LESIRIAMU
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 9,006
- 14,536
Dodoma wakuu wote wa idara za serikali Tanzania nzima walikuwepo Dodoma kwa lazimaMwanza na Dodoma ni watoto wa shule ya msingi ndo wanakua kwenye mikutano ya ccm bora hata kuko kilimanjaro ni wachache lkn ni watu wazima