Pre GE2025 CCM iombe radhi kwa madhila uchaguzi Mkuu 2020
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Kutokana na yanayoendelea kwenye jamii, ingefaa Chama kitoke hadharani na kuomba msamaha kwa uchafu uliotendeka uchaguzi 2020.

1. Kukataliwa fomu za wagombea wa baadhi ya vyama (huku wagombea wa CCM kupita bila kupingwa).

2. Kuzima internet kwa siku kadhaa.

3. Kunyang'anywa vifaa kazi (laptops/computers) vya Legal and Human Rights Centre

Baadhi ya matamko ya viongozi kuashiria waliingilia mchakato wa chaguzi za nyuma soma hapa;

~ Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!

~
Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

~ Askari wa Jeshi la Polisi athibitisha jinsi wanavyosaidia kuiba kura ili CCM ibaki madarakani, ni aibu!
 
Marco Ng'umbi ameshaliwa kichwa Ukuu wa Wilaya Longido, tusubiri uteuzi; KAZI IENDELEE.
 
Watu binafsi ndio wenye matatizo , yaani mtu anakula kupewa ushindi wa mezani halafu unamkuta anakaa bungeni bila ya wasiwasi .

Wale wakina Mdee bila aibu wanajiona ni wabunge halali ...Tatizo liko kwa wabunge wenyewe.
 
Kama kuna mtu mwingine anajiandaa kwa upumbaff kama ule wa 2019/2020 aendelee hivyohivyo. Kwa sababu hakuna wa kumfanya kitu chochote.
 
Kutokana na yanayoendelea kwenye jamii, ingefaa Chama kitoke hadharani na kuomba msamaha kwa uchafu uliotendeka uchaguzi 2020.

1. Kukataliwa fomu za wagombea wa baadhi ya vyama (uku wagombea wa CCM kupita bila kupingwa).

2. Kuzima internet kwa siku kadhaa.

3. Kunyang'anywa vifaa kazi (laptops/computers) vya Legal and Human Rights Centre
View attachment 3084657
Taswira ya chama chako inaonyeshwa Wazi na Chawa wake waliomo humu. Jinsi wanavyotetea uozo ule ndio picha halisi ya chama chenyewe. Kwa hiyo usitarajie kitu tofauti.
 
Kwa mujibu wa DC mtumbuliwa ni kuwa tayari serikali imeshamaliza mchakato wa CCM kutangazwa kushinda bila kupingwa tena 2024 na 2025.
 
ni muhimu na ni vizuri zaidi mambo ya mtu binafsi yasihusishwe na chama chochote cha kisiasa.
ni vema kuwajibika mwenyewe kibinafsi dhidi ya kauli, matamshi, maoni na mtazamo wako juu ya chaguzi mbalimbali zilizopita na zijazo, lakini pia na mambo mengine ya kisiasa, kijamii au kiuchumi...

ni muhimu zaidi kufanya hivyo, bila kuathiri jitihada kubwa na za makusudi za Dr.Samia Suluhu Hassan,
lakini pia dhamira ya dhati na nia Njema sana ya Dr.samia Suluhu Hassan katika kuliunganisha taifa na kufungua nchi miongni mwa mataifa ya ulimwengu..

Mungu ibariki Tanzania 🐒
 
Kutokana na yanayoendelea kwenye jamii, ingefaa Chama kitoke hadharani na kuomba msamaha kwa uchafu uliotendeka uchaguzi 2020.

1. Kukataliwa fomu za wagombea wa baadhi ya vyama (huku wagombea wa CCM kupita bila kupingwa).

2. Kuzima internet kwa siku kadhaa.

3. Kunyang'anywa vifaa kazi (laptops/computers) vya Legal and Human Rights Centre
View attachment 3084657
Huo ndio ukweli wa uwepo wa CCM ni chama cha hovyo mno na wote waliopo kwenye chama hiki ni hovyo.
 
Kwa mujibu wa DC mtumbuliwa ni kuwa tayari serikali imeshamaliza mchakato wa CCM kutangazwa kushinda bila kupingwa tena 2024 na 2025.
Kumbe hakuna haja ya uchaguzi hela hizo zilizokuwa zimetengwa kwa ajili hiyo kila mtu apewe fungu lake maisha yaendelee hadi jamii itakapo rudishiwa akili zake, yaani hadi jamii itakapo kuwa na uwezo wa kubuni mbinu zinazo weza kutatua matatizo yao, (uncertainty is catalyzed by people deliberately or without their knowledge), changamoto kwenye jamii zetu husababishwa na binadamu kwa makusudi ama kwa kutokujua
 
Back
Top Bottom