CCM kumchukulia hatua za kinidhamu mbunge Catherine Magige na wenzie kwa kuvamia msiba na kukosa utu

CCM kumchukulia hatua za kinidhamu mbunge Catherine Magige na wenzie kwa kuvamia msiba na kukosa utu

Malaya akaweke shada kaburini? Kahaba? Hawara? Apewe nafasi? Kmmk kweli yulee kahaba. Ndoa ni moja tu kanisa katoliki. Na wamemchekea kweli. Alitakiwa kulishwa mitama. Kulala na mume wa mtu ndo heshima?
Kumuita majina yote hayo hakusaidii kitu. Mwanaume ndio alimpenda na akalala nae. Hayo ya kanisa katoliki ni ya imani. Kuna tatizo gani yeye kuweka shada? Kunampunguzia nini Aziza? Au mnadhani kwa sababu kawwka shada ndio kutampa uhalali wa kudai urithi. Aziza kwa kufanya aliofanya ameonesha tu kuwa nae mshari. Asingefanya hivyo, angebaki na heshima yake na huyo nyumba ndogo ndie angeonekana mkorofi. Alitakiwa aonyeshe ukomavu wake lakini inaelekea ameshindwa. Sasa siku ya majonzi imegeuzwa ya kituko.

Amandla. .
 
Huyu mjinga analipwa 12,000,000 kwa mwezi na posho ya 340,000 ajili ya kugombea waume za watu? jinga kabisa hivi viti maalum vifutwe kutwa wanatafuta mabwana za watu.
Nadhani mlisikia juzi ya vick kamata
 
Kumuita majina yote hayo hakusaidii kitu. Mwanaume ndio alimpenda na akalala nae. Hayo ya kanisa katoliki ni ya imani. Kuna tatizo gani yeye kuweka shada? Kunampunguzia nini Aziza? Au mnadhani kwa sababu kawwka shada ndio kutampa uhalali wa kudai urithi. Aziza kwa kufanya aliofanya ameonesha tu kuwa nae mshari. Asingefanya hivyo, angebaki na heshima yake na huyo nyumba ndogo ndie angeonekana mkorofi. Alitakiwa aonyeshe ukomavu wake lakini inaelekea ameshindwa. Sasa siku ya majonzi imegeuzwa ya kituko.

Amandla. .
[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyo urithi atapewa huyo kahaba. Okey... we nawe sheria ya wapi hii unayoiongelea
 
Hujui ulisemalo. Huyo bwana kahama nyumbani mwaka Jana baada ya matokeo ya Kura. Na lilikua anakata roho alikuwa anaomba aitiwe mke wake aziza na alkua anamwonba msamaha, sijahadithiwa nilikuepo haponkwa Dr mohamed alipoingizwa kwenye chumba Cha sindano.
Lakini ni kwanini wale wapambe wa mbunge wavinje Ile gate, waingie msibani kwa nguvu, wamekuta ibada inaendelea hawakuheshimu Ile ibada mbunge akaweka shada... Halafu wakawa wanasema ccm hoyee na wapo na viongozi wa UWT? Kwanini waliingizwa mambo ya chama kwenye mambo binafsi???
Inawezekana kabisa yote unayosema ni sawa. Na kama alitaka kumuomba mke wake samahani ni dhahiri alijua yeye ndie amekosea. Hapo Catherine amehusikaje? Imani kuwa wanaume hawana akili ndio inayowafanya wafanye upumbavu kwa sababu wanajua siku zote mtawalaumu wanawake wenzake.

Kiafrika hatualikani kwenye msiba. Na mtu hakatazwi kumlilia marehemu hata kama walikosana. Kulikuwa hamna haja ya kufunga geti.
Umeharibu kwenye hilo la ibada kwa sababu wote tumeona kuwa aliweka shada walipoitwa majirani kuweka shada na sio wakati wa ibada. Kama unasema uongo kwa kitu kidogo kama hiki kwa nini tukuamini kwa hayo mengine.

Ukweli ni kuwa aliyedhalilishwa hapa ni marehemu. Kama kweli mlimpenda msinge ruhusu hali hiyo itokee.

Amandla...
 
[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyo urithi atapewa huyo kahaba. Okey... we nawe sheria ya wapi hii unayoiongelea
Sijasema Catherine atapewa urithi. Nilichosema ni kuwa kuweka kwake shada hakumfanyi awe mrithi. Mmempa kiki ya bure tu kwa vitendo vyenu. Kiki ambayo kiukweli hastahili.

Amandla...
 
