KARLO MWILAPWA
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 2,789
- 4,951
Huu ni mtazamo wangu binafsi wa mtu anayefaa kupokea kijiti Cha Komredi Kinana kama makamu mwenyekiti mpya wa CCM Taifa.
Kwanza, CCM inahitaji Mzee wa mafaili kama alivyokuwa Mzee Mangula. Kwa kuwa tunaelekea uchaguzi mkuu mtu mwenye sifa hiyo atakisaidia chama kuwafunga breki wanachama wanaoonekana kuenenda kinyume na taratibu za chama.
Pili, chama kinahitaji mtaalamu wa masuala ya chama na mwenye rekodi isiyo na shaka ya uwezo na uadilifu wake kwa chama.
Tatu, Chama kinahitaji mtu mwenye kuiishi vyema Imani na itikadi ya CCM kwa vitendo.
Nne, Chama kinahitaji mtaalamu mzuri wa propaganda za kisiasa na mwenye uwezo wa kutoa hoja na ufafanuzi.
Zaidi, Chama kinahitaji mtu mwenye karibu na misimamo thabiti kama ya Mzee Mangula kuelekea 2025.
PIA SOMA
- Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia
Kwanza, CCM inahitaji Mzee wa mafaili kama alivyokuwa Mzee Mangula. Kwa kuwa tunaelekea uchaguzi mkuu mtu mwenye sifa hiyo atakisaidia chama kuwafunga breki wanachama wanaoonekana kuenenda kinyume na taratibu za chama.
Pili, chama kinahitaji mtaalamu wa masuala ya chama na mwenye rekodi isiyo na shaka ya uwezo na uadilifu wake kwa chama.
Tatu, Chama kinahitaji mtu mwenye kuiishi vyema Imani na itikadi ya CCM kwa vitendo.
Nne, Chama kinahitaji mtaalamu mzuri wa propaganda za kisiasa na mwenye uwezo wa kutoa hoja na ufafanuzi.
Zaidi, Chama kinahitaji mtu mwenye karibu na misimamo thabiti kama ya Mzee Mangula kuelekea 2025.
PIA SOMA
- Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia