CCM inahitaji kufanya reform

CCM inahitaji kufanya reform

Wolle Melkas Fernando

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2016
Posts
253
Reaction score
360
👉Kwa Nia njema Nina Machache kuhusu maadhimisho ya kuzaliwa kwa Chama changu Cha Mapinduzi (CCM), niseme tu kwamba CCM inahitaji kufanya 'Reform' yaani Mageuzi au Mabadiliko ili kutengeneza ari na mwamko mpya wa Chama na kuleta mvuto kwa wanachama wake pamoja na watu wengine wasio wanachama wa CCM.

👉Reform hizi lazima ziendane na mabadiliko ya kisiasa, kijamii, kiuchumi na Kiitikadi, yanayohitaji umakini mkubwa na uwazi.

👉Kwanza ni muhimu Uongozi wa Chama uwe shirikishi, yaani viongozi wapya ngazi zote wanapoingia kukiongoza Chama lazima watokane na msukumo wa wanachama na sio msukumo wa wajumbe walioko ukumbini na wala wasitokane na NDIYO ya wajumbe wanapokuwa ukumbini.

👉Ukiwa mjumbe ndani ya ukumbi inahitaji ujasiri sana kusema HAPANA kwa kiongozi aliyependekezwa na viongozi wako walio juu yako.

👉 Kuepusha hilo ni vema viongozi watokane na msukumo au maoni ya wanachama ambao ni nje ya wajumbe. Kazi ya wajumbe ukumbini itakuwa ni kuthibitisha tu kile kilichoamuliwa na wanachama huko nje.

👉Utaratibu huu unaweza kuratibiwa kwa kuunda Kamati za ngazi zote za kuratibu upatikanaji wa kiongozi anayekubalika zaidi Katika eneo husika kuanzia shina, tawi, kijiji, kata, Jimbo, Wilaya, Mkoa hadi Taifa.

👉Hii itasaidia sana kuleta mvuto kwenye Chama pale ambapo kiongozi wa Chama anapokubalika na wanachama na wasio wanachama.

👉Pia viongozi wa Chama wawe ni wale wanaoendana na mabadiliko ya Kisiasa, Kijamii, Kiuchumi na Kiitikadi, kwanini nasema hivi?

👉Kwasababu unaweza ukawekwa kukiongoza Chama huku umeshikilia itikadi ambazo hazikidhi haja ya Jamii iliyopo kwa wakati huo.

👉Kwa mfano, kwa sasa watu wengi wanaamini kukosekana kwa Maendeleo kunatokana na uzembe wa utendaji kazi kwa baadhi ya watu wa serikalini, Matumizi mabaya ya fedha za Umma kwa watu wasio waadilifu pamoja na kukithiri kwa rushwa.

👉Sasa hapa kama kiongozi wa Chama huwezi kuwaambia watu, endeleeni kukiamini Chama kwasababu sisi ni wazalendo.

👉Badala yake atahitajika kiongozi mwenye uthubu wa kupambana hadharani na watendaji wazembe na wasio waadilifu kwa kuwawajibisha bila kuwaonea aibu wala kuwaogopa lengo likiwa ni kulinda heshima ya Chama.

👉Kufanya Reform Kuna gharama zake, Kuna kuchukiana, Kuna kusemana, kukaripiana na kutokusifiana hovyo, lakini moja ya ahadi ya mwanachama wa CCM ni kwamba "Nitasema Kweli Daima Fitna Kwangu Mwiko".

👉Hii itakuwa njia ya kuleta mabadiliko ya kweli, kuamsha ari mpya, na kuvutia wanachama wapya ambao wanahitaji chama kinachoongozwa na maadili ya kweli na maendeleo.

👉Mwisho, CCM kujivunia na kutamba na Ukongwe isimaanishe kuwa ni Chama Kidumavu Kisichobadilika Bali imaanishe kuheshimu misingi iliyotufikisha hapa tulipo na misingi hiyo iwe chachu ya kutengeneza mustakabali wa Chama kwa kufanya 'Reforms'. Tofauti na hapo we are slowly digging our own grave for the future burial.
 
