CCM inamhitaji Kinana kuliko Kinana anavyoihitaji CCM

CCM inamhitaji Kinana kuliko Kinana anavyoihitaji CCM

Sawa.si walilipwa fadhila ?unadhani nape ana uwezo wa kuwa waziri.si kubebana tu..
Haya sawa umebebwa unamtekenya aliyekubeba nani atakuvumilia?.
Sasa mjinga si mjinga tu! Nilisoma mahali F4 alilamba F kama zote
 
kila mtu ana umuhimu hapa duniani, angekuwa kafa je, ungesema afufuke maana ccm bado inamuhitaji?
 
Aliondoka Nyerere mwenye CCM yake atakuwa kinana? Kafanya Kwa uwezo wake ACHA Sasa apumzikde na wengine waendelee.
 
Mwaka 2020 CCM ilishinda bila Kinana na genge lake
 
MTU TATU NDANI YA TRACK MOJA.

1722329742537.png


Lazima uwe na D 2 kuelewa hiyo COMBO.
 
Wakati mwingine muache kuongea msivyovijua. Hisia tu unaanza kuandika. CCM sasa haimuhitaji Kinana ila Kinana ndiye anaihitaji CCM ili biashara zake zisikwame.
Mtu kama alikua ana staarf mnamrudisha inamaana mnauhitaji nae sana.
Usikaze kichwa CCM haijawah kuamini katika rasilimali vijana ilio nao huo ndio ukweli..so bado inamhitaji KINANA na sio wewe Na kadi yako.
 
Mtu kama alikua ana staarf mnamrudisha inamaana mnauhitaji nae sana.
Usikaze kichwa CCM haijawah kuamini katika rasilimali vijana ilio nao huo ndio ukweli..so bado inamhitaji KINANA na sio wewe Na kadi yako.
Ndio hapo sasa. Ukiona kijana amepata nafasi ndani ya ccm ni kwa sababu tu ni mtoto wa familia yao. Sio kwa sababu ana uwezo
 
Back
Top Bottom