Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 3,506
- 6,305
Huwezi kujisifu una mbio kama hakuna anayekukimbiza,aibu tupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani huyo kijana ni hamnazo kabisa!Kujifanya kichaa kama huyu Lucas Mwashambwa, ambaye dada yake juzi ametuhumiwa kumuua mtoto wa kambo huko Mbeya, inataka kujiondoa ufahamu na aibu kuliko kawaida. Hana anoloona
Kubalini ukweli kuwa hamkujipanga katika uchaguzi huu na kwamba mnapaswa kujipanga upya hapo mwakani.
SiSiEm & CDM wote hamna Kazi..Wananchi hawana habari na CHADEMA maana wanajua ni wababaishaji sana.
Aa wapi! Na CCM mnajidanganya. Ingekuwa vyema mkatoa uwanja sawa ndivyo mtajua nguvu yenu ilivyo. Lakini kufanya uhuni wa kuengua wapinzani na bado gao mliowapitisha mnawaibia kura sio jambo zuri. Mnapanda mbegu mbaya sana. Hata kama matokeo yatachelewa lakini yayakuja na itakuwa kilio na kusaga meno. Kama Tanzania ni nchi ya kidemokrasia basi acheni demokrasia ichukuwe mkondo wake. Vinginevyo futeni huo utaratibu!Ndugu zangu Watanzania,
CCM imeendelea kuonyesha Umwamba wake katika siasa za Nchi hii na Bara zima la Afrika.imeendelea kuonyesha namna inavyokubalika ,kupendwa ,kuungwa mkono na namna ilivyo na ushawishi mkubwa hapa Nchini.
Imeonyesha namna ilivyobeba Matumaini ya mamilioni ya watanzania.imeonyesha Watanzania bado hawapo tayari kuongozwa na vyama vya upinzani wala kuviamini vyama vya upinzani. Imeonyesha watanzania bado hawaoni tumaini jipya kutoka vyama vya upinzani.
CCM Imeshinda uchaguzi huu kwa haki na kihalali kabisa .hii ni kwa kuwa CCM ilijiandaa vyema na uchaguzi huu,iliwekeza kwa watu ,ilikuwa karibu na watu,ilisikiliza sauti za watu,ilifanyia kazi na kutatua kero na changamoto za watu,ilijibu kwa wakati kero za watu, ilipeleka huduma karibu na watu,ilijisahihisha pale ilipokosea.
Lakini kubwa kuliko ni kuwa CCM iliteua viongozi na wagombea wanaokubalika kwa watu,wenye ushawishi kwa watu,waadilifu , wanyenyekevu,wasikivu, wachapakazi,wenye historia nzuri katika jamii na wenye ushirikiano mkubwa na wanajamii. CCM iliteua wagombea ambao walikuwa wanajua kero za maeneo yao na namna ya kumaliza kero hizo.
Wakati hayo yakifanyika upande wa pili vyama vya upinzani hususan CHADEMA ilikuwa inafanya kazi ya kuokoteza okoteza wagombea wasio na ushawishi wala uwezo wa kuongoza wala kukubalika kwa watu.iliteua wagombea wenye sifa mbaya kwa jamii ,wasio na upeo wala kufahamu vyema mahitaji ya watu.ndio maana walikuwa wanashindwa hata namna ya kujenga hoja za kueleweka majukwaani.
Lakini pia chama kwa ujumla kuanzia ngazi ya juu hakikuwa na maandalizi ya aina yoyote ile ya kushinda uchaguzi huu.hakukuwa na mipango na mikakati ya pamoja,hakukuwa na sera wala ajenda za pamoja,hakukuwa na muunganiko na ushirikiano wa viongozi.ni kama kila mtu alikuwa anapigana vita yake kutafuta ushindi wake binafsi. Ndio maana chama kimepoteza pambano pamoja na vita yenyewe.
