CCM kumchukulia hatua za kinidhamu mbunge Catherine Magige na wenzie kwa kuvamia msiba na kukosa utu

CCM kumchukulia hatua za kinidhamu mbunge Catherine Magige na wenzie kwa kuvamia msiba na kukosa utu

Ooh,hii nimeisoma hapa hapa kwa member mmoja huko nyuma anaedai alikuwepo Hospital wakati Marehemu analetwa Hospital kwa gari ya Crown nyeusi akashuka akiwa anapepesuka na kisha kuomba aitiwe Mkewe Aziza.Asante kwa sahihisho Mkuu [emoji1666][emoji1666]
Waongo kweli kweli. Najua Magige alikuwa njiani kwenda dodoma na msafara.
 
Wewe hata huyo mnaesema "mke" wa kwanza hakuna ndoa hapo kwa sheria za Kiislaam, nimechukulia kuwa Aziza alikuwa Muislam na Uislam hauruhusu mwanamke wa Kiislaam kuollewa na asie Uislam hususan Myahudi na Mkristo na naamini na Wayahudi na Wakristo nao ni hivyo hawaruhusiwi kuoa ambao si wa dini zao.


Kwa maana hiyo, zote hizo ni zinazaa Kiislaam na serikali imeridhia nazo kwa hiyo sasa wasijidai, au wazifute sheria zao wazifute sheria za dini lijulikane moaj.

Tusirembe wala tusijazane ujinga kwenye hili.

Hapo watu wanaoneshana nani mwenye dhambi zaidi, hakuna lolote ni wazinzi tu wote hao.
Mkatoliki anaruhusiwa kuoa ndoa mtu wa dini nyingine kwa sheria yao ya NDOA YA MSETO na ya mke mmoja. Hivyo kwa Aziza anatambulika kama mke halali wa marehemu. Ndoa ya Kikatoliki haivunjiki kirahisi. Ndio maana marehemu alipoona hali ya afya yake si nzuri alifanya toba kwa Padre na kurudishwa kundini, la sivyo asingezikwa kidini. Aziza hatujui msimamo wake kidini, je kama alibadili dini? Ila kidini na kiserikali Aziza ni mke halali wa marehemu na Carherine alikuwa girlfriend wake.
 
HAKI ZA WANAWAKE sijui mko wapi kumtetea Magige asionewe. Kwani sheria inasemaje mwanamke akikaa na mwanaume zaidi ya miezi 6
Hana haki. Kwanza sheria haisemi miezi 6 unapotosha, ni miaka miwili. Pili sheria hiyo inaelekeza kuwa hao wanaoishi pamoja wawe hawana ndoa ilio hai.
 
Mkatoliki anaruhusiwa kuoa ndoa mtu wa dini nyingine kwa sheria yao ya NDOA YA MSETO na ya mke mmoja. Hivyo kwa Aziza anatambulika kama mke halali wa marehemu. Ndoa ya Kikatoliki haivunjiki kirahisi. Ndio maana marehemu alipoona hali ya afya yake si nzuri alifanya toba kwa Padre na kurudishwa kundini, la sivyo asingezikwa kidini. Aziza hatujui msimamo wake kidini, je kama alibadili dini? Ila kidini na kiserikali Aziza ni mke halali wa marehemu na Carherine alikuwa girlfriend wake.
Muislam haruhusiwi kuolewa na asiye Muislam, kwa hiyo Aziza anachukuliwa anazini na anafanya kufuru na kama kaolewa nje ya Uislam na hataki kutubu, anachukuliwa kuwa kajitoa katika Uislam.

Hiyo sheria ya "mseto" ni ya biblia au ya nchi au ya kanisa hilo tu?
 
Hapa umedanganya! Ni jamaa mmoja aliyemtonya Aziza; Aziza ikabidi a confirm kwa shemeji yake aliyekuwa na marehemu hospitali.
Hapana, Sina interest yoyote kwenye hili swala, nilikuepo pale, marehemu aliletwa na crown nyeusi, akashuka anapepesuka Sana alkua na maumivu na alikua anamwambia yule dreva nijitie mke wangu aziza, alkua anasema nisamehe mke wangu KABLA hajakata roho. Sijahadithiwa, nilikuepo pale kwenye sindano. Kaka wa marehemu alifika pale na baada ya marehemu kuaga dunia, na alielezwa Yale akampigia simu huyo Aziza
 
Ooh,hii nimeisoma hapa hapa kwa member mmoja huko nyuma anaedai alikuwepo Hospital wakati Marehemu analetwa Hospital kwa gari ya Crown nyeusi akashuka akiwa anapepesuka na kisha kuomba aitiwe Mkewe Aziza.Asante kwa sahihisho Mkuu [emoji1666][emoji1666]
Uke ndo ukweli, na sijahadithiwa nilikuepo, na walikueponpia WATU wengine wakingoja huduma. Sina interests zozote na huyu bwana. Ukweli kazima usemwe. Kaka wa marehemu alifika pale tayari mdogo wake alishakata roho.
 
