CCM ina vyuo vya uongozi lakini viongozi wanatoka upinzani

CCM ina vyuo vya uongozi lakini viongozi wanatoka upinzani

Hakuna mtanzania asiyekuwa CCM,Ikiwa umezaliwa,na kusoma Tanzania,hata kama chekechea.Uliyofundishwa shule ni mitaala ya CCM,itakuwaje useme wewe sio CCM.
Nilikuwa nakuona kama unaweza kutafakari mambo kwa upana wake lakini kwa hicho ulichoandika,hata u-koplo wa "mgambo" haufai.
 
Ngoja tukujibu sawa na ujinga wako. Ccm imeanzishwa mwaka 1977. Mie mwenye niliyesoma elimu ya ukoloni je naingiaje kwenye hiyo inclusion yako ya kiwenda wazimu
CCM,ilizaliwa kutoka TANU,na TANU ilizaliwa kutoka TAA,TAA ilikuwako toka ukoloni,TANU ilikuwako toka Ukoloni,unakwepa wapi hapo,usiwe CCM.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM haiwaamini wahitimu wa vyuo vyake.
Wako radhi kuwachujua kina Nasari waliopikwa na wakapikika ndani ya chadema. By the way NASARI ndio mkuu wa wilaya anayefanya vizuri zaidi kuliko wakuu wa wilaya wote.
 
We kweli ni kichwa maji, mwanangu nae ni ccm, narudia tena wewe ni kichwa maji
Hakuna mtanzania asiyekuwa CCM,Ikiwa umezaliwa,na kusoma Tanzania,hata kama chekechea.Uliyofundishwa shule ni mitaala ya CCM,itakuwaje useme wewe sio CCM.
 
Yale MATAGA pori wenye Akili visoda nani awabebe?
Thubutu mabosi wakubwa ndani ya CCM wanajua kabisa Vijana wa Upinzani ni smart hivyo huwatumia Kwenye mambo Yao makubwa makubwa ila Kwenye mambo madogo madogo na ya hovyo Ili kujinufaisha na matumbo Yao huwatumia
toilet papers kama kina
Kinuju Bia yetu Kiturilo naIdugunde the witch kama chambo Kwa wajinga wajinga wanaohongwa buku Saba kama malipo ya udalali pale Lumumba head office!
😁😁😁😁😁🔥
 
Back
Top Bottom