Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
- Thread starter
- #41
Ipi mipango na mikakati wa utekelezaji wa hilo ?Ili taifa lisonge mbele ni kuwapa wananchi elimu inayowafanya wajitambue, others will fall apart.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipi mipango na mikakati wa utekelezaji wa hilo ?Ili taifa lisonge mbele ni kuwapa wananchi elimu inayowafanya wajitambue, others will fall apart.
Kupitia hilo wazo utafanikisha vipi taifa kuendelea ?Tuanze na wananchi ambapo na hao wanachama wa ccm ni sehemu ya nchi... Na hawa wananchi wajue kuwa nchi hii ni yetu sote na watoto na watoto wa watoto wetu.... Na kiongozi yupo kutekeleza matakwa ya wananchi sio yake...hivyo hakuna sababu ya kumhofu na kuona kuwa pasipo chama ama yeye mambo yatasimama...na ikiwa ataona kuwa kiongozi anafanya kinyume na makubaliano yaliyofikiwa na pande zote basi ashuke mara moja.
Kwangu mie sioni sababu ya kiongozi kuja kutamba kuwa nimefanya hiki na kile kama vile pesa katoa katika mfuko wake!, wakati kila siku nakamuliwa kila aina ya kodi...nguvu zangu zinakwisha...yeye ananufaika.
Mwananchi akishaamka akajua kuwa nchi ni yake na kodi ni yake na anahaki ya kujua nini kodi yake imefanya...then atajua ni kiongozi gani anatakiwa kuwa pale na afanye nini na pale atakaposema kile anachokusudia kufanya mwananchi hatopatwa na tashwishwi kumuweka kwenye kiti cha uongozi.
Lakini nikirudi kwa huyu ambae atafanya nini...nadhani sio aseme atafanya nini maana wote wameshasema sana na hakuna walilofanya....natamani yule ambaye atajua kuwa jasho langu halitakiwi kupotea...na ashilikiane na mie kulitumia kwa usahihi...sio kulitafuna peke yake.
Wazo lipi!?Kupitia hilo wazo utafanikisha vipi taifa kuendelea ?
Hilo ulilo andikaWazo lipi!?
Kwamba hujaona katika maandishi hayo kuwa mwananchi akinufaika na kodi yake kuwa taifa linaendelea....kama una wazo lingine leta....Hilo ulilo andika
Haya sawaKwamba hujaona katika maandishi hayo kuwa mwananchi akinufaika na kodi yake kuwa taifa linaendelea....kama una wazo lingine leta....
Kwani nchi zote ambazo watu wake ni waafrica weusi zinaongozwa na CCM? Waafrica tuna ujinga sana.Tatizo la Nchi yetu ni mifumo mibovu ambayo yote imejengwa chini ya mtu mmoja ambaye ni Rais aliye juu ya yote.
Tatizo liko hapo.
KATIBA mpya itakayompunguzia mamlaka Rais kuamua Kila kitu ndiyo itakayozaa vyama makini, mifumo thabiti ya uwajibikaji, fikra mpya nk nk.
Tuanze na Katiba mpya, mengine yafuate.
Changamoto lakini wote si tuna jenga nyumba moja au tofauti ?Sidhani kama watasema,,,,kwa kuwa wanaogopa kuibiwa mawazo/brand.
Ni sawa na msoja kutoa Kambi za Jeshi....
SawaHao jamaa porojo tupu kinachohitajika ni madaraka pekee
Kama haohao wanaCCM ndiyo wanakuwa wagombea urais huko unategemea kutakuwa na jipya?
BTW:Jana mwandishi wa ITV (Ester Sandai) ame-report habari ya CDM kuhusu wale COVID 19 akiwa kwenye ofisi ileile chakavu huku wenyewe walituambia washahama huko.
Hongereni CHADEMA kwa kupata ofisi mpya
Nimeona picha za jengo jipya la Makao Makuu ya Chadema, jengo lililopo Mikocheni Dar Es Salaam. Jengo lenye facilities za kisasa kama kumbi za mikutano ya kisiasa, lakini lina afadhali kubwa inayoendana na ukubwa wa chama, ukilinganisha na lile lililoko pale Ufipa Street. Hapa ndipo panatakiwa...www.jamiiforums.com