Hapana, Sina interest yoyote kwenye hili swala, nilikuepo pale, marehemu aliletwa na crown nyeusi, akashuka anapepesuka Sana alkua na maumivu na alikua anamwambia yule dreva nijitie mke wangu aziza, alkua anasema nisamehe mke wangu KABLA hajakata roho. Sijahadithiwa, nilikuepo pale kwenye sindano. Kaka wa marehemu alifika pale na baada ya marehemu kuaga dunia, na alielezwa Yale akampigia simu huyo Aziza
Acha upuuzi naweza kukueleza aliyemtaarifu Aziza. Muache kudanganya hapa JF. Shut up
 
Mwacheni....mbona kura huwa mnaibaga wote!!
 
Kama akina Mh. Catherine Magige walikwenda mazishini "KAMA CCM" basi nami naunga mkono wachukuliwe hatua kali na CCM. Lakini kama alikwenda "KAMA MCHUMBA ALIYECHANGANYIKIWA" basi naomba apewe ushauri nasaha na watu wenye uweledi na mambo hayo kama Dr. Chris Mauki na Mch. Mugogo!!!
Dr .. what!!!!???[emoji1]
 
Kutoka JF 2012

Wasifu wa ndani Mh. Catherine Magige na nia yake ya 2015​


Inasemekana hata hili jina analotumia sio lake....
Alinunua cheti cha Form IV kwa mwenye jina hilo ambaye ana udugu naye, yeye hakumaliza baada ya kutundikwa mimba na wajanja akiwa shuleni!
Inasemekana alipata chance hiyo kutokana na kuwa mke mdogo wa Waziri!
Kwa hiyo mhe. Waziri alimua kwenda bungeni akiwa na mke mdogo, akafanya mpango akafanikiwa.

Moderators wamei lock hio thread huwezi kukomenti

Catherine ruge atakuwa kawa konsalti[emoji1787][emoji1]
 
Mfumo zinaa upo kweli. Unahalalishaje 'ke na 'me waishio pamoja kwa miezi 6 au zaidi kuwa ni mke na mume!? Yaani hata kama mimi nina mke halali, kwa ndoa halali ya Kikristo,nikaishi na mwanamke mwingine kwa muda wa miezi 6 au zaidi,eti huyo "automatically" anakuwa mke wangu!!! Inakuwajee niwe na wake wawili!!???

Huko kwingine unakokwenda kulala na kumuacha mkeo ndani hata kama ni miezi kumi na miwili, unakwenda KUNGONOKA tu!!!
 
Unatetea upambafu ambao hata chama chako kimekemea. Aibu yako unatetea kahaba mwenzako.
Hakuna wadangaji waliobobea kama chadema
Nikikumbuka kina Tundu walivyomdangia lowasa nabaki tuu kujichekea hihiiiiiiiiiiiii
 
Tangu TCRA wamepandisha vifurushi naona umepigwa daflao maana fujo zako zoote hapa jamvini zimekwisha kudadadeeki.

Chakubanga naye hali ya kiuchumi ni tia maji tu maana lumumba katimuliwa.
Ahahahahaa tatizo mizunguko imekuwa mingi nilikua brunei kwa mara nyingine tena sijasahau zawadi yako ya bips zenye reflect ulisema ziwe na mistari ya njano eeh
 
Ahahahahaa tatizo mizunguko imekuwa mingi nilikua brunei kwa mara nyingine tena sijasahau zawadi yako ya bips zenye reflect ulisema ziwe na mistari ya njano eeh
Umerogwa wewe siyo bure.
Wakati huo zamu yako ya ulinzi ulimwachia nani?[emoji23][emoji23]
 
Mkatoliki anaruhusiwa kuoa ndoa mtu wa dini nyingine kwa sheria yao ya NDOA YA MSETO na ya mke mmoja. Hivyo kwa Aziza anatambulika kama mke halali wa marehemu. Ndoa ya Kikatoliki haivunjiki kirahisi. Ndio maana marehemu alipoona hali ya afya yake si nzuri alifanya toba kwa Padre na kurudishwa kundini, la sivyo asingezikwa kidini. Aziza hatujui msimamo wake kidini, je kama alibadili dini? Ila kidini na kiserikali Aziza ni mke halali wa marehemu na Carherine alikuwa girlfriend wake.
Hapana banaa, ni kahabaaa[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom