Uchaguzi 2020 CCM itashinda 2020 kwa 99%

Natabiri...2020 Chadema inakufa kifo cha mende jike.
Sio jambo la kufurahia kwani inaposhindikana kwenye ballot box what next inabidi tuwemakini pia na hilo. Ni heri ayasemae hadharani kuliko kuishia underground. Vyama vilelewe vipaki hudharani. haya ni maoni tu.
 
Sio jambo la kufurahia kwani inaposhindikana kwenye ballot box what next inabidi tuwemakini pia na hilo. Ni heri ayasemae hadharani kuliko kuishia underground. Vyama vilelewe vipaki hudharani. haya ni maoni tu.
Ukweli mchungu tatizo Chadema siku hizi hata hoja za maana hawana wanasubiri mpaka Rais aongee ili na wao wapate cha kuongea.

Hali tete.
 
yaani tume ya kwako, uchaguzi unaandaa mwenyewe unashindwaje uchaguzi?
 
Huu utawala umejaa dhuluma. Naamini ipo siku watajutia matendo yao.
Tume itandelea kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa sherif na si vinginevyo. kama una hoja yenye mashiko juu ya Tume nakushauri uchukue hatua kuliko kuendelea kubwabwaja maneno
 
Mkuu Mag3 ni kwa vile kuna ukomo wa kutoa like lakini ningekupa elfu kabisa. Hapa utakuwa ujinga kuwalaumu watawala wakati mamlaka yako mikononi mwetu wenyewe. Watu wakionyesha wazi hawataki wanavyotendewa watawala wataamua eitha watumie nguvu kulazimisha ujinga wao au wananchi wafanye wwezalo kuwaondoa na wakishindwa hata msaada wa nje utatumika.
Sio aibu kupata msaada nje wakutoa kile ambacho hakitendi haki na wengi hawakitaki ila wachache wanatumia dola kulazimisha.
 
Good discussion but tujue mabadiliko ni lazima sio budi kujiandaa yasije kutudhuru, zama za ushindi wa kura umepitwa sasa ni kulazimisha ndio mwisho we era fulani, historia imetufunza hivyo kwa mataifa mengine. Hata watawala wamekuwa waoga hawadhubutu tena kuingia kwenye ushindani kwani viashiria vyote vimeshaonyesha umma unahitaji mabadiliko na upewe nguvu stahiki.
 
hakuna kazi ngumu kwa kiongozi mkuu wa inchi anapopewa jukumu la kuhakikisha chama tawala kinabaki madarakani. Hili jukumu ni gumu kuliko yote. Katika kuhakikisha hili ndio utaona nguvu nyingi hutumika na hata ufisadi mwingi tunapokaribia chaguzi kuu. This will repeat very after 5 years. Hii ni katika kijilinda kwa viongozi wanaotoka madarakani.
 
ccm lazima washinde kwa kishindo maana watapiga kura wenyewe itakuwa kama uchaguzi wa chama
 
Umesikia anayosema katibu mkuu wa CCM? Hiyo ndio hali halisi nachokiona nami nakiona, nimefurahi hataviongozi wetu wameona. Tunahitaji kugeuza mwelekeo na kuhuisha sera zetu ili chama kiuzike upya.
 
Nasikia yule mwalimu wa DS Dr Bashiru kawakumbusha ishu kali mno!

Jiwe atamla kichwa nadhani!
 
CHADEMA wewe umavumbi na mavumbini utarudi bwana alitoa na bwana ametwaaa jina lake libarikiwe. Hamina
 
Nasikia yule mwalimu wa DS Dr Bashiru kawakumbusha ishu kali mno!

Jiwe atamla kichwa nadhani!
But that is the fact for the party. Former presida, alieleza pia tusitegemee sana Police ili kupata ushindi. Nafikiri hawakumwelewa. Some reform should be done to make the level ground otherwise we are splitting the Country into pieces. Nakumbuka hata marehemu Kingunge alisema kabla hajaenda kwa Mola wake.
 

Nakusoma mkuu....Ila Jiwe kuna wadudu wake kichwani wanamtumaga vitu vya ajabu sana..na hiyo itakua demise yake!
 
Nakusoma mkuu....Ila Jiwe kuna wadudu wake kichwani wanamtumaga vitu vya ajabu sana..na hiyo itakua demise yake!
Chama kimsaidie, kuongoza inchi na chama sii kazi rahisi sana, walipo kwenye chama wafanye kazi na kutoa ushauri stahiki utaokoa inchi isiingie kwenye machafuko. Uchaguzi wa Meya ilala ni dalili mbaya. Inabidi kifanyike kitu to address the situation, more and more will go into confrontation and that is not healt for the Country I repeat it again. Tujifunze kwa kila tukio linalojitokeza. Hata kivuko kilicho zama je kama inchi tumejifunza nini? Naona hela za michango zinajengea Dispensary why not doing something to deter future accident of similar nature.
 
je wakishinda kwa asilimia wataongeza mishahara ya wafanyakazi wa umma na kupunguza kodi za uaguzaji magari?
 
Chama cha Mapinduzi kimejifunza mbinu za kushinda kwa asilimia 99 kutokwa kwa akina Sadam Hussein wa Iraq na Kim Jong Un wa North Korea.

2020 KUTAKUWA NA UCHAGUZI WA KUWACHAGUA MWENYEKITI WA CCM NA WAWAKILISHI WA NEC YA CCM.

VYAMA VYA UPINZANI NAVYO VIITISHE PARALLEL ELECTIONS ZA MUUNGANO WA UKAWA TUCHAGUE PEOPLE'S PRESIDENT WA UKAWA NA WAWAKILISHI WA MATATIZO YA WANANCHI WA UKAWA BILA KUITEGEMEA TUME HII YA UCHAGUZI.
WAO WAUNDE BUNGE LA CCM, SISI TUUNDE BUNGE LA WANANCHI LA UKAWA, WAO WAKIMUAPISHA RAIS, SISI TUNAMUAPISHA RAIS WA WATU WA UKAWA. HAPO NGOMA INAKUWA DROO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…