👉Kwa Nia njema Nina Machache kuhusu maadhimisho ya kuzaliwa kwa Chama changu Cha Mapinduzi (CCM), niseme tu kwamba CCM inahitaji kufanya 'Reform' yaani Mageuzi au Mabadiliko ili kutengeneza ari na mwamko mpya wa Chama na kuleta mvuto kwa wanachama wake pamoja na watu wengine wasio wanachama wa CCM.

👉Reform hizi lazima ziendane na mabadiliko ya kisiasa, kijamii, kiuchumi na Kiitikadi, yanayohitaji umakini mkubwa na uwazi.

👉Kwanza ni muhimu Uongozi wa Chama uwe shirikishi, yaani viongozi wapya ngazi zote wanapoingia kukiongoza Chama lazima watokane na msukumo wa wanachama na sio msukumo wa wajumbe walioko ukumbini na wala wasitokane na NDIYO ya wajumbe wanapokuwa ukumbini.

👉Ukiwa mjumbe ndani ya ukumbi inahitaji ujasiri sana kusema HAPANA kwa kiongozi aliyependekezwa na viongozi wako walio juu yako.

👉 Kuepusha hilo ni vema viongozi watokane na msukumo au maoni ya wanachama ambao ni nje ya wajumbe. Kazi ya wajumbe ukumbini itakuwa ni kuthibitisha tu kile kilichoamuliwa na wanachama huko nje.

👉Utaratibu huu unaweza kuratibiwa kwa kuunda Kamati za ngazi zote za kuratibu upatikanaji wa kiongozi anayekubalika zaidi Katika eneo husika kuanzia shina, tawi, kijiji, kata, Jimbo, Wilaya, Mkoa hadi Taifa.

👉Hii itasaidia sana kuleta mvuto kwenye Chama pale ambapo kiongozi wa Chama anapokubalika na wanachama na wasio wanachama.

👉Pia viongozi wa Chama wawe ni wale wanaoendana na mabadiliko ya Kisiasa, Kijamii, Kiuchumi na Kiitikadi, kwanini nasema hivi?

👉Kwasababu unaweza ukawekwa kukiongoza Chama huku umeshikilia itikadi ambazo hazikidhi haja ya Jamii iliyopo kwa wakati huo.

👉Kwa mfano, kwa sasa watu wengi wanaamini kukosekana kwa Maendeleo kunatokana na uzembe wa utendaji kazi kwa baadhi ya watu wa serikalini, Matumizi mabaya ya fedha za Umma kwa watu wasio waadilifu pamoja na kukithiri kwa rushwa.

👉Sasa hapa kama kiongozi wa Chama huwezi kuwaambia watu, endeleeni kukiamini Chama kwasababu sisi ni wazalendo.

👉Badala yake atahitajika kiongozi mwenye uthubu wa kupambana hadharani na watendaji wazembe na wasio waadilifu kwa kuwawajibisha bila kuwaonea aibu wala kuwaogopa lengo likiwa ni kulinda heshima ya Chama.

👉Kufanya Reform Kuna gharama zake, Kuna kuchukiana, Kuna kusemana, kukaripiana na kutokusifiana hovyo, lakini moja ya ahadi ya mwanachama wa CCM ni kwamba "Nitasema Kweli Daima Fitna Kwangu Mwiko".

👉Hii itakuwa njia ya kuleta mabadiliko ya kweli, kuamsha ari mpya, na kuvutia wanachama wapya ambao wanahitaji chama kinachoongozwa na maadili ya kweli na maendeleo.

👉Mwisho, CCM kujivunia na kutamba na Ukongwe isimaanishe kuwa ni Chama Kidumavu Kisichobadilika Bali imaanishe kuheshimu misingi iliyotufikisha hapa tulipo na misingi hiyo iwe chachu ya kutengeneza mustakabali wa Chama kwa kufanya 'Reforms'. Tofauti na hapo we are slowly digging our own grave for the future burial.

Nasubiria reform ya Tundu Lissu then nichague the best?✌️
 
👉Kwa Nia njema Nina Machache kuhusu maadhimisho ya kuzaliwa kwa Chama changu Cha Mapinduzi (CCM), niseme tu kwamba CCM inahitaji kufanya 'Reform' yaani Mageuzi au Mabadiliko ili kutengeneza ari na mwamko mpya wa Chama na kuleta mvuto kwa wanachama wake pamoja na watu wengine wasio wanachama wa CCM.

