Ccm na rushwa ni kama maji na samaki.
Na ndio maana wanataka kushughulika na rushwa nje ya mfumo rasmi ili watoaji na wapokeaji wasipate shida yoyote!! Rushwa ni sehemu muhimu ya siasa za CCM!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ccm na rushwa ni kama maji na samaki.
NI DANGANYA TOTO TU,MAMBO BADO SANAKatika hili la kutamka waziwazi kuwa rushwa haitakiwi ndani ya chama chetu na hilo kama halitoshi, kuamua kufungua kituo cha taarifa pamoja na kuweka wazi mawasiliano ya jinsi ya kutoa taarifa pale vitakapobainika vitendo vya rushwa, NINAUNGA MKONO kwa nguvu na kushukuru chama kwa maamuzi haya muhimu sana katika kutekeleza kivitendo yale tunayoyaamini na kuyahubiri kupitia katiba ya chama, miiko ya chama, imani ya wanachama, na hasa yale ambayo tunaielekeza serikali tuliyoiunda iyatekeleze.
Ufisadi na rushwa vinapingwa kivitendo na kimipango na mikakati ya wazi, sio kwa kudai ..ooh ni ajenda yetu... alafu vitendo vyenu ni tofauti kabisa hadi mnakimbiwa sasa, watu wanataka kufahamu michango yao ya kila mwezi inaenda wapi pamoja na matumizi ya ruzuku, majibu ni oooh...aaaahh... blah blah... kama michango na ruzuku ndio inapigiwa kelele hivyo, ivi kweli mkipewa nchi mapato si yangeisha tungekosa hata daraja la waenda kwa miguu...sembuse flyover
Njooni huku tuwafunze kupambana na ufisadi kivitendo, kusimamia mapato ya kodi za umma na kujenga nchi.
Hivi kuna MTU mwenye akili anasoma hizi habari zenu naona kama mnapoteza mudaKatika hili la kutamka waziwazi kuwa rushwa haitakiwi ndani ya chama chetu na hilo kama halitoshi, kuamua kufungua kituo cha taarifa pamoja na kuweka wazi mawasiliano ya jinsi ya kutoa taarifa pale vitakapobainika vitendo vya rushwa, NINAUNGA MKONO kwa nguvu na kushukuru chama kwa maamuzi haya muhimu sana katika kutekeleza kivitendo yale tunayoyaamini na kuyahubiri kupitia katiba ya chama, miiko ya chama, imani ya wanachama, na hasa yale ambayo tunaielekeza serikali tuliyoiunda iyatekeleze.
Ufisadi na rushwa vinapingwa kivitendo na kimipango na mikakati ya wazi, sio kwa kudai ..ooh ni ajenda yetu... alafu vitendo vyenu ni tofauti kabisa hadi mnakimbiwa sasa, watu wanataka kufahamu michango yao ya kila mwezi inaenda wapi pamoja na matumizi ya ruzuku, majibu ni oooh...aaaahh... blah blah... kama michango na ruzuku ndio inapigiwa kelele hivyo, ivi kweli mkipewa nchi mapato si yangeisha tungekosa hata daraja la waenda kwa miguu...sembuse flyover
Njooni huku tuwafunze kupambana na ufisadi kivitendo, kusimamia mapato ya kodi za umma na kujenga nchi.
Katika hili la kutamka waziwazi kuwa rushwa haitakiwi ndani ya chama chetu na hilo kama halitoshi, kuamua kufungua kituo cha taarifa pamoja na kuweka wazi mawasiliano ya jinsi ya kutoa taarifa pale vitakapobainika vitendo vya rushwa, NINAUNGA MKONO kwa nguvu na kushukuru chama kwa maamuzi haya muhimu sana katika kutekeleza kivitendo yale tunayoyaamini na kuyahubiri kupitia katiba ya chama, miiko ya chama, imani ya wanachama, na hasa yale ambayo tunaielekeza serikali tuliyoiunda iyatekeleze.
Ufisadi na rushwa vinapingwa kivitendo na kimipango na mikakati ya wazi, sio kwa kudai ..ooh ni ajenda yetu... alafu vitendo vyenu ni tofauti kabisa hadi mnakimbiwa sasa, watu wanataka kufahamu michango yao ya kila mwezi inaenda wapi pamoja na matumizi ya ruzuku, majibu ni oooh...aaaahh... blah blah... kama michango na ruzuku ndio inapigiwa kelele hivyo, ivi kweli mkipewa nchi mapato si yangeisha tungekosa hata daraja la waenda kwa miguu...sembuse flyover
Njooni huku tuwafunze kupambana na ufisadi kivitendo, kusimamia mapato ya kodi za umma na kujenga nchi.
Bila hongo Ccm haina wapiga kura..Katika hili la kutamka waziwazi kuwa rushwa haitakiwi ndani ya chama chetu na hilo kama halitoshi, kuamua kufungua kituo cha taarifa pamoja na kuweka wazi mawasiliano ya jinsi ya kutoa taarifa pale vitakapobainika vitendo vya rushwa, NINAUNGA MKONO kwa nguvu na kushukuru chama kwa maamuzi haya muhimu sana katika kutekeleza kivitendo yale tunayoyaamini na kuyahubiri kupitia katiba ya chama, miiko ya chama, imani ya wanachama, na hasa yale ambayo tunaielekeza serikali tuliyoiunda iyatekeleze.
Ufisadi na rushwa vinapingwa kivitendo na kimipango na mikakati ya wazi, sio kwa kudai ..ooh ni ajenda yetu... alafu vitendo vyenu ni tofauti kabisa hadi mnakimbiwa sasa, watu wanataka kufahamu michango yao ya kila mwezi inaenda wapi pamoja na matumizi ya ruzuku, majibu ni oooh...aaaahh... blah blah... kama michango na ruzuku ndio inapigiwa kelele hivyo, ivi kweli mkipewa nchi mapato si yangeisha tungekosa hata daraja la waenda kwa miguu...sembuse flyover
Njooni huku tuwafunze kupambana na ufisadi kivitendo, kusimamia mapato ya kodi za umma na kujenga nchi.