Mwelezeee vizuri huyo. Maana inashangaza. Hata anveishi na huyo malaya kwa miaka kumi bado ni kahaba na hawara tu. Nashangaa miaka mitatu ameitoa wapi kwanza. Yet ndoa haijavunjwa. Mungu huwa ni mkali sana hasa kwa hawa malaya wa mjini. Sasa aendelee kubaki na hizo hati kimkute kitu. Na anapasqa kufunguliwa mashtaka kw akuinvade makazi binafsi ya familia za watu na kufanya uharibifu. Na hizo hati tunaenda kuchukua rb zimeibiwa halaf tukapige pection hapo kwake aseme kazitoa wapi. Akisema amepewa na marehemu atueleze ni sheria gani zinamrugusu kuwa na mali rena hatimiliki za mume wa mtu
Wakati mwingine mnasikitisha. Kwani Catherine kuwa na hati yenye jina la marehemu kutamsaidia nini? Hati iliyo kwa jina la marehemu kwake ni kama karatasi tu maana ni mali ya marehemu na itaingizwa kwenye mirathi yake ambako hana nafasi. Kazi ni kama marehemu aliibadilisha akamwandika Catherine. Hapo mtasumbuana. Ninacho washangaa ni kuwa sioni sababu ya nyinyi kuingia kwenye matope kushindana na Catherine. Mume wenu mmemzika basi mngeendelea na maisha. Kumtukana Catherine kwenye mitandao mnampa kiki ya bure na mwisho wa siku wote mtachafuka mbele ya jamii. Ni ushauri tu kutoka kwa mtu asiyewajua nyinyi wala Catherine.

Amandla....
 
Inawezekana kabisa yote unayosema ni sawa. Na kama alitaka kumuomba mke wake samahani ni dhahiri alijua yeye ndie amekosea. Hapo Catherine amehusikaje? Imani kuwa wanaume hawana akili ndio inayowafanya wafanye upumbavu kwa sababu wanajua siku zote mtawalaumu wanawake wenzake.

Kiafrika hatualikani kwenye msiba. Na mtu hakatazwi kumlilia marehemu hata kama walikosana. Kulikuwa hamna haja ya kufunga geti.
Umeharibu kwenye hilo la ibada kwa sababu wote tumeona kuwa aliweka shada walipoitwa majirani kuweka shada na sio wakati wa ibada. Kama unasema uongo kwa kitu kidogo kama hiki kwa nini tukuamini kwa hayo mengine.

Ukweli ni kuwa aliyedhalilishwa hapa ni marehemu. Kama kweli mlimpenda msinge ruhusu hali hiyo itokee.

Amandla...
Yaan unaenda kuomba msamaha msibani wakati mtu ana uchungu na jazba kibao? Ndo ilimpa uhalali w akuvunja mpaka mageti na kifanya uharibifu?

Na pole sana, kila familia ina haki na privacy ya mambo yao. Kama waliamua ni wnaafamilia tu makaburini mpaka wakagunga na geti huyo malaya nani alimpa kibali? Hivi unajua kama ni makosa kuvamia makazi binafai ya mtu? Kwamfano nikasema msiba wa mzazi wangu sitaki yeyote zaidi ya familia yangu ni kima gani ataingia kuzika? Madaraka ni dhamana sana aisee. Kama bado gajajifunza basi she will learn in a very hard way. Kama mpaka chama kimeona ana makosa nyie ni kina nani kutetea malaya. Cathe anatambulika wapi tafadhali tuelezee...
 
Sijasema Catherine atapewa urithi. Nilichosema ni kuwa kuweka kwake shada hakumfanyi awe mrithi. Mmempa kiki ya bure tu kwa vitendo vyenu. Kiki ambayo kiukweli hastahili.

Amandla...
Kiki ama amejichafulia? Yes marehemu amedhalilika kwakua amekua na tamaa. Na liwe funzo kwa wanaume wote muliobaki. Vipi kwa huyo hawara aliyebaki hai bado? Amejidhalilisha kiasi gani. Hivi unajua yule mke mstaarabu sana? Angekuja kwetu tumfurahishe japo kidogo. Mnatetea ujinga mukiacha watoto wanaumia.

Tumeona kabisa mtoto ndiye aliyemwambia mama yake pale kuhusu shada lile alaliondoe. Imagine kitoto kidogo vile. Ina maana wako aware na huyo kahaba aliyokya akiyafanyia familia yao na hasa mama yao. Mimi ningempa shoo kali. Ngoja nimiliki kwanza bastola. Halag tumia akili mkuu. Unanitia hasira
 
Yaan unaenda kuomba msamaha msibani wakati mtu ana uchungu na jazba kibao? Ndo ilimpa uhalali w akuvunja mpaka mageti na kifanya uharibifu?

