mnajidanganya. Ingekuwa vyema mkatoa uwanja sawa ndivyo mtajua nguvu yenu ilivyo. Lakini kufanya uhuni wa kuengua wapinzani na bado gao mliowapitisha mnawaibia kura sio jambo zuri. Mnapanda mbegu mbaya sana. Hata kama matokeo yatachelewa lakini yayakuja na itakuwa kilio na kusaga meno. Kama Tanzania ni nchi ya kidemokrasia basi acheni demokrasia ichukuwe mkondo wake. Vinginevyo futeni huo utaratibu!
 
Ndugu zangu Watanzania,

CCM imeendelea kuonyesha Umwamba wake katika siasa za Nchi hii na Bara zima la Afrika.imeendelea kuonyesha namna inavyokubalika ,kupendwa ,kuungwa mkono na namna ilivyo na ushawishi mkubwa hapa Nchini.

Imeonyesha namna ilivyobeba Matumaini ya mamilioni ya watanzania.imeonyesha Watanzania bado hawapo tayari kuongozwa na vyama vya upinzani wala kuviamini vyama vya upinzani. Imeonyesha watanzania bado hawaoni tumaini jipya kutoka vyama vya upinzani.

CCM Imeshinda uchaguzi huu kwa haki na kihalali kabisa .hii ni kwa kuwa CCM ilijiandaa vyema na uchaguzi huu,iliwekeza kwa watu ,ilikuwa karibu na watu,ilisikiliza sauti za watu,ilifanyia kazi na kutatua kero na changamoto za watu,ilijibu kwa wakati kero za watu, ilipeleka huduma karibu na watu,ilijisahihisha pale ilipokosea.

Lakini kubwa kuliko ni kuwa CCM iliteua viongozi na wagombea wanaokubalika kwa watu,wenye ushawishi kwa watu,waadilifu , wanyenyekevu,wasikivu, wachapakazi,wenye historia nzuri katika jamii na wenye ushirikiano mkubwa na wanajamii. CCM iliteua wagombea ambao walikuwa wanajua kero za maeneo yao na namna ya kumaliza kero hizo.

Wakati hayo yakifanyika upande wa pili vyama vya upinzani hususan CHADEMA ilikuwa inafanya kazi ya kuokoteza okoteza wagombea wasio na ushawishi wala uwezo wa kuongoza wala kukubalika kwa watu.iliteua wagombea wenye sifa mbaya kwa jamii ,wasio na upeo wala kufahamu vyema mahitaji ya watu.ndio maana walikuwa wanashindwa hata namna ya kujenga hoja za kueleweka majukwaani.

Lakini pia chama kwa ujumla kuanzia ngazi ya juu hakikuwa na maandalizi ya aina yoyote ile ya kushinda uchaguzi huu.hakukuwa na mipango na mikakati ya pamoja,hakukuwa na sera wala ajenda za pamoja,hakukuwa na muunganiko na ushirikiano wa viongozi.ni kama kila mtu alikuwa anapigana vita yake kutafuta ushindi wake binafsi. Ndio maana chama kimepoteza pambano pamoja na vita yenyewe.

Angalia Mbowe Mwenyewe alikuwa amejificha nyumbani kwake huko siku zote na kuja kuibukia siku za mwisho kwa kupita maeneo machache tu.huku Lissu naye alikuwa akipuyanga tu kivyake bila ajenda wala sera za kueleweka wala hoja zenye kugusa Maisha ya watu.chadema ya sasa ilikuwa ni tofauti sana na ile CHADEMA ya 2014 chini ya Dkt Slaa pamoja na Mbowe Mwenyewe ambao walifanya kazi ya kuzunguka Nchi Nzima kupiga mikutano ya nguvu na yenye kila aina ya hoja zenye kugusa Maisha ya watu.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
CCM tunapita kihalali na kwa haki.ndio maana unaona wananchi wakishangilia ushindi mitaani kote.
Ndani ya nafsi yake na anachoandika ni tofauti
 
Lucas Hebel Mwashambwa, Lucas Hebel Mwashambwa,
Malizia kbs👇
20241125_124733.jpg
 
Ndugu zangu Watanzania,

CCM imeendelea kuonyesha Umwamba wake katika siasa za Nchi hii na Bara zima la Afrika.imeendelea kuonyesha namna inavyokubalika ,kupendwa ,kuungwa mkono na namna ilivyo na ushawishi mkubwa hapa Nchini.

