Tetesi: CCM kaeni Chonjo, mwanaume anakuja. Msikimbie chama chetu!

Tetesi: CCM kaeni Chonjo, mwanaume anakuja. Msikimbie chama chetu!

Baada ya Katibu Mkuu kuwa kimya kwa muda mrefu na chama kimekuwa kimya kana kwamba sekretarieti ina mtu mmoja. Tunahitaji kuwasikia viongozi wetu wa chama wakitupa mrejesho wa utekelezaji wa ilani ya chama na siyo kumsubiri Tundu Lisu atuseme ndio tuanzishe malumbano. Kwa maana hiyo basi, kwakuwa mh Makonda ameonyesha ukomavu wa kisiasa na ameweza kuwa mfano bora wa msimamizi wa ilani mkoani kwake, basi kama itampendeza Mwenyekiti nashauri aingizwe kwenye sekretarieti ya chama. Tunahitaji mtu anayesema na kutenda ndani ya sekretarieti kama alivyokuwa komredi Kinana, ahsante!
 
Itakuwa heri akienda kuimarisha kama uwezo anao

Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
 
. Tunahitaji mtu anayesema na kutenda ndani ya sekretarieti kama alivyokuwa komredi Kinana, ahsante!

Kama alivyokuwa comrade kinana... Ina maana hayupo tena kwenye hyo nafas!!??
Hebu mliopo jikon kinana ameachia lin hyo nafas!!??
 
Baada ya Katibu Mkuu kuwa kimya kwa muda mrefu na chama kimekuwa kimya kana kwamba sekretarieti ina mtu mmoja. Tunahitaji kuwasikia viongozi wetu wa chama wakitupa mrejesho wa utekelezaji wa ilani ya chama na siyo kumsubiri Tundu Lisu atuseme ndio tuanzishe malumbano. Kwa maana hiyo basi, kwakuwa mh Makonda ameonyesha ukomavu wa kisiasa na ameweza kuwa mfano bora wa msimamizi wa ilani mkoani kwake, basi kama itampendeza Mwenyekiti nashauri aingizwe kwenye sekretarieti ya chama. Tunahitaji mtu anayesema na kutenda ndani ya sekretarieti kama alivyokuwa komredi Kinana, ahsante!
Linaweza kua wazo zuri kwa Mustakabali wa Chama chenu,
Ila sasa nachokiona hapa humu ulipolileta sidhani kama ni mahala muafaka. Kuna sie wengine ambao hatuhusiki kabisa na hicho chama chenu, tunaweza tukatoa mawazo ukayachukua kumbe tunatoa mawazo ya kubomoa.

Na pia isitoshe watoa maamuzi wa chama chenu humu sio forum yao ya kufanyia maamuzi.

Waonaje mapendekezo haya ukiyapeleka Mitaa ya Lumumba ili wahusika wenu wayaone kwa haraka zaidi? Ni wazo tu
 
Hana pa kumuweka maana vita ya vyeti inamsuta Sizonje pia anajua akitoka DAB atapigwa kesi jinai anampeleka KM Chama akapige domo na kusahaulisha suala vyeti
 
Back
Top Bottom