Na pole sana, kila familia ina haki na privacy ya mambo yao. Kama waliamua ni wnaafamilia tu makaburini mpaka wakagunga na geti huyo malaya nani alimpa kibali? Hivi unajua kama ni makosa kuvamia makazi binafai ya mtu? Kwamfano nikasema msiba wa mzazi wangu sitaki yeyote zaidi ya familia yangu ni kima gani ataingia kuzika? Madaraka ni dhamana sana aisee. Kama bado gajajifunza basi she will learn in a very hard way. Kama mpaka chama kimeona ana makosa nyie ni kina nani kutetea malaya. Cathe anatambulika wapi tafadhali tuelezee...
Sisi yetu macho. Mnavyozidi kuchafuana ndio furaha ya wengi kwenye mitandao. Watawajaza upepo ili muendelee kurushiana matusi mpaka busara itakapowaingia. Mimi hicho chama sio changu kwa hiyo msimamo wake mimi haunihusu. Unawahusu nyie wanachama wake. Kwangu mimi chama kujiingiza ni kukaribisha kujipaka matope. Hamna atakayeibuka mshindi kwenye hii sakata.

Ni hayo tu. Nawaachia muendelee kufurahisha genge kwa kupomoresheana matusi.

Amandla...
 
Wakati mwingine mnasikitisha. Kwani Catherine kuwa na hati yenye jina la marehemu kutamsaidia nini? Hati iliyo kwa jina la marehemu kwake ni kama karatasi tu maana ni mali ya marehemu na itaingizwa kwenye mirathi yake ambako hana nafasi. Kazi ni kama marehemu aliibadilisha akamwandika Catherine. Hapo mtasumbuana. Ninacho washangaa ni kuwa sioni sababu ya nyinyi kuingia kwenye matope kushindana na Catherine. Mume wenu mmemzika basi mngeendelea na maisha. Kumtukana Catherine kwenye mitandao mnampa kiki ya bure na mwisho wa siku wote mtachafuka mbele ya jamii. Ni ushauri tu kutoka kwa mtu asiyewajua nyinyi wala Catherine.

Amandla....
Ngoja kwanza. Wewe ni mojawapo ya makahaba, chawa wa kahaba, malaya wa mjini ama mduguye na kahaba? Na atabadilishiwaje umiliki kwa mali za mume na mke walizochuma pamoja? Na hapo ndo atalapofurahishwa zaidi. Yaani kwa usalama wake ajisalimishe mapema tu. Si tumewaona kina klyn na kamata? Basi ajiandae. Kinachofurahisha zaidi ni kahaba hata sj mke wala nn. Ngojea utaona shoo
 
Sisi yetu macho. Mnavyozidi kuchafuana ndio furaha ya wengi kwenye mitandao. Watawajaza upepo ili muendelee kurushiana matusi mpaka busara itakapowaingia. Mimi hicho chama sio changu kwa hiyo msimamo wake mimi haunihusu. Unawahusu nyie wanachama wake. Kwangu mimi chama kujiingiza ni kukaribisha kujipaka matope. Hamna atakayeibuka mshindi kwenye hii sakata.

Ni hayo tu. Nawaachia muendelee kufurahisha genge kwa kupomoresheana matusi.

Amandla...
Wewe umechanganyikiwa nini? Nani amekuambia mimi ni chama chake? Mbona ni kama unaomba tusimsagie kunguni huyo kima? Yaan dozi ni pale pale. Na tunasubiria mirathi tuwafurahishe. Kabla ya mirathi kuna hili kwanza la vurugu. Inaelekea umetekwa na kahaba wewe si bure. Jiandae kufedheheka msibani kwako. Tutamtetea mkeo hata kama hatumjui
 
Kiki ama amejichafulia? Yes marehemu amedhalilika kwakua amekua na tamaa. Na liwe funzo kwa wanaume wote muliobaki. Vipi kwa huyo hawara aliyebaki hai bado? Amejidhalilisha kiasi gani. Hivi unajua yule mke mstaarabu sana? Angekuja kwetu tumfurahishe japo kidogo. Mnatetea ujinga mukiacha watoto wanaumia.

Tumeona kabisa mtoto ndiye aliyemwambia mama yake pale kuhusu shada lile alaliondoe. Imagine kitoto kidogo vile. Ina maana wako aware na huyo kahaba aliyokya akiyafanyia familia yao na hasa mama yao. Mimi ningempa shoo kali. Ngoja nimiliki kwanza bastola. Halag tumia akili mkuu. Unanitia hasira
Kama unapata hasira kiasi cha kutaka kuua mtu kwa sababu tu mtu kakushauri usichokipenda basi una matatizo. Ndio maana nilisema mkiwapa watu kiki na mambo yakaingia kwenye mitandao, wote mtapata maumivu.

Naona niachie hapo.

Amandla....
 
Huyu hana utofaut na nayule Wa Mzee mengi
Hapana, unakosea kumlinganisha Jackline ambaye aliolewa kihalali na Mengi. Sheria, Kanisa, Jamii na Familia vilikuwa vinamtambua Jackline kama mke halali na sasa ni mjane halali wa Mengi.

Shida imekuja kujitokeza kwenye wosia wa kurithi mali za Mengi, na hilo ni suala la kisheria kwa 100%, sio mambo ya kihuni yaliyofanywa na huyo kahaba anayeitwa Catherine Magige.
 
Back
Top Bottom