Toa hoja zako. Kwahiyo unakubaliana na hayo niliyoandika eeeh!! Safi, sasa mimi sipo kihivyo.
Anyway ngoja niachane na wewe watashindwa kutofautisha...
Mchungaji hapa ni kama Unampigia Mbuzi Gitaa ayarudi, hilo halipo mkuu, Tatizo letu sisi watanzania tunapenda sana KUKUNWA
Rev. Kishoka,
Achana na huyo FMES maana atakupotezea muda tu. Umejaraibu kujenga hoja yeye anaenda kwenye mambo ya familia. Watu wengine wakienda mambo ya familia yake anakuja juu.
Hapo mamake yuko kweye hilo kundi basi atamtetea mpaka siku ya kufa. Hao hao walioitwa wahuni na Nyerere tunaambiwa ndio wanaongoza kutupigania sisi maskini, ni uwizi mtupu.
Nimepata points nyingi sana kwenye hii thread za kutumia huku vijiweni. Asante kwa somo la nguvu mkuu Kshoka.
Field Marshall, Jambo Afande! Jana nilikusoma Mkuu lakini nikawa sina buku ya kulipia internet cafe' nikashindwa kutoa majibu ya hoja yako.Leo nimebangaiza Kariakoo shimoni ndo mana niko jamvini.- Eti ufisadi ni tatizo la system yetu ya uchumi tuliloachiwa na wakoloni? Can you define this mkuu kwanza kabla sijakujibu post yako nzima? Unasema wakoloni ndio waaliotuachia tabia za kuogopana kwenye uongozi wa juu wa taifa letu ambacho ndio hasa chanzo cha ufisadi?
- Unasema wakoloni ndio waliotufundisha kutoheshimu sheria zetu wenyewe, au the respect kwa rule of our laws? Unasema wakoloni ndio walio-create system ya vigogo kina Kahama, Rupia na Bomani ndani ya political system yetu ambao sasa na wao wamekuja kurithiwa na kina Rostam, Karamagi, na Lowassa, unasema this is wakoloni fault?
- Are you serious mkuu or you are just kidding! Mkuu ukinijbu hili basi nitaichambua post yako nzima, ila kwanza niwekee muongozo hapa!
Respect.
Field Marshall Es!
Mkuu umehoji hoja yangu ya kuhusisha historia ya ufisadi na ukoloni. Ngoja nikukumbushe,kabla na mara baada ya uhuru kulikuwa na Kampuni kubwa sana nchi hii inaitwa Smith McKenzie,hawa ndo walikuwa biggest importers nchi hii,actually ndo predecessor wa RTC na Ugawaji(NDL),Je hii Smith McKenzie ilikuwa ina trade na nani? Kwenye mashamba ya mkonge,chai,kahawa,pamba ambayo ndo yalikuwa mainstay ya uchumi wa nchi nani walikuwa suppliers wa inputs na matumizi ya vibarua kama sukari ,mchele,viberiti,kaniki na sigara? Jibu la swali hili litakupa picha kamili ya mfumo wa uchumi aliojenga mkoloni na kuturithisha. Sasa jiulize baada ya kutaifisha Smith McKenzie na kuanzisha SU zetu badala yake, je hizi SU mpya zili trade na nani? jiulize pamoja na nia njema ya Mwalimu (RIP) kubadili mfumo wa uchumi mwaka 1967 je alifanikiwa? kama alifanikiwa kwa nini lilitokea seke seke la uhujumu uchumi early 80's?, na kama hakufanikiwa ni kwa nini? Kaja Mzee Mwinyi kafutilia mbali SU na Mzee Mkapa akamsaidia kuzishindilia lijisumari la mwisho je hii ilileta mabadiliko yoyote katika mfumo wetu wa uchumi? Kama haujabadilika na hali ya maisha ya Watanzania bado ni tia maji tia maji ili tufikie maisha bora kwa kila Mtanzania tufanye nini? FMES nasema na ninasisitiza something radical lazima kifanyike katika kubadili mfumo wetu wa uchumi,lazima tujitengenezee utaratibu utakaotuhakikishia kuwa rasilimali zetu zinatusaidia sisi na sio vinginevyo,huu ndo utaratibu wa wote walioendelea,kuanzia bara Asia,Ulaya hadi Amerika.Field Marshall,kuwatukana wazee wetu kama kina Mzee Kahama, Mzee Rupia,Mzee Bomani(RIP) hakutatupeleka popote afterall wote tunaelekea huko, we are not getting younger.Kumbuka hawa walipewa nchi wakiwa kwenye 20's, jiulize wewe at 25 ulikuwa na uwezo gani wa kuongoza, si ndo ulikuwa moto bati chini kila kukicha Disco (which is normal kwa kijana yeyote wa rika hilo)? FMES unapomsimanga Mzee Kahama kuwa ni fisadi in the same breath mbona humsifii basi Mzee Kawawa,Mzee Songambele,Mzee Nnauye na wengine ambao wamemalizia Uongozi wao katika umasikini tu? Mkuu FMES hebu jiangalie kwenye kioo huku ukijua kwamba ufisadi ni ufisadi tu hata kutazamia mtihani darasani ni ufisadi .Wasalaam.