👉Reform hizi lazima ziendane na mabadiliko ya kisiasa, kijamii, kiuchumi na Kiitikadi, yanayohitaji umakini mkubwa na uwazi.

👉Kwanza ni muhimu Uongozi wa Chama uwe shirikishi, yaani viongozi wapya ngazi zote wanapoingia kukiongoza Chama lazima watokane na msukumo wa wanachama na sio msukumo wa wajumbe walioko ukumbini na wala wasitokane na NDIYO ya wajumbe wanapokuwa ukumbini.

👉Ukiwa mjumbe ndani ya ukumbi inahitaji ujasiri sana kusema HAPANA kwa kiongozi aliyependekezwa na viongozi wako walio juu yako.

👉 Kuepusha hilo ni vema viongozi watokane na msukumo au maoni ya wanachama ambao ni nje ya wajumbe. Kazi ya wajumbe ukumbini itakuwa ni kuthibitisha tu kile kilichoamuliwa na wanachama huko nje.

👉Utaratibu huu unaweza kuratibiwa kwa kuunda Kamati za ngazi zote za kuratibu upatikanaji wa kiongozi anayekubalika zaidi Katika eneo husika kuanzia shina, tawi, kijiji, kata, Jimbo, Wilaya, Mkoa hadi Taifa.

👉Hii itasaidia sana kuleta mvuto kwenye Chama pale ambapo kiongozi wa Chama anapokubalika na wanachama na wasio wanachama.

👉Pia viongozi wa Chama wawe ni wale wanaoendana na mabadiliko ya Kisiasa, Kijamii, Kiuchumi na Kiitikadi, kwanini nasema hivi?

👉Kwasababu unaweza ukawekwa kukiongoza Chama huku umeshikilia itikadi ambazo hazikidhi haja ya Jamii iliyopo kwa wakati huo.

👉Kwa mfano, kwa sasa watu wengi wanaamini kukosekana kwa Maendeleo kunatokana na uzembe wa utendaji kazi kwa baadhi ya watu wa serikalini, Matumizi mabaya ya fedha za Umma kwa watu wasio waadilifu pamoja na kukithiri kwa rushwa.

👉Sasa hapa kama kiongozi wa Chama huwezi kuwaambia watu, endeleeni kukiamini Chama kwasababu sisi ni wazalendo.

👉Badala yake atahitajika kiongozi mwenye uthubu wa kupambana hadharani na watendaji wazembe na wasio waadilifu kwa kuwawajibisha bila kuwaonea aibu wala kuwaogopa lengo likiwa ni kulinda heshima ya Chama.

👉Kufanya Reform Kuna gharama zake, Kuna kuchukiana, Kuna kusemana, kukaripiana na kutokusifiana hovyo, lakini moja ya ahadi ya mwanachama wa CCM ni kwamba "Nitasema Kweli Daima Fitna Kwangu Mwiko".

👉Hii itakuwa njia ya kuleta mabadiliko ya kweli, kuamsha ari mpya, na kuvutia wanachama wapya ambao wanahitaji chama kinachoongozwa na maadili ya kweli na maendeleo.

👉Mwisho, CCM kujivunia na kutamba na Ukongwe isimaanishe kuwa ni Chama Kidumavu Kisichobadilika Bali imaanishe kuheshimu misingi iliyotufikisha hapa tulipo na misingi hiyo iwe chachu ya kutengeneza mustakabali wa Chama kwa kufanya 'Reforms'. Tofauti na hapo we are slowly digging our own grave for the future burial.
Gentleman,
mipango mikakati ya hua ni ya miaka mia1 ijayo,

ni muhimu kuzingati matokeo ya chaguzi mbalimbali hususani huu wa Oct 2025, 2030, 2035 na hata wa 2040 ndio utashuhudia uimara na umadhubuti wa CCM,

vinginevyo utautesa na kuuumiza moyo wako pakubwa mno kueleza mambo ambayo ndiyo hufanyika mara kwa mara ndani ya CCM katika kujiimarisha na kujisahihisha ili kujizatiti kushika dola, kuunda serikali na kuongoza nchi 🐒
 
