MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,252
- 8,003
CCM let's be matured, hii propaganda ya kumuita Tundu Lissu kibaraka wa mabeberu imebumba tutafute neno lingine zuri la kummaliza.
Kutumia hili neno hakujabadili kitu kabisa mtaani kila ninapopita sioni sehemu yeyote akiitwa Bebebru zaidi ya kuitwa Mkombozi, mimi sijui ni mkombozi wa nini.
Unamwitaje mtu kibaraka wa beberu wakati hakuna walichomtuma? Hatuna ushahidi ni vipi mabeberu wanatumia Lissu. Mbaya zaidi kila anachokiongea Lissu ni msumari kwetu maana anasema kweli tupu.
Anakotumaliza Lissu ni pale anakotuita sisi CCM mafisadi na wanyang'anyi tinamjibu vipi wakati maheka mengi ya Ardhi wastaafu wetu wanamiliki? Hakuna mahali ambapo tumewahi kusikia Lissu kaiba au kala cha mtu.
Kutumia hili neno hakujabadili kitu kabisa mtaani kila ninapopita sioni sehemu yeyote akiitwa Bebebru zaidi ya kuitwa Mkombozi, mimi sijui ni mkombozi wa nini.
Unamwitaje mtu kibaraka wa beberu wakati hakuna walichomtuma? Hatuna ushahidi ni vipi mabeberu wanatumia Lissu. