CCM iwe maakini sana na mkataba huu wa bandari

CCM iwe maakini sana na mkataba huu wa bandari

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Suala la Mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Jamhuri wa Tanzania na DP World umejadiliwa sana na wananchi kuhusu changamot zote zilizopo kwenye mkataba huo.

Huku nje wengi wa wananchi ni waelewa sana wengine ni Maprofesa, PhDs na nakadhalika wameishauri Serikali uupitie tena mkataba huu kwa manufaa ya nchi.

Kutokana na mkataba huu na kama Serikali ya CCM haitasikiliza mawazo ya wananchi kuhusu mkataba huu basi ijue wazi huko mbele siyo kuzuri. Bado tuna muda Mkataba huu urejewe upya vinginevyo unaweza kuitoa CCM madarakani.
 
Suala la Mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Jamhuri wa Tanzania na DP World umejadiliwa sana na wananchi kuhusu changamot zote zilizopo kwenye mkataba huo. Huku nje wengi wa wananchi ni waelewa sana wengine ni Maprofesa, PhDs na nakadhalika wameishauri Serikali uupitie tena mkataba huu kwa manufaa ya nchi. Kutokana na mkataba huu na kama Serikali ya CCM haitasikiliza mawazo ya wananchi kuhusu mkataba huu basi ijue wazi huko mbele siyo kuzuri. Bado tuna muda Mkataba huu urejewe upya vinginevyo unaweza kuitoa CCM madarakani.
Hizo ni hisia zako tu, CCM imefanya mabaya zaidi ya hilo unalo semea ila bado iko madarakani, CCM haiko madarakani kwa kura za wananchi hapo unajidanganya, na hili la bandari litapita kama mengine yalio pita tu.
 
Kwa bahati mbaya watz ni wasahaulifu sana mpaka mwaka 2025 watakuwa hawakumbuki kitu wataanza iyenaiyena kuisupport misisiyemu
 
Hizo ni hisia zako tu, CCM imefanya mabaya zaidi ya hilo unalo semea ila bado iko madarakani, CCM haiko madarakani kwa kura za wananchi hapo unajidanganya, na hili la bandari litapita kama mengine yalio pita tu.
Nasisitiza CCM haiko madarakani kwa kura cha wananchi. Wote tumeshuhudia Dr. Slaa na wengine walivyoshinda lakini walipokonywa ushindi.
 
Kwa bahati mbaya watz ni wasahaulifu sana mpaka mwaka 2025 watakuwa hawakumbuki kitu wataanza iyenaiyena kuisupport misisiyemu
Sio kwamba ni wasahulifi ila changamoto zinazo tukabili ni nyingi kuliko hilo la bandari ambalo halikututulie matatizo ya kila siku.
 
Kwa bahati mbaya watz ni wasahaulifu sana mpaka mwaka 2025 watakuwa hawakumbuki kitu wataanza iyenaiyena kuisupport misisiyemu
Sio kweli. Ni chaguzi ngapi wanashinda kwa bao la mkono? Usiwachukulie poa watanzania
 
CCM IMEITIA HII NCHI KWENYE UMASIKINI ULIOTOPEA.

CCM hawajali
Kila mtu anaangalia tumbo lake tu

MASLAHI YA TAIFA ALIONDOKA NAYO MWALIMU 1982.
 
Suala la Mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Jamhuri wa Tanzania na DP World umejadiliwa sana na wananchi kuhusu changamot zote zilizopo kwenye mkataba huo.

Huku nje wengi wa wananchi ni waelewa sana wengine ni Maprofesa, PhDs na nakadhalika wameishauri Serikali uupitie tena mkataba huu kwa manufaa ya nchi.

Kutokana na mkataba huu na kama Serikali ya CCM haitasikiliza mawazo ya wananchi kuhusu mkataba huu basi ijue wazi huko mbele siyo kuzuri. Bado tuna muda Mkataba huu urejewe upya vinginevyo unaweza kuitoa CCM madarakani.
 

