CCM inapo tapa tapa kusaka uungwaji mkono

CCM inapo tapa tapa kusaka uungwaji mkono

Kuwa na mpango mzito kama huo, ingependeza Samia angeuzungumzia jana wakati akiongea na wanafunzi wa vyuo vikuu, lakini jambo hilo kumuachia Msigwa ambaye tumeshamzoea kwa matamko yake ya kisanii ili kuitetea serikali sio wa kuaminika.
Tumepigwaaa
 
Ni baadhi ya wale wanaojiita wenye nchi ndio wanaleta tatizo.

CCM iko safi kabisa.

Ninakazia:

Maendeleo hayana chama na tunaweza kusikilizana sote nchi ikawa mahali hii pema kabisa pa kuishi.
 
Ni kweli kuwa vita vya panzi ni furaha ya kunguru.

Hata hivyo kwa mustakabala wetu wakiwamo watoto wa wajukuu zetu, tusiache mbachao kwa msala upitao.

Haina shaka kuwa nyongeza ya kwenye "boom" haina tofauti na punje ya mchele na punje ya almasi kwa jogoo.

Mengine haya ni yale yale:

View attachment 2515670

Tusiache kujiuliza kwani mpango mzuri kama huu uanzie wapi?

"Vijana watakapo hitimu au kwa wahitimu walioko mitaani tayari bila ajira?"

Inafahamika tutasikia mengi sana kwa kadri homa ya siasa itakavyoendelea kupanda.

Hata hivyo kama wenye akili zetu ni muhimu kuhoji.

Zaidi mno tutambue ndo ndo ndo si chururu.
Wapeni kwanza hao vijana mikopo ya kusoma kwa 100% halafu wakimaliza masomo ndio muwape mikopo ya biashara.
 
Back
Top Bottom