- Thread starter
- #21
Hapo pesa zitawafuata wenye pesa tu ila hakuna mlengwa hata mmoja atakayenufaika.
Tuungane kuwakataa wahuni. Siyo watu wazuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo pesa zitawafuata wenye pesa tu ila hakuna mlengwa hata mmoja atakayenufaika.
TumepigwaaaKuwa na mpango mzito kama huo, ingependeza Samia angeuzungumzia jana wakati akiongea na wanafunzi wa vyuo vikuu, lakini jambo hilo kumuachia Msigwa ambaye tumeshamzoea kwa matamko yake ya kisanii ili kuitetea serikali sio wa kuaminika.
Ni baadhi ya wale wanaojiita wenye nchi ndio wanaleta tatizo.Na wewe hukiamini chama chako?
Ni baadhi ya wale wanaojiita wenye nchi ndio wanaleta tatizo.
CCM iko safi kabisa.
Wapeni kwanza hao vijana mikopo ya kusoma kwa 100% halafu wakimaliza masomo ndio muwape mikopo ya biashara.Ni kweli kuwa vita vya panzi ni furaha ya kunguru.
Hata hivyo kwa mustakabala wetu wakiwamo watoto wa wajukuu zetu, tusiache mbachao kwa msala upitao.
Haina shaka kuwa nyongeza ya kwenye "boom" haina tofauti na punje ya mchele na punje ya almasi kwa jogoo.
Mengine haya ni yale yale:
View attachment 2515670
Tusiache kujiuliza kwani mpango mzuri kama huu uanzie wapi?
"Vijana watakapo hitimu au kwa wahitimu walioko mitaani tayari bila ajira?"
Inafahamika tutasikia mengi sana kwa kadri homa ya siasa itakavyoendelea kupanda.
Hata hivyo kama wenye akili zetu ni muhimu kuhoji.
Zaidi mno tutambue ndo ndo ndo si chururu.