CCM jitengeni na kundi la Wasiojulikana

CCM jitengeni na kundi la Wasiojulikana

Lakini muasisi wake ni CCM ,na kwenye uchaguzi ndio mbeleko wanayoitumia

Muasisi wake ni awamu ya 5. Kuna tofauti kati ya awamu ya 5 na CCM. Vicky Kamata na hata Dkt. Diallo wanathibitisha hilo.

Kumbuka mienendo mipya hii ya awamu ya 5:

1. Urais ni taasisi. Kwa ibara ipi ya katiba?
2. Kuna mhimili uliojichimbia zaidi. Kwa ibara ipi?
3. Kumbuka figisu za uchaguzi 2019/20.
4. Kumbuka kudhamiria kwa harakati za watu wasiojulikana 2015 hadi leo.
5. Kumbuka kuzuiwa rasmi kwa mikusanyiko ya kisiasa.
6. Kumbuka kiwango cha kuminywa kwa demokrasia kutokea awamu ya 5.
7. Nk

Ni faida kubwa kwa wasiojulikana tunapo walenga CCM badala ya kuwalenga wahusika haswa ambao ni wao sawia.

Kumbuka CCM bila wao ni wepesi kuliko sufi. Pia kumbuka CCM walio wanufaika na vipande 30 tokea kwa mafwedhuli hawa wala si wengi.

Hawa ni wa kupambana nao mmoja baada ya mwingine.

Wote wanapigika.
 
Kabla ya vyama sisi sote ni watanzania.

Moja ya imani za CCM ni kuwa binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja.
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala kidhalimu. Huwezi kuitofautisha CCM na Bokoharam
 
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala kidhalimu. Huwezi kuitofautisha CCM na Bokoharam

Hiyo itakuwa ni technical error.

Kwa hakika mwenyekiti wa CCM Shina kule dongobeshi siyo sehemu ya uharamia wa wasiojulikana hawa.

Usisahau pia wasiojulikana wangependa kujitambulisha wao kama CCM.

Kwa hakika Diallo, Vicky Kamata na wengine walioko huko si sehemu ya uharamia huo.
 
Kabla ya vyama sisi sote ni watanzania.

Moja ya imani za CCM ni kuwa binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja.
Mchawi akijitenga na shetani nguvu za giza zinamwisha, HAWEZI kabisa.
 
Kabla ya vyama sisi sote ni watanzania.

Moja ya imani za CCM ni kuwa binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja.

Tumefikaje huku kwenye kuuwana, kutekana, kutesana, kupotezana, kubambikiziana kesi na yote yenye ukakasi huu?

Ilikuwaje kina Sabaya wakatambulika kama vijana wazalendo pamoja na matendo yao maovu?

View attachment 1986970

Kundi la watu wasiojulikana ni halisi, lipo na rasmi limejipenyeza katika utawala wa nchi hii. Pole pole kalitambua kama parallel power na kuwa kwa sababu ya kundi hilo, CCM wala hamsikilizwi tena katika uendeshaji wa nchi.

Si kweli kuwa kundi hili linawatumia ninyi kama koti tu, la kufichia madhambi yao? Si kweli kuwa nyie mko kimya kwa sababu ya vipande 30 vya pesa linavyowapa baadhi yenu?

Hamuioni chuki inayomea nchini kwa sababu ya kundi hili? Nanyi mmeridhia kufungamanishwa pamoja na kundi la wauwaji hawa?

Kulifumbia macho kundi hili ni kukubali kuwa mshirika wa haramu zake.

View attachment 1986971

Kulifumbia macho kundi hili hakutawaacha salama siku zote.

Ushauri wa bure kwenu kama nchi hii mnaipenda, basi jitengeni na kundi hili.

Kufanya hivyo hadharani kutawapa uhalali wa kujivua madhambi yao.

Kila mmoja na akaubebe msalaba wake mwenyewe.

chanzo cha hayo yote ni JIWE
 
Inaonekana haya majitu Yana damu ya kishetani kabisa na ndiyo sababu zilizowafanya warundi wenzao wawafukuze huko Burundi miaka ya 60 kabla ya uhuru
Jiwe aliyapachika kila eneo la utawala na yamesababisha madhara makubwa sana kwa watu.
Kama CCM Inajitoa kwa hii mirundi ifungue milango tuwataje na ushetani walioufanya kwa kujifanya wazalendo kumbe mafirauni TU ya kirundi
 
Ni sawa na kumwambia Osama ajitenge na kikundi chake cha Al Qaeda wakati yeye ndiye alikuwa kinara wa hilo genge. It's ridiculous.
 
Ni sawa na kumwambia Osama ajitenge na kikundi chake cha Al Qaeda wakati yeye ndiye alikuwa kinara wa hilo genge. It's ridiculous.

Bahati mbaya ni kuwa wachawi wenyewe wangependa sana tuwe na misimamo mikali kama ya kwako mkuu.

Machinga na boda boda hawaondoshwi wote mijini kwa pamoja.

IMG_20211026_191744_032.jpg


Wenye Magwanda ya kijani hapo kuna "just a handful of" hao wachawi the "instigators."

Ninakazia wanufaika wa vipande 30 huko mboga mboga kutoka kwa hawa jamaa wala si wengi.

Ku m brand bibi au babu wa watu huko chekeleni Tanga kuwa ni sehemu ya wasiojulikana, itakuwa kuridhia kupotezwa maboya na hiyo ngwamba nyuma ya usukani:

IMG_20210911_000004_180.jpg
 
Bahati mbaya ni kuwa wachawi wenyewe wangependa sana tuwe na misimamo mikali kama ya kwako mkuu.

Machinga na boda boda hawaondoshwi wote mijini kwa pamoja.

View attachment 1987619

Wenye Magwanda ya kijani hapo kuna "just a handful of" hao wachawi the "instigators."

Ninakazia wanufaika wa vipande 30 huko mboga mboga kutoka kwa hawa jamaa wala si wengi.

Ku m brand bibi au babu wa watu huko chekeleni Tanga kuwa ni sehemu ya wasiojulikana, itakuwa kuridhia kupotezwa maboya na hiyo ngwamba nyuma ya usukani:

View attachment 1987625
Hata hueleweki. It's a total confusion.
 
Hata hueleweki. It's a total confusion.

Pole sana.

It's no surprise, that's the best I can tell you.

But take it from me hata asiyejulikana anapiga ukulele wa mwiziii! Kwa kila ukulele wa mwizii anaopigiwa kuleta confusion. Which unfortunately shall not never be total for some of us.
 
Hakika ni kweli kabisa...

Asiyejulikana aliwekeza katika kudhani sote tutakuwa wajinga.

Akipigiwa ukelele naye anapiga kelele mwiziii.

Aboubakar Mbowe anajua hii mambo. Hakuna rafiki wa kudumu bali agenda ya kudumu.

Kama Msekwa anaongea sauti ya watu leo let it be so.

CCM wawa denounce watu wasiojulikana. Jamii iwakatae watu hawa wakafie mbele.
 
Wamewapeleka kusoma kwa kodi zetu nje ili kuwatesa walipa kodi wasio na hatia,haya sasa mwafunge wote kodi mlipe nyie na furaha iwe kwenu na wanawenu pamoja na kizazi chenu kwa miaka mingine 100
 
Back
Top Bottom