CCM kumnadi Mbowe Dodoma kiaina, kuna nini nyuma ya pazia?

CCM kumnadi Mbowe Dodoma kiaina, kuna nini nyuma ya pazia?

Uongo na uzushi huu.
Mnateseka sana na propaganda.
Mzee wa Msoga na mama ni chanda na pete, ni marafiki
Nani kakudanganya watu wanaangalia future za watoto wao unadhani wakina rizmoko na January na wengineo kama mama anaendelea huoni kama foleni inazidi kuwa kubwa?
 
Acha fix, Dodoma kuna wajumbe wa mkutano mkuu wa CDM.
 
Acha fix, Dodoma kuna wajumbe wa mkutano mkuu wa CDM.

GFfUGgLWkAAh9uE.jpeg
 
Kwa hiyo ujumbe wa CCM ulioalikwa kesho kutwa mkutano mkuu mtasema Mbowe kawaita waje kumpigia chepua - binadamu hakosi la kusema.
 
View attachment 3204682Ndani ya ccm kuna vita watu wa mama wanaona mbowe wanaweza kwenda nae sawa, wasio mtaka mama ndiyo wanao msapoti Lisu. Mashabiki wa Chadema wanacheza ngoma isiyo yao, Jiulize tu Lisu hakuwa na mpango wa kugombea uenyekiti imekuwaje ghafla kabadilika? Msisahau Lema ni kijana wa mzee wa msoga. Shida yote hii ni mama hatakiwi
Basi imekula kwao vibaya, wakaanze upya!
 
hii mbinu ni kuipasuapasua chadema, chadema wasikubali kusambaratishwa, wawe wamoja daima na mbowe akubali kushindwa

Labda kama sikio la kufa liliwahi kusikia dawa
 
Kwangu mimi sina shida sana na PICHA kwa kuwa ni kweli alifika IKULU kuonana na Mh Rais..suala ni atueleze ni nini hicho/hivyo ambavyo atafanya miaka hii mitano(5) ambayo hakuvifanya kwenye miaka 21 iliyopita
Ww ambayo unataka kufanya miaka 5 ijayo je inahusiana na miaka uliyo faulu au shindwa 21 yrs ago
 
Back
Top Bottom