CCM inawatakia kila la heri kwenye mitihani yao wanafunzi wote wa darasa la 7

CCM inawatakia kila la heri kwenye mitihani yao wanafunzi wote wa darasa la 7

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
CCM inawatakia heri wanafunzi wote wa darasa la 7 wanaoanza mitihani yao leo

IMG-20210907-WA0057.jpg
 
Halafu huu mtindo wa ofisi za umma kutengeneza Best wishes na congratulations fliers wakati Kuna kazi nyingi za kufanya ni ujinga tu. Huu mtindo umeshamiri sana tangu mwanzoni wa muhula wa pili wa mwendazake. Ni taswira ya kujipendekeza ili kuonekana uko concerned wakati ni kilaza tu
 
Halafu huu mtindo wa ofisi za umma kutengeneza Best wishes na congratulations fliers wakati Kuna kazi nyingi za kufanya ni ujinga tu. Huu mtindo umeshamiri sana tangu mwanzoni wa muhula wa pili wa mwendazake. Ni taswira ya kujipendekeza ili kuonekana uko concerned wakati ni kilaza tu
Sure
 
Wakimaliza huo mtihani waanze mchakato wa kujiunga UVCCM🤣
20210908_080238.jpg
 
Back
Top Bottom