Pre GE2025 CCM iombe radhi kwa madhila uchaguzi Mkuu 2020
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ilani ya nn ikiwa haya yanafanyika?
 
Kumbe hakuna haja ya uchaguzi hela hizo zilizokuwa zimetengwa kwa ajili hiyo kila mtu apewe fungu lake maisha yaendelee hadi jamii itakapo rudishiwa akili zake, yaani hadi jamii itakapo kubwa na uwezo wa kubuni mbinu zinaweza kutatua matatizo yao, (uncertainty is catalyzed by people deliberately or without their knowledge)
Uko sahihi kabisa ni bora hayo mamia ya mabilioni yaliyotengwa kwa ajili ya maigizo ya kile kinachoitwa chaguzi yaelekezwe kwenye huduma za afya na elimu. CCM imeshairudisha nchi wenye mfumo wa chama kimoja basi waendelee tu kutawala hadi nchi itakapopigwa mnada ndiyo Watanganyika fahamu zitawarudia na kudai uhuru toka mkoloni mweusi CCM.
 
Uko sahihi kabisa ni bora hayo mamia ya mabilioni yaliyotengwa kwa ajili ya maigizo ya kile kinachoitwa chaguzi yaelekezwe kwenye huduma za afya na elimu. CCM imeshairudisha nchi wenye mfumo wa chama kimoja basi waendelee tu kutawala hadi nchi itakapopigwa mnada ndiyo Watanganyika fahamu zitawarudia na kudai uhuru toka mkoloni mweusi CCM.
Nikweli hakuna haja ya kulumbana na wenye matonge mdomoni wananchi wakipata ufahamu watachukua hatua vinginevyo utekaji na watu wasiojulikana wataendelea kuwepo bila kujulikana, kwasasa watu wengi mafuvu yameanza kufanya kazi binadamu akipata changamoto kubwa huamsha ubongo
 
Tayari kwenye uboreshaji wa daftari la mpiga kura kazi imekwisha malizwa. wapinzani mnaenda kusindikiza tu kwenye sanduku la mpiga kura.inaumiza sana. kudadeki
 
Kutokana na yanayoendelea kwenye jamii, ingefaa Chama kitoke hadharani na kuomba msamaha kwa uchafu uliotendeka uchaguzi 2020.

1. Kukataliwa fomu za wagombea wa baadhi ya vyama (huku wagombea wa CCM kupita bila kupingwa).

2. Kuzima internet kwa siku kadhaa.

3. Kunyang'anywa vifaa kazi (laptops/computers) vya Legal and Human Rights Centre
View attachment 3084657
Haikuishia hapo baadhi ya wagombea wa upinzani walitekwa njiani wakiwa na fomu zao ili wasifike kwenye destination na waliofanikiwa kufika wakakuta milango imefungwa kabla hata ya muda wa kisheria.
 
ni muhimu na ni vizuri zaidi mambo ya mtu binafsi yasihusishwe na chama chochote cha kisiasa.
ni vema kuwajibika mwenyewe kibinafsi dhidi ya kauli, matamshi, maoni na mtazamo wako juu ya chaguzi mbalimbali zilizopita na zijazo, lakini pia na mambo mengine ya kisiasa, kijamii au kiuchumi...

ni muhimu zaidi kufanya hivyo, bila kuathiri jitihada kubwa na za makusudi za Dr.Samia Suluhu Hassan,
lakini pia dhamira ya dhati na nia Njema sana ya Dr.samia Suluhu Hassan katika kuliunganisha taifa na kufungua nchi miongni mwa mataifa ya ulimwengu..

Mungu ibariki Tanzania 🐒
Tutolee ujinga wako hapa haya ndio mambo mliyoyafanya kama chama kivipi msiwajibike?
 
Kutokana na yanayoendelea kwenye jamii, ingefaa Chama kitoke hadharani na kuomba msamaha kwa uchafu uliotendeka uchaguzi 2020.

1. Kukataliwa fomu za wagombea wa baadhi ya vyama (huku wagombea wa CCM kupita bila kupingwa).

2. Kuzima internet kwa siku kadhaa.

3. Kunyang'anywa vifaa kazi (laptops/computers) vya Legal and Human Rights Centre
View attachment 3084657
 

Attachments

  • VID-20240902-WA0003.mp4
    1.2 MB
ni muhimu na ni vizuri zaidi mambo ya mtu binafsi yasihusishwe na chama chochote cha kisiasa.
ni vema kuwajibika mwenyewe kibinafsi dhidi ya kauli, matamshi, maoni na mtazamo wako juu ya chaguzi mbalimbali zilizopita na zijazo, lakini pia na mambo mengine ya kisiasa, kijamii au kiuchumi...

ni muhimu zaidi kufanya hivyo, bila kuathiri jitihada kubwa na za makusudi za Dr.Samia Suluhu Hassan,
lakini pia dhamira ya dhati na nia Njema sana ya Dr.samia Suluhu Hassan katika kuliunganisha taifa na kufungua nchi miongni mwa mataifa ya ulimwengu..

Mungu ibariki Tanzania 🐒
Ccm bila ya vyombo vya dola na kuiba kura na kufanya hujuma haina uwezo hata wa 20%.
 
Kutokana na yanayoendelea kwenye jamii, ingefaa Chama kitoke hadharani na kuomba msamaha kwa uchafu uliotendeka uchaguzi 2020.

1. Kukataliwa fomu za wagombea wa baadhi ya vyama (huku wagombea wa CCM kupita bila kupingwa).

2. Kuzima internet kwa siku kadhaa.

3. Kunyang'anywa vifaa kazi (laptops/computers) vya Legal and Human Rights Centre
View attachment 3084657
Kuomba radhi kwa ubaya kwa mwingine si rahisi kwa asiye na hofu ya Mungu.
 
Inasikitisha Sana watu wataenda kupanga tena foleni toka alfajiri
 
Kabisa, yaani kujiandaa kushiriki uchaguzi ambao mazingira ni yaleyale, huku ukitegemea matokeo tofauti, huo ni ujinga kama ujinga mwingine.
Jambo muhimu kwa sasa ni kutoa elimu kwa watanzania wote kwamba kuna Tanzania (wananchi) kwanza kabla ya CCM, CHADEMA, ACT, CUF, NICE,.... na serikali. Vyote hivyo hupita lakini Tanzania ambayo ni wananchi itabaki.
Kwa hiyo, ukiwa mwanachama wa chama chochote, uwe mtumishi wa uma au chombo chochote cha dola na kiongozi, weka maslahi mapana ya Tanzania (wananchi wote) mbele badala ya maslahi yako binafsi au kundi lako.
Lazima katika makazi (mtaani) na sehemu za kazi (ofisini na mashambani), watanzania wajione ni ndugu na wenye haki sawa, za kuchagua na kuchaguliwa.
 
Kutokana na yanayoendelea kwenye jamii, ingefaa Chama kitoke hadharani na kuomba msamaha kwa uchafu uliotendeka uchaguzi 2020.

1. Kukataliwa fomu za wagombea wa baadhi ya vyama (huku wagombea wa CCM kupita bila kupingwa).

2. Kuzima internet kwa siku kadhaa.

3. Kunyang'anywa vifaa kazi (laptops/computers) vya Legal and Human Rights Centre

Baadhi ya matamko ya viongozi kuashiria waliingilia mchakato wa chaguzi za nyuma soma hapa;

~ Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!

~
Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

~ Askari wa Jeshi la Polisi athibitisha jinsi wanavyosaidia kuiba kura ili CCM ibaki madarakani, ni aibu!
Never
 
Back
Top Bottom