Angalia Mbowe Mwenyewe alikuwa amejificha nyumbani kwake huko siku zote na kuja kuibukia siku za mwisho kwa kupita maeneo machache tu.huku Lissu naye alikuwa akipuyanga tu kivyake bila ajenda wala sera za kueleweka wala hoja zenye kugusa Maisha ya watu.chadema ya sasa ilikuwa ni tofauti sana na ile CHADEMA ya 2014 chini ya Dkt Slaa pamoja na Mbowe Mwenyewe ambao walifanya kazi ya kuzunguka Nchi Nzima kupiga mikutano ya nguvu na yenye kila aina ya hoja zenye kugusa Maisha ya watu.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
One day mtatambua kuwa Mbingu ndizo zinatawala! Jifarijini tu.Hakuna chama kitakuja kuwa na uwezo wala nguvu ya kuitikisa CCM madarakani au katika sanduku la kura.CCM huwa na utaratibu wa kujisahihisha.
Ndugu zangu Watanzania,
CCM imeendelea kuonyesha Umwamba wake katika siasa za Nchi hii na Bara zima la Afrika.imeendelea kuonyesha namna inavyokubalika ,kupendwa ,kuungwa mkono na namna ilivyo na ushawishi mkubwa hapa Nchini.
Imeonyesha namna ilivyobeba Matumaini ya mamilioni ya watanzania.imeonyesha Watanzania bado hawapo tayari kuongozwa na vyama vya upinzani wala kuviamini vyama vya upinzani. Imeonyesha watanzania bado hawaoni tumaini jipya kutoka vyama vya upinzani.
CCM Imeshinda uchaguzi huu kwa haki na kihalali kabisa .hii ni kwa kuwa CCM ilijiandaa vyema na uchaguzi huu,iliwekeza kwa watu ,ilikuwa karibu na watu,ilisikiliza sauti za watu,ilifanyia kazi na kutatua kero na changamoto za watu,ilijibu kwa wakati kero za watu, ilipeleka huduma karibu na watu,ilijisahihisha pale ilipokosea.
Lakini kubwa kuliko ni kuwa CCM iliteua viongozi na wagombea wanaokubalika kwa watu,wenye ushawishi kwa watu,waadilifu , wanyenyekevu,wasikivu, wachapakazi,wenye historia nzuri katika jamii na wenye ushirikiano mkubwa na wanajamii. CCM iliteua wagombea ambao walikuwa wanajua kero za maeneo yao na namna ya kumaliza kero hizo.
Wakati hayo yakifanyika upande wa pili vyama vya upinzani hususan CHADEMA ilikuwa inafanya kazi ya kuokoteza okoteza wagombea wasio na ushawishi wala uwezo wa kuongoza wala kukubalika kwa watu.iliteua wagombea wenye sifa mbaya kwa jamii ,wasio na upeo wala kufahamu vyema mahitaji ya watu.ndio maana walikuwa wanashindwa hata namna ya kujenga hoja za kueleweka majukwaani.
Lakini pia chama kwa ujumla kuanzia ngazi ya juu hakikuwa na maandalizi ya aina yoyote ile ya kushinda uchaguzi huu.hakukuwa na mipango na mikakati ya pamoja,hakukuwa na sera wala ajenda za pamoja,hakukuwa na muunganiko na ushirikiano wa viongozi.ni kama kila mtu alikuwa anapigana vita yake kutafuta ushindi wake binafsi. Ndio maana chama kimepoteza pambano pamoja na vita yenyewe.
Angalia Mbowe Mwenyewe alikuwa amejificha nyumbani kwake huko siku zote na kuja kuibukia siku za mwisho kwa kupita maeneo machache tu.huku Lissu naye alikuwa akipuyanga tu kivyake bila ajenda wala sera za kueleweka wala hoja zenye kugusa Maisha ya watu.chadema ya sasa ilikuwa ni tofauti sana na ile CHADEMA ya 2014 chini ya Dkt Slaa pamoja na Mbowe Mwenyewe ambao walifanya kazi ya kuzunguka Nchi Nzima kupiga mikutano ya nguvu na yenye kila aina ya hoja zenye kugusa Maisha ya watu.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ndani ya nafsi yake na anachoandika ni tofautiCCM tunapita kihalali na kwa haki.ndio maana unaona wananchi wakishangilia ushindi mitaani kote.
