Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongeza volume mkuu!Chadema muige hili linaweza kuzuia mambo ya lowasa kununua chama na kujisimika kuwa mgombea
Bila kumsahau mtemi chenge. Mbunge pekee ambae amepiga hela na serikal haijawahi kumgusa.Chadema muige hili linaweza kuzuia mambo ya lowasa kununua chama na kujisimika kuwa mgombea
Chadema muige hili linaweza kuzuia mambo ya lowasa kununua chama na kujisimika kuwa mgombea
Ni nzuri hiiNaona hukusoma vzr ujumbe wa haraka haraka!🤣🤣 amesema kama wao watapata taarifa na ushahidi ukawepo hafu takukuru wakawa hawajachukua hatua! Basi takukuru husika atakuwa hatoshi.
Maana mwasika wa rushwa akiwapa taarifa takukuru anatuma na kwa chama! Kwahiyo takukuru km umemlinda mtu! Ccm wanachukua hatua ktk ngazi ya uteuzi wako! Kwahiyo mi Nawapongeza CCM maana vita hii niyetu sote! Wapinzani igeni nia njeama hii sio dhambi.
rushwa inatakiwa kupigwa vita kila kona ndani na nje ya vyama sio kusubiri Takukuru wafike!!! kila chama kiige CCMTakukuru wana kazi gani? Au ndio hao mmewatumia kwenye siasa chafu, kiasi kwamba mmejua hawana lolote bali na wao ni waendekeza rushwa tu?
ccm bila rushwa haiwezi kuwepo...toka M'kiti wao Taifa hadi vifaranga akina Yehova [emoji23]rushwa inatakiwa kupigwa vita kila kona ndani na nje ya vyama sio kusubiri Takukuru wafike!!! kila chama kiige CCM
Nani aige uhalifu wa cccm?rushwa inatakiwa kupigwa vita kila kona ndani na nje ya vyama sio kusubiri Takukuru wafike!!! kila chama kiige CCM
rushwa inatakiwa kupigwa vita kila kona ndani na nje ya vyama sio kusubiri Takukuru wafike!!! kila chama kiige CCM
Ndio maana mlisubiri bili nane ziliwe ili takukuru waje kushughulikia?Kwahiyo Takukuru kazi yake ni nini?
Uadilifu unaanzia ndani ya ChamaTakukuru wana kazi gani? Au ndio hao mmewatumia kwenye siasa chafu, kiasi kwamba mmejua hawana lolote bali na wao ni waendekeza rushwa tu?
Uadilifu unaanzia ndani ya Chama