ccm inajua kabisa kama sasa wafuasi wao na machawa ni wasaka tonge na kwa hali ilivyosasa haiwekani kubadilika ,ccm aliyeiacha nyelele ilishishia kwa mkapa na hii sasa inakwenda kuwa ya watoto taratibu inaelekea kuwa ya jamii flani hapo siku si nyingi ndio itakutana na kifo chake kwa mtazamo wangu ingawa mimi sinq chama ila ccm inaweza kupoteza dola baada ya miaka 10 ijayo na sababu kubwa itakuwa vita vya wao kwa wao ndani ya system
Dalili za wazi na kuanza kuvuna kanuni za namna ya kupata mgombea 2030 watakuja na pendekezo la makamo ndiye awe mgombea ndiooo fomu moja hapo ndio vita zitaanza
 
Gentleman,
mipango mikakati ya hua ni ya miaka mia1 ijayo,

ni muhimu kuzingati matokeo ya chaguzi mbalimbali hususani huu wa Oct 2025, 2030, 2035 na hata wa 2040 ndio utashuhudia uimara na umadhubuti wa CCM,

vinginevyo utautesa na kuuumiza moyo wako pakubwa mno kueleza mambo ambayo ndiyo hufanyika mara kwa mara ndani ya CCM katika kujiimarisha na kujisahihisha ili kujizatiti kushika dola, kuunda serikali na kuongoza nchi 🐒
Hakika Umeona Mbali sana mdau ingawaje si Mwanaccm
ccm inajua kabisa kama sasa wafuasi wao na machawa ni wasaka tonge na kwa hali ilivyosasa haiwekani kubadilika ,ccm aliyeiacha nyelele ilishishia kwa mkapa na hii sasa inakwenda kuwa ya watoto taratibu inaelekea kuwa ya jamii flani hapo siku si nyingi ndio itakutana na kifo chake kwa mtazamo wangu ingawa mimi sinq chama ila ccm inaweza kupoteza dola baada ya miaka 10 ijayo na sababu kubwa itakuwa vita vya wao kwa wao ndani ya system
Dalili za wazi na kuanza kuvuna kanuni za namna ya kupata mgombea 2030 watakuja na pendekezo la makamo ndiye awe mgombea ndiooo fomu moja hapo ndio vita zitaanza
Kuna kaukweli hapa ila tutapambana kuweka Chama kwenye hali nzuri, Chama kikiwa na tabia ya kufunikiza mwanaharamu apite, hiyo tabia huwa haiishii kwenye Chama, inakwenda mbali Hadi ngazi ya Kitaifa na Hupitiliza mpaka ngazi ya Kimataifa. Chama Kikiwa Smart na Serikali yake huwa Smart.
 
Hakika Umeona Mbali sana mdau ingawaje si Mwanaccm

Kuna kaukweli hapa ila tutapambana kuweka Chama kwenye hali nzuri, Chama kikiwa na tabia ya kufunikiza mwanaharamu apite, hiyo tabia huwa haiishii kwenye Chama, inakwenda mbali Hadi ngazi ya Kitaifa na Hupitiliza mpaka ngazi ya Kimataifa. Chama Kikiwa Smart na Serikali yake huwa Smart.
CCM ni smart na kwakweli serikali yake sikivu ni imara na madhubuti zaid kadiri siku, miezi na miaka inavyosonga,

na hii maana yake,
vyama vingine vya siasa nchini vitaiskilizia dola na serikali kwenye vyombo vya habari tu na kuitazama kwenye TV 🐒
 
👉Kwa Nia njema Nina Machache kuhusu maadhimisho ya kuzaliwa kwa Chama changu Cha Mapinduzi (CCM), niseme tu kwamba CCM inahitaji kufanya 'Reform' yaani Mageuzi au Mabadiliko ili kutengeneza ari na mwamko mpya wa Chama na kuleta mvuto kwa wanachama wake pamoja na watu wengine wasio wanachama wa CCM.

👉Reform hizi lazima ziendane na mabadiliko ya kisiasa, kijamii, kiuchumi na Kiitikadi, yanayohitaji umakini mkubwa na uwazi.