Field Marshall, Jambo Afande! Jana nilikusoma Mkuu lakini nikawa sina buku ya kulipia internet cafe' nikashindwa kutoa majibu ya hoja yako.Leo nimebangaiza Kariakoo shimoni ndo mana niko jamvini.
Mkuu umehoji hoja yangu ya kuhusisha historia ya ufisadi na ukoloni. Ngoja nikukumbushe,kabla na mara baada ya uhuru kulikuwa na Kampuni kubwa sana nchi hii inaitwa Smith McKenzie,hawa ndo walikuwa biggest importers nchi hii,actually ndo predecessor wa RTC na Ugawaji(NDL),Je hii Smith McKenzie ilikuwa ina trade na nani? Kwenye mashamba ya mkonge,chai,kahawa,pamba ambayo ndo yalikuwa mainstay ya uchumi wa nchi nani walikuwa suppliers wa inputs na matumizi ya vibarua kama sukari ,mchele,viberiti,kaniki na sigara? Jibu la swali hili litakupa picha kamili ya mfumo wa uchumi aliojenga mkoloni na kuturithisha.
Mkulu Bishanga, heshima mbele sana:-
- Hii yako ni great thinking tena a very educative posts, lakini naomba kusema hivi wakoloni walikuwa wanatafuta malighafi za kurudisha kwao katika kuendeleza uchumi wao, na kuendeleza viwanda vyao kule Europe ni kweli walikuwa ni wezi wa mali zetu lakini hawakuficha nadhiri yao kwetu wananchi hata siku moja, tulikuwa watumwa wao kwa hiyo hatukuwa na sauti wala nguvu ya kuweza kubishana nao, infact walikuwa wamepewa nchi yetu legally kwa sheria za kimataifa,
- Uchumi alioujenga mkoloni ulikuwa ni kwa manufaa yake zaidi lakini sio kwa manufaa yetu, but siku zote alihakikisha kwamba na sisi tunafaidika na ule uchumi na kukidhi matakwa yetu kimaisha, hakuchukua kila kitu bila kuturudishia chochote, infact alijitahidi hata kutusomesha na kutupeleka kwao kupata elimu ya juu zaidi, as opposed na the thinking ya wanaoujenga uchumi wetu wa sasa, ambao they could careless na kuturudishia anything back, wao ni kupeleka nje tu huku wakisaidiwa na hawa mafisadi wachache wenye power kutoka kwenye kura zetu wananchi. Wanatuhadaa kwamba they care for our nation, lakiini matendo yao ni tofauti kabisa na maneno yao,
- Na besides, system ya uchumi iliyojengwa na wakoloni haina anything to do na ufisadi sugu uliokithiri sasa nchini kwetu, mafisadi watatu ambao ndio hasa kichwa cha huu ufisadi bongo ninashindwa kuamini kwamba chanzo chao ni system ya uchumi tulioachiwa na wakoloni miaka 45 iliyopita, wakoloni walikuwa wanajali na kuheshimu sana sheria, sisi toka awamu ya kwanza we never respected the rule of law kwa hiyo tukasahau kwamba freedom comes with a keen sense of responsibilities na haya ndio matokeo yake tuka-create ufisadi on our own.
- Wakoloni walikuwa wanajali sana kukusanya kodi, sisi we did not tuka-politicise kila kitu na ku-set agenda that had some worthy and convincing elements, lakini very in-adequate katika kweza ku-meet our future economics challenges as the results we are stuck na ufisadi. Siamini kwamba Wahindi ambao ndio wanaomiliki uchumi wetu sasa hivi wanaweza kushamiri katika kutufisadi, kama sio kwa msaada wa viongozi wetu wachache sana ambao ndio hasa chanzo cha ufisadi nchini.