Malizia kbs👇Lucas Hebel Mwashambwa, Lucas Hebel Mwashambwa,
Ndugu zangu Watanzania,
CCM imeendelea kuonyesha Umwamba wake katika siasa za Nchi hii na Bara zima la Afrika.imeendelea kuonyesha namna inavyokubalika ,kupendwa ,kuungwa mkono na namna ilivyo na ushawishi mkubwa hapa Nchini.
Imeonyesha namna ilivyobeba Matumaini ya mamilioni ya watanzania.imeonyesha Watanzania bado hawapo tayari kuongozwa na vyama vya upinzani wala kuviamini vyama vya upinzani. Imeonyesha watanzania bado hawaoni tumaini jipya kutoka vyama vya upinzani.
CCM Imeshinda uchaguzi huu kwa haki na kihalali kabisa .hii ni kwa kuwa CCM ilijiandaa vyema na uchaguzi huu,iliwekeza kwa watu ,ilikuwa karibu na watu,ilisikiliza sauti za watu,ilifanyia kazi na kutatua kero na changamoto za watu,ilijibu kwa wakati kero za watu, ilipeleka huduma karibu na watu,ilijisahihisha pale ilipokosea.
Lakini kubwa kuliko ni kuwa CCM iliteua viongozi na wagombea wanaokubalika kwa watu,wenye ushawishi kwa watu,waadilifu , wanyenyekevu,wasikivu, wachapakazi,wenye historia nzuri katika jamii na wenye ushirikiano mkubwa na wanajamii. CCM iliteua wagombea ambao walikuwa wanajua kero za maeneo yao na namna ya kumaliza kero hizo.
Wakati hayo yakifanyika upande wa pili vyama vya upinzani hususan CHADEMA ilikuwa inafanya kazi ya kuokoteza okoteza wagombea wasio na ushawishi wala uwezo wa kuongoza wala kukubalika kwa watu.iliteua wagombea wenye sifa mbaya kwa jamii ,wasio na upeo wala kufahamu vyema mahitaji ya watu.ndio maana walikuwa wanashindwa hata namna ya kujenga hoja za kueleweka majukwaani.
Lakini pia chama kwa ujumla kuanzia ngazi ya juu hakikuwa na maandalizi ya aina yoyote ile ya kushinda uchaguzi huu.hakukuwa na mipango na mikakati ya pamoja,hakukuwa na sera wala ajenda za pamoja,hakukuwa na muunganiko na ushirikiano wa viongozi.ni kama kila mtu alikuwa anapigana vita yake kutafuta ushindi wake binafsi. Ndio maana chama kimepoteza pambano pamoja na vita yenyewe.
Angalia Mbowe Mwenyewe alikuwa amejificha nyumbani kwake huko siku zote na kuja kuibukia siku za mwisho kwa kupita maeneo machache tu.huku Lissu naye alikuwa akipuyanga tu kivyake bila ajenda wala sera za kueleweka wala hoja zenye kugusa Maisha ya watu.chadema ya sasa ilikuwa ni tofauti sana na ile CHADEMA ya 2014 chini ya Dkt Slaa pamoja na Mbowe Mwenyewe ambao walifanya kazi ya kuzunguka Nchi Nzima kupiga mikutano ya nguvu na yenye kila aina ya hoja zenye kugusa Maisha ya watu.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
CCM ndio tumaini la watanzaniaUkiona vile mtu anayejielewa anaenda kuipigia kura ccm ujue yule kunafursa kahaidiwa au kalambishwa pesa?
Kuna rafiki yangu wa karibu namjua jana yeye na wafanyakazi wake mabint wa5 wamepiga kura (ma ccm yalikuja kuwachukua) wakati hawakujiandikisha kupiga kura...hiyo ni sawa?!.Acheni visingizio Dhaifu.mmeshindwa kihalali kwa sababu hamkujiandaa wala kuwa na wagombea wenye ushawishi na kukubalika kwa watu
Ushahidi upo wapi.lakini pia ndani kuna kuwa na mawakala wa vyama vyote.Kuna rafiki yangu wa karibu namjua jana yeye na wafanyakazi wake mabint wa5 wamepiga kura (ma ccm yalikuja kuwachukua) wakati hawakujiandikisha kupiga kura...hiyo ni sawa?!.
Hiyo imetokea Dodoma Mjn!