CCM ina vyuo vya uongozi lakini viongozi wanatoka upinzani

CCM ina vyuo vya uongozi lakini viongozi wanatoka upinzani

Lord OSAGYEFO

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2021
Posts
3,085
Reaction score
4,890
Wadau wote ni mashahidi CCM ina vyuo vya uongozi toka enzi ya hayati baba wa taifa. Vyuo hivyo ilikuwa ni kuandaa viongozi wa kushika nyadhifa mbalimbali kama vile u-DC n.K

Siku hizi utaratibu huo haupo licha ya vyuo kuendelea kutoa wahitimu lakini hawapewi nyadhifa badala yake wanapewa nyadhifa wasanii, ili mradi tu wametunga nyimbo za kuwasifia watawala.

Toka imeingia awamu ya 5 tumeshuhudia CCM ikiwanunua wapinzani na kuwapa uwaziri, ukuu wa mikoa ukuu wa wilaya na ukurugenzi wa halmashauri na ubunge kama vile halima na kundi lake huku wakiwa hawajapita kwenye vyuo vya chama vya uongozi kujifunza masuala ya CCM.

Ni ushahidi mzuri kuwa upinzani hawa vyuo lakini wana viongozi ambao CCM inawahitaji.

Hongera wapinzani kwa kuaminiwa na CCM kuwaongoza.
 
Hivyo vyuo ni usanii tu. Ndiyo kusema hivyo vyuo wanaofaulu ni watoto wa vigogo tu?

Angalia watoto/wake/ndugu wa vigogo ndani ya ccm hapa chini.

Mtoto wa Prof Mgimwa
Mtoto wa Celina Kombani
Mtoto wa Abdallah Kigoda
Mtoto wa Kikwete
Mtoto wa Lowasa
Mtoto wa Karume (muasisi)
Mtoto wa Makamba
Mtoto wa Moses Nnauye
Mtoto wa Warioba
Mtoto wa Pinda
Mtoto wa Kawawa.
Mke wa Samwel Sitta
Mke wa Kikwete
Mpwa wa Jenista Mhagama (yule Kdoti)
Mke wa Ndugai
Dada wa Abdallah Kigoda
Mtoto wa Getrude Mongella
Mtoto wa Samia
Mkwe wa Samia.
....
....
...
N.k, n.k
Vyeo ni shamba la vigogo

Kalaga baho mwanaccm wa Nanjilinji. Utapeleka mwanao chuo cha CCM lkn hatopewa cheo.
 
Wadau wote ni mashahidi CCM ina vyuo vya uongozi toka enzi ya hayati baba wa taifa. Vyuo hivyo ilikuwa ni kuandaa viongozi wa kushika nyadhifa mbalimbali kama vile u-DC n.K

Siku hizi utaratibu huo haupo licha ya vyuo kuendelea kutoa wahitimu lakini hawapewi nyadhifa badala yake wanapewa nyadhifa wasanii, ili mradi tu wametunga nyimbo za kuwasifia watawala.

Toka imeingia awamu ya 5 tumeshuhudia CCM ikiwanunua wapinzani na kuwapa uwaziri, ukuu wa mikoa ukuu wa wilaya na ukurugenzi wa halmashauri na ubunge kama vile halima na kundi lake huku wakiwa hawajapita kwenye vyuo vya chama vya uongozi kujifunza masuala ya CCM.

Ni ushahidi mzuri kuwa upinzani hawa vyuo lakini wana viongozi ambao CCM inawahitaji.

Hongera wapinzani kwa kuaminiwa na CCM kuwaongoza.
Maajabu sana. Wanasema penye miti hakuna wajenzi
 
Hivyo vyuo ni usanii tu. Ndiyo kusema hivyo vyuo wanaofaulu ni watoto wa vigogo tu?

Angalia watoto/wake/ndugu wa vigogo ndani ya ccm hapa chini.