- Lakini still you have a point, ingawa kwangu it is too vague na ni too general to cover fairly the root ya ufisadi nchini.
Respect.
FMEs!
Bosi, embu kuwa na adabu kidogo!
Sasa jiulize baada ya kutaifisha Smith McKenzie na kuanzisha SU zetu badala yake, je hizi SU mpya zili trade na nani? jiulize pamoja na nia njema ya Mwalimu (RIP) kubadili mfumo wa uchumi mwaka 1967 je alifanikiwa? kama alifanikiwa kwa nini lilitokea seke seke la uhujumu uchumi early 80's?, na kama hakufanikiwa ni kwa nini?
Kaja Mzee Mwinyi kafutilia mbali SU na Mzee Mkapa akamsaidia kuzishindilia lijisumari la mwisho je hii ilileta mabadiliko yoyote katika mfumo wetu wa uchumi? Kama haujabadilika na hali ya maisha ya Watanzania bado ni tia maji tia maji ili tufikie maisha bora kwa kila Mtanzania tufanye nini?
FMES nasema na ninasisitiza something radical lazima kifanyike katika kubadili mfumo wetu wa uchumi,lazima tujitengenezee utaratibu utakaotuhakikishia kuwa rasilimali zetu zinatusaidia sisi na sio vinginevyo,huu ndo utaratibu wa wote walioendelea,kuanzia bara Asia,Ulaya hadi Amerika.
Field Marshall,kuwatukana wazee wetu kama kina Mzee Kahama, Mzee Rupia,Mzee Bomani(RIP) hakutatupeleka popote afterall wote tunaelekea huko, we are not getting younger.Kumbuka hawa walipewa nchi wakiwa kwenye 20's, jiulize wewe at 25 ulikuwa na uwezo gani wa kuongoza, si ndo ulikuwa moto bati chini kila kukicha Disco (which is normal kwa kijana yeyote wa rika hilo)?
FMES unapomsimanga Mzee Kahama kuwa ni fisadi in the same breath mbona humsifii basi Mzee Kawawa,Mzee Songambele,Mzee Nnauye na wengine ambao wamemalizia Uongozi wao katika umasikini tu?
Mkuu FMES hebu jiangalie kwenye kioo huku ukijua kwamba ufisadi ni ufisadi tu hata kutazamia mtihani darasani ni ufisadi .Wasalaam.
Nothing personal Kamanda,what i meant ni ile ya Bwana Yesu kwamba anayetaka kurusha jiwe na ajiangalie mwenyewe nafsi yake kwanza,and that applies kwangu,kwa yeye na yule na wanajamvi wote.Binafsi sijui identity yako Kamanda and I am not in the business of speculating identities za Wadau,it does not suit me,raha ya JF ni uhuru wa kutoa mawazo yako without checking over your shoulder.Kama nimekukwaza kunradhi Kamanda,I salute!
- Whaaat! wow! wow! hold on there for aminute, unasema kuwaita mafisadi exactly what they are ni kuwatukana? Ohh yeah I am not getting younger lakini I m also not stealing from anybody,
- Yaani unasema kwamba age like 20-25 years wakiiba inapaswa kuwa legal defense kwenye mahakama zetu kwamba hawajui wanachofanya? Mkuu mbona ulianza vizuri sasa unaanza kuharibu tena, yes nikiwa na miaka 20-25 nimecheza Disco infact bado ninacheza mpaka leo, lakini sikumuibia mtu wala serikali katika kucheza Disco langu, now what that has to do na mafisadi?
- No! no! mkuu this point is out of the line, absolutely out! fisadi ni fisadi it does not come with age excuse, it is simply fisadi!
- Mkuu wrong number, tunaongelea mafisadi sio viongozi safi unaweza kuanzisha thread ya viongozi wetu saafi, lakini I am not so sorry mkuu hapa tunaongelea mafisadi, na ni wewe ndiye uliyeamua ku-cover their history, fisadi ni fisadi hatuwezi kuwaita anything else!
- Unajua I am looking forward, one day to have a serious discusions kuhusu our nation, bila kuishia mimi kuingizwa personal tena bila dataz wala facts, I can't wait for that day,
- Nijiangalie kwenye kioo for what matter comparing with ufisadi ambao ndio the main subject hapa on our nation? Sasa on the same token je wewe umejiangalia tayari au unafikiri hii ID inanidanganya kuhusu who you are? Majuzi tu umesema hutaki personal na mimi lakini since umekuwa ukijizungusha zungusha kama kinyonga vipi mkuu unataka kujadili taifa au mimi as a person?
