CCM kumnadi Mbowe Dodoma kiaina, kuna nini nyuma ya pazia?

Uongo na uzushi huu.
Mnateseka sana na propaganda.
Mzee wa Msoga na mama ni chanda na pete, ni marafiki
Nani kakudanganya watu wanaangalia future za watoto wao unadhani wakina rizmoko na January na wengineo kama mama anaendelea huoni kama foleni inazidi kuwa kubwa?
 
Acha fix, Dodoma kuna wajumbe wa mkutano mkuu wa CDM.
 
Kwa hiyo ujumbe wa CCM ulioalikwa kesho kutwa mkutano mkuu mtasema Mbowe kawaita waje kumpigia chepua - binadamu hakosi la kusema.
 
Labda hii ni katika kumuweka mwamba kwenye ramani?

View attachment 3204678

Kwamba mdahalo kala kona.

Hali ya uwanja haitamaniki.

Kwamba kipi kifanyike?

"Ama kweli rafiki wa kweli ni rafiki kwenye dhiki!"
Mbowe ndiye anayeweza kuleta balance ya mambo Lissu ni mwanaharakati tu.
 
Basi imekula kwao vibaya, wakaanze upya!
 
hii mbinu ni kuipasuapasua chadema, chadema wasikubali kusambaratishwa, wawe wamoja daima na mbowe akubali kushindwa

Labda kama sikio la kufa liliwahi kusikia dawa
 
Kwangu mimi sina shida sana na PICHA kwa kuwa ni kweli alifika IKULU kuonana na Mh Rais..suala ni atueleze ni nini hicho/hivyo ambavyo atafanya miaka hii mitano(5) ambayo hakuvifanya kwenye miaka 21 iliyopita
Ww ambayo unataka kufanya miaka 5 ijayo je inahusiana na miaka uliyo faulu au shindwa 21 yrs ago
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…