Attachments

  • IMG_1068.MP4
    2.1 MB
Leo mashabiki wa Yanga wamepiga naye picha wanatoa meno nje wakizindua jezi. Baada ya hilo zoezi rudini nchini mkiwa mmekunja sura tuendelee na zoezi la kudai bandari hakuna kutoka kwenye mada.
 
Nasisitiza CCM haiko madarakani kwa kura cha wananchi. Wote tumeshuhudia Dr. Slaa na wengine walivyoshinda lakini walipokonywa ushindi.
Kwa hiyo kama hawatoki kwa kura, wanataka kwenda kwa nini?
 
Suala la Mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Jamhuri wa Tanzania na DP World umejadiliwa sana na wananchi kuhusu changamot zote zilizopo kwenye mkataba huo.

Huku nje wengi wa wananchi ni waelewa sana wengine ni Maprofesa, PhDs na nakadhalika wameishauri Serikali uupitie tena mkataba huu kwa manufaa ya nchi.

Kutokana na mkataba huu na kama Serikali ya CCM haitasikiliza mawazo ya wananchi kuhusu mkataba huu basi ijue wazi huko mbele siyo kuzuri. Bado tuna muda Mkataba huu urejewe upya vinginevyo unaweza kuitoa CCM madarakani.
Huu mkataba kuvuja ni kusudi la MUNGU. Sasa ole ni wao. Itampendeza Mungu kufanya yake Maana ameshatimiza kusudi la kuwafikishia ujumbe wa onyo.
 
Suala la Mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Jamhuri wa Tanzania na DP World umejadiliwa sana na wananchi kuhusu changamot zote zilizopo kwenye mkataba huo.

Huku nje wengi wa wananchi ni waelewa sana wengine ni Maprofesa, PhDs na nakadhalika wameishauri Serikali uupitie tena mkataba huu kwa manufaa ya nchi.

Kutokana na mkataba huu na kama Serikali ya CCM haitasikiliza mawazo ya wananchi kuhusu mkataba huu basi ijue wazi huko mbele siyo kuzuri. Bado tuna muda Mkataba huu urejewe upya vinginevyo unaweza kuitoa CCM madarakani.
Hata hapo tulipofika CCM hawafai kabisa waondoke.
 
Suala la Mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Jamhuri wa Tanzania na DP World umejadiliwa sana na wananchi kuhusu changamot zote zilizopo kwenye mkataba huo.

Huku nje wengi wa wananchi ni waelewa sana wengine ni Maprofesa, PhDs na nakadhalika wameishauri Serikali uupitie tena mkataba huu kwa manufaa ya nchi.

Kutokana na mkataba huu na kama Serikali ya CCM haitasikiliza mawazo ya wananchi kuhusu mkataba huu basi ijue wazi huko mbele siyo kuzuri. Bado tuna muda Mkataba huu urejewe upya vinginevyo unaweza kuitoa CCM madarakani.
Mkataba wakitapeii wa DPWORLD wala hauhitaji uwe profesa unahitaji 'Social inferences'
 
Suala la Mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Jamhuri wa Tanzania na DP World umejadiliwa sana na wananchi kuhusu changamot zote zilizopo kwenye mkataba huo.

Huku nje wengi wa wananchi ni waelewa sana wengine ni Maprofesa, PhDs na nakadhalika wameishauri Serikali uupitie tena mkataba huu kwa manufaa ya nchi.

Kutokana na mkataba huu na kama Serikali ya CCM haitasikiliza mawazo ya wananchi kuhusu mkataba huu basi ijue wazi huko mbele siyo kuzuri. Bado tuna muda Mkataba huu urejewe upya vinginevyo unaweza kuitoa CCM madarakani.
Wananchi wa wapi mkuu, huku uraiani?!!!!! Au unamaanisha wananchi hawa 20 wa jf?!!!!
 
SA Kalokola: .....Baada ya kusema hayo, hoja yangu ni kwamba IGA ni Mkataba wa kimataifa uliopitia mchakato wa 63[3]e ya KATIBA

Jaji: kwani issue ilikuaje?

SA Kalokola: issue ilikuwa whether IGA is contract

Jaji: wewe umejibu vipi?

SA Kalokola: IGA is international agreement

Wadau: Miguno kidogo.
 
Back
Top Bottom