Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Nimesikitishwa sana kuona uvaaji wa Askari wetu wa uhifadhi wanaofanya operesheni ya kuua fisi huko mkoani Simiyu.
Inakuwaje nchi iliyofikisha Watalii Milioni 5 mwaka huu ambao wameingiza fedha za kigeni za kutosha kushindwa kuwanunulia nguo na vifaa stahiki askari wetu wa Wanyamapori?
Inakuwaje Askari wetu wanavaa buti za wakulima kama askari waasi wa Congo au Askari wa Jeshi la Congo? Tuseme tumeshindwa hata kuwanunulia buti za kiaskari?
Imenisikitisha sana kuona wahifadhi wetu wakivaa kama Askari wa kikosi cha Wazalendo kule Congo.
Angalieni wenyewe hapo chini👇
Aibu naona mimi!
Hapa 👇chini angalieni wenzenu wa Kenya Wildlife Services wanavyovalishwa vizuri. Tujifunze!
Inakuwaje nchi iliyofikisha Watalii Milioni 5 mwaka huu ambao wameingiza fedha za kigeni za kutosha kushindwa kuwanunulia nguo na vifaa stahiki askari wetu wa Wanyamapori?
Inakuwaje Askari wetu wanavaa buti za wakulima kama askari waasi wa Congo au Askari wa Jeshi la Congo? Tuseme tumeshindwa hata kuwanunulia buti za kiaskari?
Imenisikitisha sana kuona wahifadhi wetu wakivaa kama Askari wa kikosi cha Wazalendo kule Congo.
Angalieni wenyewe hapo chini👇
Aibu naona mimi!
Hapa 👇chini angalieni wenzenu wa Kenya Wildlife Services wanavyovalishwa vizuri. Tujifunze!