Imeonyesha namna ilivyobeba Matumaini ya mamilioni ya watanzania.imeonyesha Watanzania bado hawapo tayari kuongozwa na vyama vya upinzani wala kuviamini vyama vya upinzani. Imeonyesha watanzania bado hawaoni tumaini jipya kutoka vyama vya upinzani.

CCM Imeshinda uchaguzi huu kwa haki na kihalali kabisa .hii ni kwa kuwa CCM ilijiandaa vyema na uchaguzi huu,iliwekeza kwa watu ,ilikuwa karibu na watu,ilisikiliza sauti za watu,ilifanyia kazi na kutatua kero na changamoto za watu,ilijibu kwa wakati kero za watu, ilipeleka huduma karibu na watu,ilijisahihisha pale ilipokosea.

Lakini kubwa kuliko ni kuwa CCM iliteua viongozi na wagombea wanaokubalika kwa watu,wenye ushawishi kwa watu,waadilifu , wanyenyekevu,wasikivu, wachapakazi,wenye historia nzuri katika jamii na wenye ushirikiano mkubwa na wanajamii. CCM iliteua wagombea ambao walikuwa wanajua kero za maeneo yao na namna ya kumaliza kero hizo.

Wakati hayo yakifanyika upande wa pili vyama vya upinzani hususan CHADEMA ilikuwa inafanya kazi ya kuokoteza okoteza wagombea wasio na ushawishi wala uwezo wa kuongoza wala kukubalika kwa watu.iliteua wagombea wenye sifa mbaya kwa jamii ,wasio na upeo wala kufahamu vyema mahitaji ya watu.ndio maana walikuwa wanashindwa hata namna ya kujenga hoja za kueleweka majukwaani.

Lakini pia chama kwa ujumla kuanzia ngazi ya juu hakikuwa na maandalizi ya aina yoyote ile ya kushinda uchaguzi huu.hakukuwa na mipango na mikakati ya pamoja,hakukuwa na sera wala ajenda za pamoja,hakukuwa na muunganiko na ushirikiano wa viongozi.ni kama kila mtu alikuwa anapigana vita yake kutafuta ushindi wake binafsi. Ndio maana chama kimepoteza pambano pamoja na vita yenyewe.

Angalia Mbowe Mwenyewe alikuwa amejificha nyumbani kwake huko siku zote na kuja kuibukia siku za mwisho kwa kupita maeneo machache tu.huku Lissu naye alikuwa akipuyanga tu kivyake bila ajenda wala sera za kueleweka wala hoja zenye kugusa Maisha ya watu.chadema ya sasa ilikuwa ni tofauti sana na ile CHADEMA ya 2014 chini ya Dkt Slaa pamoja na Mbowe Mwenyewe ambao walifanya kazi ya kuzunguka Nchi Nzima kupiga mikutano ya nguvu na yenye kila aina ya hoja zenye kugusa Maisha ya watu.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Uhalali wa ushindi uko kwenye jicho la anayetazama. Kama kweli ushindi ni wa halali, basi kheri. Kama ni dhuluma pia na iwe juu ya waliodhulumu.

Kwenye haya maisha, hakuna kitu kibaya kama kujidanganya nafsi maana huwa tunaishia kuumbuka. Hii ina maana toka steps za mwanzo mpaka za mwisho, ukweli utahalalisha lililo halali na utaharamisha lililo haramu. Ukweli huwa hauna tabia ya kufungwa pingu ukaishi jela. Unatabia ya kutokea juu ya paaa

Otherwise, tufurahie weekend inaanza mdogo mdogo. Mengine haya ni mlo wa watu ila wanataka wote tushangilie jinsi wanavyokula
 
Acheni visingizio Dhaifu.mmeshindwa kihalali kwa sababu hamkujiandaa wala kuwa na wagombea wenye ushawishi na kukubalika kwa watu
Kuna rafiki yangu wa karibu namjua jana yeye na wafanyakazi wake mabint wa5 wamepiga kura (ma ccm yalikuja kuwachukua) wakati hawakujiandikisha kupiga kura...hiyo ni sawa?!.
Hiyo imetokea Dodoma Mjn!
 
Kuna rafiki yangu wa karibu namjua jana yeye na wafanyakazi wake mabint wa5 wamepiga kura (ma ccm yalikuja kuwachukua) wakati hawakujiandikisha kupiga kura...hiyo ni sawa?!.
Hiyo imetokea Dodoma Mjn!
Ushahidi upo wapi.lakini pia ndani kuna kuwa na mawakala wa vyama vyote.
 
Back
Top Bottom