👉Kwanza ni muhimu Uongozi wa Chama uwe shirikishi, yaani viongozi wapya ngazi zote wanapoingia kukiongoza Chama lazima watokane na msukumo wa wanachama na sio msukumo wa wajumbe walioko ukumbini na wala wasitokane na NDIYO ya wajumbe wanapokuwa ukumbini.

👉Ukiwa mjumbe ndani ya ukumbi inahitaji ujasiri sana kusema HAPANA kwa kiongozi aliyependekezwa na viongozi wako walio juu yako.

👉 Kuepusha hilo ni vema viongozi watokane na msukumo au maoni ya wanachama ambao ni nje ya wajumbe. Kazi ya wajumbe ukumbini itakuwa ni kuthibitisha tu kile kilichoamuliwa na wanachama huko nje.

👉Utaratibu huu unaweza kuratibiwa kwa kuunda Kamati za ngazi zote za kuratibu upatikanaji wa kiongozi anayekubalika zaidi Katika eneo husika kuanzia shina, tawi, kijiji, kata, Jimbo, Wilaya, Mkoa hadi Taifa.

👉Hii itasaidia sana kuleta mvuto kwenye Chama pale ambapo kiongozi wa Chama anapokubalika na wanachama na wasio wanachama.

👉Pia viongozi wa Chama wawe ni wale wanaoendana na mabadiliko ya Kisiasa, Kijamii, Kiuchumi na Kiitikadi, kwanini nasema hivi?

👉Kwasababu unaweza ukawekwa kukiongoza Chama huku umeshikilia itikadi ambazo hazikidhi haja ya Jamii iliyopo kwa wakati huo.

👉Kwa mfano, kwa sasa watu wengi wanaamini kukosekana kwa Maendeleo kunatokana na uzembe wa utendaji kazi kwa baadhi ya watu wa serikalini, Matumizi mabaya ya fedha za Umma kwa watu wasio waadilifu pamoja na kukithiri kwa rushwa.

👉Sasa hapa kama kiongozi wa Chama huwezi kuwaambia watu, endeleeni kukiamini Chama kwasababu sisi ni wazalendo.

👉Badala yake atahitajika kiongozi mwenye uthubu wa kupambana hadharani na watendaji wazembe na wasio waadilifu kwa kuwawajibisha bila kuwaonea aibu wala kuwaogopa lengo likiwa ni kulinda heshima ya Chama.

👉Kufanya Reform Kuna gharama zake, Kuna kuchukiana, Kuna kusemana, kukaripiana na kutokusifiana hovyo, lakini moja ya ahadi ya mwanachama wa CCM ni kwamba "Nitasema Kweli Daima Fitna Kwangu Mwiko".

👉Hii itakuwa njia ya kuleta mabadiliko ya kweli, kuamsha ari mpya, na kuvutia wanachama wapya ambao wanahitaji chama kinachoongozwa na maadili ya kweli na maendeleo.

👉Mwisho, CCM kujivunia na kutamba na Ukongwe isimaanishe kuwa ni Chama Kidumavu Kisichobadilika Bali imaanishe kuheshimu misingi iliyotufikisha hapa tulipo na misingi hiyo iwe chachu ya kutengeneza mustakabali wa Chama kwa kufanya 'Reforms'. Tofauti na hapo we are slowly digging our own grave for the future burial.
Wassira👇
 

Attachments

  • IMG-20250205-WA0021.jpg
    IMG-20250205-WA0021.jpg
    57.8 KB · Views: 2
CCM imekosa mvuto Kwa miaka ya hivi karibuni political wise, Uchawa na kuabudu na kusifia ndo kumetawala
👉Kwa Nia njema Nina Machache kuhusu maadhimisho ya kuzaliwa kwa Chama changu Cha Mapinduzi (CCM), niseme tu kwamba CCM inahitaji kufanya 'Reform' yaani Mageuzi au Mabadiliko ili kutengeneza ari na mwamko mpya wa Chama na kuleta mvuto kwa wanachama wake pamoja na watu wengine wasio wanachama wa CCM.