Mtoto wa Prof Mgimwa
Mtoto wa Celina Kombani
Mtoto wa Abdallah Kigoda
Mtoto wa Kikwete
Mtoto wa Lowasa
Mtoto wa Karume (muasisi)
Mtoto wa Makamba
Mtoto wa Moses Nnauye
Mtoto wa Warioba
Mtoto wa Pinda
Mtoto wa Kawawa.
Mke wa Samwel Sitta
Mke wa Kikwete
Mpwa wa Jenista Mhagama (yule Kdoti)
Mke wa Ndugai
Dada wa Abdallah Kigoda
Mtoto wa Getrude Mongella
....
....
...
N.k, n.k
Vyeo ni shamba la vigogo

Kalaga baho mwanaccm wa Nanjilinji. Utapeleka mwanao chuo cha CCM lkn hatopewa cheo.
Na mkwe wa Samia
 
Wadau wote ni mashahidi CCM ina vyuo vya uongozi toka enzi ya hayati baba wa taifa. Vyuo hivyo ilikuwa ni kuandaa viongozi wa kushika nyadhifa mbalimbali kama vile u-DC n.K

Siku hizi utaratibu huo haupo licha ya vyuo kuendelea kutoa wahitimu lakini hawapewi nyadhifa badala yake wanapewa nyadhifa wasanii, ili mradi tu wametunga nyimbo za kuwasifia watawala.

Toka imeingia awamu ya 5 tumeshuhudia CCM ikiwanunua wapinzani na kuwapa uwaziri, ukuu wa mikoa ukuu wa wilaya na ukurugenzi wa halmashauri na ubunge kama vile halima na kundi lake huku wakiwa hawajapita kwenye vyuo vya chama vya uongozi kujifunza masuala ya CCM.

Ni ushahidi mzuri kuwa upinzani hawa vyuo lakini wana viongozi ambao CCM inawahitaji.

Hongera wapinzani kwa kuaminiwa na CCM kuwaongoza.
Hao waliokuwa upinzani,walikuwa ni CCM,wakarudi tena CCM.Kwa hiyo hao,walikuwa ni CCM,lakini walikwenda upinzani kutembea tu.Na hata hao walioko upinzani sasa hivi,pia ni CCM.
 
Hakuna mtanzania asiyekuwa CCM,Ikiwa umezaliwa,na kusoma Tanzania,hata kama chekechea.Uliyofundishwa shule ni mitaala ya CCM,itakuwaje useme wewe sio CCM.
 
Wadau wote ni mashahidi CCM ina vyuo vya uongozi toka enzi ya hayati baba wa taifa. Vyuo hivyo ilikuwa ni kuandaa viongozi wa kushika nyadhifa mbalimbali kama vile u-DC n.K

Siku hizi utaratibu huo haupo licha ya vyuo kuendelea kutoa wahitimu lakini hawapewi nyadhifa badala yake wanapewa nyadhifa wasanii, ili mradi tu wametunga nyimbo za kuwasifia watawala.

Toka imeingia awamu ya 5 tumeshuhudia CCM ikiwanunua wapinzani na kuwapa uwaziri, ukuu wa mikoa ukuu wa wilaya na ukurugenzi wa halmashauri na ubunge kama vile halima na kundi lake huku wakiwa hawajapita kwenye vyuo vya chama vya uongozi kujifunza masuala ya CCM.

Ni ushahidi mzuri kuwa upinzani hawa vyuo lakini wana viongozi ambao CCM inawahitaji.

Hongera wapinzani kwa kuaminiwa na CCM kuwaongoza.
Ndani ya CCM hakuna viongozi kuna majangili tupu
 
1645692975955.png
 
Kila aliyezaliwa na kusoma shule za Tanzania,hata chekechea,ni CCM,usome mitaala ya CCM,shule,halafu useme sio CCM.
Ngoja tukujibu sawa na ujinga wako. Ccm imeanzishwa mwaka 1977. Mie mwenye niliyesoma elimu ya ukoloni je naingiaje kwenye hiyo inclusion yako ya kiwenda wazimu
 
Hakuna mtanzania asiyekuwa CCM,Ikiwa umezaliwa,na kusoma Tanzania,hata kama chekechea.Uliyofundishwa shule ni mitaala ya CCM,itakuwaje useme wewe sio CCM.
Duuh kumbe vilaza mko wengi!
 
Back
Top Bottom