CCM isione aibu, muda bado upo

CCM isione aibu, muda bado upo

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
21,741
Reaction score
26,735
Majina ya mmoja wao atakaye teuliwa kuwa katibu mwenezi yametangazwa lakini laa! Orodha iliyotolewa inasikitisha sana kwani haifsnani na CCM tuijuayo, hii imepwaya haina wanasiasa.

Bila kuwa mwanasiasa hakuna atakachokieleza kwenye uenezi wake, ukweli lazima usemwe kati yao hakuna hata mmoja anafaa zaidi ya kadi zao za uanachama kufaa nako kwa mashaka.

Naishauri CCM chini ya 4R's ikope mtu toka ACTW au Chadema ambako wapo watu wazuri sana na waaminifu kama akina Kitila na wengine, ninaamini vyama hivyo vitakuwa tayari kuwapa mtu wa viwango vya juu.
 
Dr Mwijaku
Mimi je ?!
Au ndio wameshanisahau kabisa. ??!
Pamoja na yote niliyowafanyia !
Kweli wamenitupa kabisa. ??!
Japo naamini hawamuamini Mungu lakini ina maana hata KARMA hawaiogopi ???!

Ngoja Tusubiri tuone hii inayoitwa Law of the Universe itafanya nini !!! 🙏🙏🙏
 
Tuwekee hayo majina hapa tukusaidie kuyachambua. Usilie nayo moyoni. This is JF.
 
Back
Top Bottom