👉Reform hizi lazima ziendane na mabadiliko ya kisiasa, kijamii, kiuchumi na Kiitikadi, yanayohitaji umakini mkubwa na uwazi.

👉Kwanza ni muhimu Uongozi wa Chama uwe shirikishi, yaani viongozi wapya ngazi zote wanapoingia kukiongoza Chama lazima watokane na msukumo wa wanachama na sio msukumo wa wajumbe walioko ukumbini na wala wasitokane na NDIYO ya wajumbe wanapokuwa ukumbini.

👉Ukiwa mjumbe ndani ya ukumbi inahitaji ujasiri sana kusema HAPANA kwa kiongozi aliyependekezwa na viongozi wako walio juu yako.

👉 Kuepusha hilo ni vema viongozi watokane na msukumo au maoni ya wanachama ambao ni nje ya wajumbe. Kazi ya wajumbe ukumbini itakuwa ni kuthibitisha tu kile kilichoamuliwa na wanachama huko nje.

👉Utaratibu huu unaweza kuratibiwa kwa kuunda Kamati za ngazi zote za kuratibu upatikanaji wa kiongozi anayekubalika zaidi Katika eneo husika kuanzia shina, tawi, kijiji, kata, Jimbo, Wilaya, Mkoa hadi Taifa.

👉Hii itasaidia sana kuleta mvuto kwenye Chama pale ambapo kiongozi wa Chama anapokubalika na wanachama na wasio wanachama.

👉Pia viongozi wa Chama wawe ni wale wanaoendana na mabadiliko ya Kisiasa, Kijamii, Kiuchumi na Kiitikadi, kwanini nasema hivi?

👉Kwasababu unaweza ukawekwa kukiongoza Chama huku umeshikilia itikadi ambazo hazikidhi haja ya Jamii iliyopo kwa wakati huo.

👉Kwa mfano, kwa sasa watu wengi wanaamini kukosekana kwa Maendeleo kunatokana na uzembe wa utendaji kazi kwa baadhi ya watu wa serikalini, Matumizi mabaya ya fedha za Umma kwa watu wasio waadilifu pamoja na kukithiri kwa rushwa.

👉Sasa hapa kama kiongozi wa Chama huwezi kuwaambia watu, endeleeni kukiamini Chama kwasababu sisi ni wazalendo.

👉Badala yake atahitajika kiongozi mwenye uthubu wa kupambana hadharani na watendaji wazembe na wasio waadilifu kwa kuwawajibisha bila kuwaonea aibu wala kuwaogopa lengo likiwa ni kulinda heshima ya Chama.

👉Kufanya Reform Kuna gharama zake, Kuna kuchukiana, Kuna kusemana, kukaripiana na kutokusifiana hovyo, lakini moja ya ahadi ya mwanachama wa CCM ni kwamba "Nitasema Kweli Daima Fitna Kwangu Mwiko".

👉Hii itakuwa njia ya kuleta mabadiliko ya kweli, kuamsha ari mpya, na kuvutia wanachama wapya ambao wanahitaji chama kinachoongozwa na maadili ya kweli na maendeleo.

👉Mwisho, CCM kujivunia na kutamba na Ukongwe isimaanishe kuwa ni Chama Kidumavu Kisichobadilika Bali imaanishe kuheshimu misingi iliyotufikisha hapa tulipo na misingi hiyo iwe chachu ya kutengeneza mustakabali wa Chama kwa kufanya 'Reforms'. Tofauti na hapo we are slowly digging our own grave for the future burial.
 
👉Kwa Nia njema Nina Machache kuhusu maadhimisho ya kuzaliwa kwa Chama changu Cha Mapinduzi (CCM), niseme tu kwamba CCM inahitaji kufanya 'Reform' yaani Mageuzi au Mabadiliko ili kutengeneza ari na mwamko mpya wa Chama na kuleta mvuto kwa wanachama wake pamoja na watu wengine wasio wanachama wa CCM.

👉Reform hizi lazima ziendane na mabadiliko ya kisiasa, kijamii, kiuchumi na Kiitikadi, yanayohitaji umakini mkubwa na uwazi.

