CCM: Kamati Kuu Kukaa Chini Dar

Huyu naye! siwezi kwenda personal na kijana mwenzetu ameanza safari ya kisiasa...ila ukiwekwa uwongo nitarekebisha!


Masanilo, tusianze kutibuana Mkuu, umeshaingiza habari Personal, unaulizwa kutoa ufafanuzi, unadai huwezi kwenda personal na kuwa kijana ameanza safari ya Kisiasa. Je, tukikwambia wewe mwongo utatuhakikishia vipi uliyosema ni kweli? Au ni majungu hayo?
 
FMES "anaakili" sana alipoona nimemshukia akaedit wakti Allien alisha mquote Bwa Bwa Bwa Bwa hajaweza edit maandishi yake!

- Kwa mwendo huu JF we are going down tena big time, yaani mjadala mzito namna hii kweli mkuu unaweza kuleta hizi? Very sad!

FMEs!
 
This is how people loose credibility. Na siku nyingine tuki pinga hoja zao wata sema JF kuna ushabiki.
 
- Wakuu mjadala unaendelea kwa wenye habari zaidi za wagombea wa CCM na Chadema, tunaomba muziweke hapa tupate elimu ya kitakachoendelea huko Biharamulo!

- Hatuwezi kuuacha mjadala kwa sababu mtu mmoja anataka kuuharibu kwa sababu zake binafsi, mjadala unaendelea na utaendelea kama kawaida, ingawa this is very sad na inasikitisha sana!

Respect

FMEs!
 
Je huyo mgombea wa CCM CV yake ikoje? Tunaweza kuipata? na hata huyo wa Chadema.
 
Oscar Mukasa


Mr at IHRDC
Tanzania







Current
Education
  • Erasmus Universiteit Rotterdam
Connections
1 connection Industry Research
Oscar Mukasa's Experience


  • Mr

    IHRDC

    (Research industry)
    Currently holds this position

Oscar Mukasa's Education


  • Erasmus Universiteit Rotterdam

    2000 - 2001
 
Je huyo mgombea wa CCM CV yake ikoje? Tunaweza kuipata? na hata huyo wa Chadema.

Mkuu,

Huyu Oscar Mukasa mimi namfahamu ingawa si sana. Anakaa Tabata Maflat ya NSSF na ni kijana mfupi mweusi. Anavaa miwani.

Nimjuavyo mimi na kwa muonekano, ni kijana wa kawaida ambaye huwezi kudai kuwa ana maisha ya juu. Ana maisha ya kawaida tu. Ndiyo maana Masanilo alipodai ana nyeti zake za ufisadi nilitaka kujua ni zipi. Bahati mbaya kaingia mitini hajibu maswali.

Amewahi kufanya kazi na Dr. Hassani Mshinda wa COSTECH kabla hajaamia hapo, na ni moja wa vijana ambaye yuko makini katika kazi yake.

Habari zake za kuingia katika siasa nilianza kumsikia toka wakati kulipokuwa na Kesi mahakama kuu ya uchaguzi wa jimbo la Bihalamulo. Alikuwa na nia ya kugombea na alidai wazee wengi wa kule kijijini walikuwa wanamuunga mkono kuliko wengine waliokuwa na azma ya kugombea.

Ngoja kesho, nitaongea naye nimsikie ni nini kilichojili na kisha tutahabarishana.
 

Ina elekea hata umri wake siyo mkubwa sana. As far as this shows elimu anayo na experience ya kuwa kiongozi anayo. Swali ni kama ana mambo mengine pembeni lakini wenye kudai kuwa na taarifa hizo hawa taki kusema,
 

Asante sana mkuu. Sasa yule mwenzetu ange toa taarifa anazo zzijua yeye kisha na wewe unge toa unazo jua wewe tunge weza kupata pande zote za shilingi na kumchambua mtu kutokana na uwezo wake wa kuongoza. Tuna subiria hiyo taarifa kwa hamu.
 
Author: Oscar Mukasa | ResearchGATE

Locate articles published by author Oscar Mukasa in our database of more than 30 million publications from different sources. Access publication details and ...

- Huyu Mukasa anaonekana ana shule nzito sana, nimeona article zake nyingi sana huko google, sasa tutasubiri mnaomjua mtupe habari zaidi za kumhusu, na pia Mkuu Allien shukrani kwa info za Mukasa na tunasubiria zaidi ukishaongea naye.

Respect.

FMEs!
 


Tuko pamoja:

Tuanze na Picha yake. Hii hapa:

 
mkifiria kinachoshindwanishwa ni elimu basi wote wawili wapewa Ubunge!

- Hapana tunajaribu tu kuzisoma pande zote, nimeshitushwa sana na hizo nyeti kwamba hata baadhi ya wajumbe wa CCM CC, wana wasi wasi na mgombea wao na ndio maana ilikuwa vuta nikuvute huko ndani, kisa mgombea wa Chadema, sasa mkuu kama una info za huyo wa Chadema au huyu wa CCM, tuwekeeni tuchambue!

Respect.

FMEs!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…