I mean chagua moja mkuu, kusuka au kunyoa! Otherwise, angalau umejitahidi na serious points na education, mpaka huku mwishoni na sikulaumu sana maana nimegundua siku nyingi sana kwamba you can't help your self kama wengine wengi humu JF, inapokuja FMES. Sasa tuendelee kukata ishus muhimu kwa masilahi ya taifa, lakini please can we stick to the ishus badala ya mimi as a person?
Respect.
Field Marshall Es, ni Wazee wa Sauti Ya Umeme!
Nothing personal Kamanda,what i meant ni ile ya Bwana Yesu kwamba anayetaka kurusha jiwe na ajiangalie mwenyewe nafsi yake kwanza,and that applies kwangu,kwa yeye na yule na wanajamvi wote.Binafsi sijui identity yako Kamanda and I am not in the business of speculating identities za Wadau,it does not suit me,raha ya JF ni uhuru wa kutoa mawazo yako without checking over your shoulder.Kama nimekukwaza kunradhi Kamanda,I salute!
- Respect wakuu kikao kimeisha tayari, agenda zilikuwa mbili tu according to the dataz, nazo ni kusimamishwa kwa zoezi la utamaduni wa wajumbe wa CC kutembelea majimbo na maeneo ya uchaguzi nationally ambayo huwa tabled as kuhamasisha wananchi kwa ajili ya uchaguzi, na pili Kikao kilitakiwa kutoa baraka zake kwa mfumo mpya utakaotumiwa na CCM kupitia mtandao, yaani online au internet.
- Briefly, the dataz za kikao ni kwamba:-
1. Rais amesitisha zoezi la wajumbe wa kamati hiyo kusafiri mikoani kuhamasisha wananchi kuelekea uchaguzi mbali mbali unaokuja, tabia ambayo imekua ni utamaduni wa CCM kwa miaka mingi.
- Sababu iliyotolewa ni kwamba chama hakina pesa kwa sasa, lakini wajumbe wengi wa kikao hicho wametoka huko ndani wakiwa na hisia mbali mbali kuhusiana na uamuzi huo wa mkulu. Kuna hisia moja nzito ambayo haijathibitishwa kwamba mafisadi wameamua kukichezea chama ili kikwame kipesa, ikiwa ni kwa kuwashawishi wafadhili wake wakubwa kutokipa pesa as usual.
2. CC ilitakiwa kutoa baraka kwa zoezi jipya la kuanza kutumia mtandao kama nyenzo muhimu ya kuwasiliana na wananchi na wanachama wake katika kutekeleza ilani za chama hasa za uchaguzi na utawala. Kikao hicho kwa kauli moja kilitoa baraka hizo ambazo ni kufuatia matayarisho makubwa ambayo yamekua yakifanywa kwa muda mrefu sana sasa, kuelekea kwenye kuhamishia shughuli nzito za chama yaani CCM, kwenye mtandao,
- Pia itakumbukwa kwamba ni majuzi tu Chadema walikuwa wa kwanza kuanzisha rasmi njia hii ya siasa kwenye mtandao.
- Hakukuwa na hoja ya ufisadi period, wala kizaa zaa cha NEC iliyopita.
Respect Wakuu.
Field Marshall Es!
Field Marshall Es,
Mkuu nimekusikia.. lakini haya mahitimisho yamefikiwa baada ya Wapiganaiji kuingia mikoani au? maanake nashindwa kuelewa haswa lengo la kikao hiki kuzungumzia mambo kwa ujumla wakati kuna makundi ya watu, wilaya na hata mikoa yatakayonufaika zaidi..
- Mkuu kuna hisia nyingi among viongozi wa CCM, kuhusu uamuzi huu kwamba moja ya hisia hizo ni temporary kujikinga na njama za mafisadi kui-bring CCM to its knees kwa kuifungia njia za kupata hela kutoka wafadhili wake ili iwe tegemezi wake, kwa sababu sasa hivi CCM haina hela za kuwa-afford kuzunguka mikoani,
Kamanda Es!
Je, mafisadi wakiamua kukifadhili Chama, JK atawaruhusu wajumbe wazunguke mikoani?