👉Kwanza ni muhimu Uongozi wa Chama uwe shirikishi, yaani viongozi wapya ngazi zote wanapoingia kukiongoza Chama lazima watokane na msukumo wa wanachama na sio msukumo wa wajumbe walioko ukumbini na wala wasitokane na NDIYO ya wajumbe wanapokuwa ukumbini.

👉Ukiwa mjumbe ndani ya ukumbi inahitaji ujasiri sana kusema HAPANA kwa kiongozi aliyependekezwa na viongozi wako walio juu yako.

👉 Kuepusha hilo ni vema viongozi watokane na msukumo au maoni ya wanachama ambao ni nje ya wajumbe. Kazi ya wajumbe ukumbini itakuwa ni kuthibitisha tu kile kilichoamuliwa na wanachama huko nje.

👉Utaratibu huu unaweza kuratibiwa kwa kuunda Kamati za ngazi zote za kuratibu upatikanaji wa kiongozi anayekubalika zaidi Katika eneo husika kuanzia shina, tawi, kijiji, kata, Jimbo, Wilaya, Mkoa hadi Taifa.

👉Hii itasaidia sana kuleta mvuto kwenye Chama pale ambapo kiongozi wa Chama anapokubalika na wanachama na wasio wanachama.

👉Pia viongozi wa Chama wawe ni wale wanaoendana na mabadiliko ya Kisiasa, Kijamii, Kiuchumi na Kiitikadi, kwanini nasema hivi?

👉Kwasababu unaweza ukawekwa kukiongoza Chama huku umeshikilia itikadi ambazo hazikidhi haja ya Jamii iliyopo kwa wakati huo.

👉Kwa mfano, kwa sasa watu wengi wanaamini kukosekana kwa Maendeleo kunatokana na uzembe wa utendaji kazi kwa baadhi ya watu wa serikalini, Matumizi mabaya ya fedha za Umma kwa watu wasio waadilifu pamoja na kukithiri kwa rushwa.

👉Sasa hapa kama kiongozi wa Chama huwezi kuwaambia watu, endeleeni kukiamini Chama kwasababu sisi ni wazalendo.

👉Badala yake atahitajika kiongozi mwenye uthubu wa kupambana hadharani na watendaji wazembe na wasio waadilifu kwa kuwawajibisha bila kuwaonea aibu wala kuwaogopa lengo likiwa ni kulinda heshima ya Chama.

👉Kufanya Reform Kuna gharama zake, Kuna kuchukiana, Kuna kusemana, kukaripiana na kutokusifiana hovyo, lakini moja ya ahadi ya mwanachama wa CCM ni kwamba "Nitasema Kweli Daima Fitna Kwangu Mwiko".

👉Hii itakuwa njia ya kuleta mabadiliko ya kweli, kuamsha ari mpya, na kuvutia wanachama wapya ambao wanahitaji chama kinachoongozwa na maadili ya kweli na maendeleo.

👉Mwisho, CCM kujivunia na kutamba na Ukongwe isimaanishe kuwa ni Chama Kidumavu Kisichobadilika Bali imaanishe kuheshimu misingi iliyotufikisha hapa tulipo na misingi hiyo iwe chachu ya kutengeneza mustakabali wa Chama kwa kufanya 'Reforms'. Tofauti na hapo we are slowly digging our own grave for the future burial.



..CCM inapata ruzuku BILLION 3.2 kila mwezi.

..haihitaji tena wanachama, bali wanachama ndio wanaihitaji CCM.

..Vyama vinavyohitaji wanachama, na vinavyowanyenyekea, na kuwaheshimu, ni vile vinavyotegemea michango na hisani za wanachama.
 
Kuna kaukweli hapa ila tutapambana kuweka Chama kwenye hali nzuri, Chama kikiwa na tabia ya kufunikiza mwanaharamu apite, hiyo tabia huwa haiishii kwenye Chama, inakwenda mbali Hadi ngazi ya Kitaifa na Hupitiliza mpaka ngazi ya Kimataifa. Chama Kikiwa Smart na Serikali yake huwa Smart.
Ukweli mtupu
Kuna watoto wa vigogo dhuluma sana haswa katika Ardhi na biashara za watu

Wanalindwa kwa udi nauvumba mambo yao yasionekane
 
Back
Top Bottom