CCM kumsifia Dkt. Slaa leo hii ni unafiki wa kiwango cha SGR

CCM kumsifia Dkt. Slaa leo hii ni unafiki wa kiwango cha SGR

Dr. Slaa ni mwanasiasa wa kweli.

Siyo mchumia tumbo kama akina Mbowe, Lissu na wenzao ambao kutwa kucha wapo pale kuangalia masilahi yao binafsi.

Dr. Slaa ana msimamo kwa kile anachokiamini, alifanya siasa za kisayansi siyo hawa wanasiasa wa leo ambao hawajui hata wanataka nini.

He's amongst true patriots and great politicians we have.
Kama kuna mtu amekutuma kuandika ulichoandika basi ametumwa mpumbavu.
Slaa huyu mlishasema hapo lumumba amepata mke wa mtu yaani mushumbusi mpaka leo wapo nae alishamrudisha yule mwanamke? Ukweli wake ni upi?
Slaa huyu mlishamtegea sijui binadamu sauti ili msikie usiku anaongea na nani juu ya ccm mpaka leo ana mkono mbovu umesahau?
Kusema kina mbowe wanatetea maskani yao kwa kuwa chadema huu ni upumbavu wenyewe sasa! Chama hakina ruzuku hizo pesa za kujaza hayo matumbo wanazitoa wapi?
Mrema alifunguliwa kesi 16 pale kisutu na ccm . Alipojiondoa NCCR na kujiunga na TLP/CCM ulishawahi sikia akitukanwa popote?
Acheni unafiki kama magufuli
 
Kama kuna mtu amekutuma kuandika ulichoandika basi ametumwa mpumbavu.
Slaa huyu mlishasema hapo lumumba amepata mke wa mtu yaani mushumbusi mpaka leo wapo nae alishamrudisha yule mwanamke? Ukweli wake ni upi?
Slaa huyu mlishamtegea sijui binadamu sauti ili msikie usiku anaongea na nani juu ya ccm mpaka leo ana mkono mbovu umesahau?
Kusema kina mbowe wanatetea maskani yao kwa kuwa chadema huu ni upumbavu wenyewe sasa! Chama hakina ruzuku hizo pesa za kujaza hayo matumbo wanazitoa wapi?
Mrema alifunguliwa kesi 16 pale kisutu na ccm . Alipojiondoa NCCR na kujiunga na TLP/CCM ulishawahi sikia akitukanwa popote?
Acheni unafiki kama magufuli
Mbowe ameshaacha tabia yake ya kudai rushwa ya ngono kwenye Ubunge wa Viti Maalum?
 
Nashangazwa sana na sifa za kinafiki CCM wanazoompa Dr. Slaa leo hii wakati ni CCM hawa hawa walimuita muongo na mzushi wakati alipokuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA.

Isitoshe, ni CCM hawa hawa kupitia serikali ya Kikwete, walimpiga Dr. Slaa virungu wakati wa maandamano ya CHADEMA mkoani Arusha na hata aliekuwa mchumba wa Dr. Slaa nae hakusalimika pamoja na wanachama na viongozi wengine wa CHADEMA.

Kama kuna mwenye ushahidi wa viongozi wa CCM na serikali yake kumsifia Dr. Slaa wakati yuko CHADEMA auweke hapa tuondoe ubishi.

Hata hivyo, muda umetusaidi kugundua kuwa Dr. Slaa naye hakuwa akipinga sera na matendo ya CCM kutoka moyoni, bali alikuwa akifanya vile kutetea kibarua chake kwani mpinzani wa kweli huwezi kurudi CCM wakati CCM ni ile ile kwa sera na matendo yako.

Angekuwa serious, angetafuta chama kingine lakini sio kwenda kutumia serikali ya chama kilekile alichokuwa anakipinga na hivyo hakuwa na tofauti na viongozi wa CHADEMA waliompokea Lowassa kama kweli hiyo ndio ilikuwa hoja yake kuu.

CCM acheni unafiki tena unafiki wa kiwango cha SGR katika swala hili. Msitufanye wajinga na hatuna kumbukumbu.
UNATARAJIA NINI KWA UBONGO HUU wampe UKATIBU MKUU
20211219_102505.jpg
 
Nashangazwa sana na sifa za kinafiki CCM wanazoompa Dr. Slaa leo hii wakati ni CCM hawa hawa walimuita muongo na mzushi wakati alipokuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA.

Isitoshe, ni CCM hawa hawa kupitia serikali ya Kikwete, walimpiga Dr. Slaa virungu wakati wa maandamano ya CHADEMA mkoani Arusha na hata aliekuwa mchumba wa Dr. Slaa nae hakusalimika pamoja na wanachama na viongozi wengine wa CHADEMA.

Kama kuna mwenye ushahidi wa viongozi wa CCM na serikali yake kumsifia Dr. Slaa wakati yuko CHADEMA auweke hapa tuondoe ubishi.

Hata hivyo, muda umetusaidi kugundua kuwa Dr. Slaa naye hakuwa akipinga sera na matendo ya CCM kutoka moyoni, bali alikuwa akifanya vile kutetea kibarua chake kwani mpinzani wa kweli huwezi kurudi CCM wakati CCM ni ile ile kwa sera na matendo yako.

Angekuwa serious, angetafuta chama kingine lakini sio kwenda kutumia serikali ya chama kilekile alichokuwa anakipinga na hivyo hakuwa na tofauti na viongozi wa CHADEMA waliompokea Lowassa kama kweli hiyo ndio ilikuwa hoja yake kuu.

CCM acheni unafiki tena unafiki wa kiwango cha SGR katika swala hili. Msitufanye wajinga na hatuna kumbukumbu.
Pia ieleweke Mbowe kumsifia Lowassa na kumkaribisha na akagombea Uraisi kupitia CHADEMA ni unafiki wa karne.

CHADEMA hiyo hiyo ilitumia kumchafua Lowassa kwa ufisadi wa kashfa ya RICHMOND tena mchana kweupe Bungeni na majukwaani nchi nzima.
 
Back
Top Bottom