- Whaaat! wow! wow! hold on there for aminute, unasema kuwaita mafisadi exactly what they are ni kuwatukana? Ohh yeah I am not getting younger lakini I m also not stealing from anybody,
- Yaani unasema kwamba age like 20-25 years wakiiba inapaswa kuwa legal defense kwenye mahakama zetu kwamba hawajui wanachofanya? Mkuu mbona ulianza vizuri sasa unaanza kuharibu tena, yes nikiwa na miaka 20-25 nimecheza Disco infact bado ninacheza mpaka leo, lakini sikumuibia mtu wala serikali katika kucheza Disco langu, now what that has to do na mafisadi?
- No! no! mkuu this point is out of the line, absolutely out! fisadi ni fisadi it does not come with age excuse, it is simply fisadi!
- Mkuu wrong number, tunaongelea mafisadi sio viongozi safi unaweza kuanzisha thread ya viongozi wetu saafi, lakini I am not so sorry mkuu hapa tunaongelea mafisadi, na ni wewe ndiye uliyeamua ku-cover their history, fisadi ni fisadi hatuwezi kuwaita anything else!
- Unajua I am looking forward, one day to have a serious discusions kuhusu our nation, bila kuishia mimi kuingizwa personal tena bila dataz wala facts, I can't wait for that day,
- Nijiangalie kwenye kioo for what matter comparing with ufisadi ambao ndio the main subject hapa on our nation? Sasa on the same token je wewe umejiangalia tayari au unafikiri hii ID inanidanganya kuhusu who you are? Majuzi tu umesema hutaki personal na mimi lakini since umekuwa ukijizungusha zungusha kama kinyonga vipi mkuu unataka kujadili taifa au mimi as a person?
I mean chagua moja mkuu, kusuka au kunyoa! Otherwise, angalau umejitahidi na serious points na education, mpaka huku mwishoni na sikulaumu sana maana nimegundua siku nyingi sana kwamba you can't help your self kama wengine wengi humu JF, inapokuja FMES. Sasa tuendelee kukata ishus muhimu kwa masilahi ya taifa, lakini please can we stick to the ishus badala ya mimi as a person?
Respect.
Field Marshall Es, ni Wazee wa Sauti Ya Umeme!