CCM kumsifia Dkt. Slaa leo hii ni unafiki wa kiwango cha SGR

Kama kuna mtu amekutuma kuandika ulichoandika basi ametumwa mpumbavu.
Slaa huyu mlishasema hapo lumumba amepata mke wa mtu yaani mushumbusi mpaka leo wapo nae alishamrudisha yule mwanamke? Ukweli wake ni upi?
Slaa huyu mlishamtegea sijui binadamu sauti ili msikie usiku anaongea na nani juu ya ccm mpaka leo ana mkono mbovu umesahau?
Kusema kina mbowe wanatetea maskani yao kwa kuwa chadema huu ni upumbavu wenyewe sasa! Chama hakina ruzuku hizo pesa za kujaza hayo matumbo wanazitoa wapi?
Mrema alifunguliwa kesi 16 pale kisutu na ccm . Alipojiondoa NCCR na kujiunga na TLP/CCM ulishawahi sikia akitukanwa popote?
Acheni unafiki kama magufuli
 
Mbowe ameshaacha tabia yake ya kudai rushwa ya ngono kwenye Ubunge wa Viti Maalum?
 
UNATARAJIA NINI KWA UBONGO HUU wampe UKATIBU MKUU
 
Pia ieleweke Mbowe kumsifia Lowassa na kumkaribisha na akagombea Uraisi kupitia CHADEMA ni unafiki wa karne.

CHADEMA hiyo hiyo ilitumia kumchafua Lowassa kwa ufisadi wa kashfa ya RICHMOND tena mchana kweupe Bungeni na majukwaani nchi nzima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…