Uchaguzi 2020 CCM Kilimanjaro nendeni Dodoma na Mwanza mkajifunze namna ya kushawishi wananchi wahudhurie mikutano yenu

Mwanza na Dodoma ni watoto wa shule ya msingi ndo wanakua kwenye mikutano ya ccm bora hata kuko kilimanjaro ni wachache lkn ni watu wazima
Dodoma wakuu wote wa idara za serikali Tanzania nzima walikuwepo Dodoma kwa lazima
 
Hao walikuwa wahuni watu wa kule uwashawishi kwa vitu vinavyoonekana, siasa utakazofanya Dodoma Ni tofauti na Kilimanjaro watu wagumu Sana hawadaganyiki kule, so lazima uwashawishi vizuri same applied to Arusha

Mwanasisa yeyote ni muongo hata Ulaya na Amerika , Moshi kitu gani? Mjinga nani anauziwa maneno unaridhika. Tunazidisha ushabiki.
 
Mwanasisa yeyote ni muongo hata Ulaya na Amerika , Moshi kitu gani? Mjinga nani anauziwa maneno unaridhika. Tunazidisha ushabiki.
Tofautisha wanasiasa wa ulaya na Hawa wa Africa, ulaya watu wanasimamia masilahi ya raia huku wanasiasa wanaangalia matumbo yao, hovyo kabisa
 
Kilimanjaro ninayoijua Mimi,haiwezi kuingia kwa Mwanza hata kidogo ungezungumzia Arusha Ila sio huo utumbo wako .Tembea uone, acha kubweka[emoji2788] hovyo, kima wewe.
Tulia wewe watu walishaelimika toka enzi za ukoloni huko mwanza kwenyewe ustaarabu mmeletewa na watu wa moshi,[emoji12] bisha na hapo
 
unawasema wa makao makuu au kule ziwani ndio wanaolala na mifugo ndani?
 
Tulia wewe watu walishaelimika toka enzi za ukoloni huko mwanza kwenyewe ustaarabu mmeletewa na watu wa moshi,[emoji12] bisha na hapo
Ohooo..!😂 Kuna dalili za kubishana mpaka kesho hapa, Kilimanjaro haiwezi kulingana na Mwanza, labda tuzungumzie mbege🤔
 
Huko Mwanza na Dodoma si alikuwepo Rais ndio maana, Waziri Mkuu Hana ushawishi kivile
 
Tofautisha wanasiasa wa ulaya na Hawa wa Africa, ulaya watu wanasimamia masilahi ya raia huku wanasiasa wanaangalia matumbo yao, hovyo kabisa
Ukiwa upinzani wenye kutawala ni wapinzani, na ukiwa unatawala wanao kupinga ni upinzani.

Wakati wote kila mmoja anaona upande mwingine haufanyi vizuri kama yeye angekuwa madarakani.

Walioko madarakani wanaona upinzani ni watu wa maneno matupu na upinzani hauthamini kazi za wanaotawala muda huo.

Wao wana tuuzia kazi ambazo tunaona hazifai na sisi tunauza maneno ya kudhalilisha kazi wafanyazo.

Wana tuuzia kazi zao- tunaona hazifai.
Tunauza maneno - wanaona maneno matupu.

NANI ANADANGAYWA ? - MPIGA KURA.
 
Maafisa elimu washirikishwe.
 
Walishurutishwa, kwamba wasipoenda watafukuzwa shule au🤔?
Inasikitisha sana mkuu, halafu utakuta walimu ndio wa kwanza kuichagua ccm na kuitetea sijui uwa wanakua wamelogwa au vipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…