CCM jitengeni na kundi la Wasiojulikana

Eti watu wasiojulikana,kumbe hawakutakiwa wajulikane,kwa kulewa majukumu waliyokuwa wamepewa, walifanya yao binafsi pia
 
Eti watu wasiojulikana,kumbe hawakutakiwa wajulikane,kwa kulewa majukumu waliyokuwa wamepewa, walifanya yao binafsi pia

Baada ya kufariki baba wa taifa watu waliokuwa na jukumu la kuhakikisha maslahi ya taifa yanalindwa kama jukumu lao pekee walipanua uwanja kwa maslahi yao.

Badala ya kuwafanyia tathmini zaidi wateuliwa wa nafasi mbalimbali wakaanza kujipenyeza wao kwenye nafasi zote nyeti.

Kansa ikaanza kumea. Hawakuwa na mamlaka ya kukamata. Wakaanza kukamata, kutesa, kupoteza na hata kuuwa.

Hawakuwa na mamlaka ya kutisha mtu, wakaanza kubambika kesi na kushinikiza rushwa.

Hawakutakiwa kutambulika katika zaidi ya yule mkuu wao katika wilaya. Mambo yakageuka ikawa unanijua mimi nani? Baa ndiyo usiseme..

Sumaye, Pinda wakawa wakaingia PM, Kingai akawa RPC na Sirro IGP. Pana mlango wa kutokea hapo?

Waliokuwa walinzi nje wakawa vibosile ndani. Nani amfunge paka kengele?

Abarikiwe sana bwana Zacharia mwamba wa kanda ya ziwa usiotikisika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…