Watatoa na Hatima ya mwanachama wao Gaidi Hamza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watatoa na Hatima ya mwanachama wao Gaidi Hamza?
mtajuana wenyeweCCM ilikuwa ni ya Magufuli tu.
haya mengine ni manyang'anyi na majizi ya rasilimali za wananchi.
hapo police lazma walinde usalama wa raia na mali zaoPolisi zueni hiki chama kinafanya mikutano hatarishi.
Mic imepoteamlisema ni saa sita usiku eh?
Ya kumvua Hamza uanachama?Tunasubiri kama wanaweza kufanya maamuzi magumu.
CCM ilikuwa ni ya Magufuli tu.
haya mengine ni manyang'anyi na majizi ya rasilimali za wananchi.
Tumepishana muda na Dodoma..huku itakuwa saa kumi.mlisema ni saa sita usiku eh?
Magufuli ndiye actually ameiua CCM. Inasubiri tu kuzikwa kama yeye.CCM ilikuwa ni ya Magufuli tu.
haya mengine ni manyang'anyi na majizi ya rasilimali za wananchi.
Aliipeleka kwenye mradi wa daraja la Busisi / Kigongomagufuli alishakwambia alipopeleka tirion 1.5
Aliipeleka kwenye mradi wa daraja la Busisi / Kigongo
Itakuwa wamemvua HamzaWamemvua uanachama askofu?
Huyo walimkana.Ya kumvua Hamza uanachama?