Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
- Thread starter
- #21
Katiba hii ya sasa inazuia vipi kiongozi kuwajibika ?Hii ya sasa ina matundu mengi ambayo yanatumika na watawala kutokuwajibika.
Kuna hitaj la katiba ambayo italazimu viongozi kuwajibika regardless chama kinakuwepo madarakani.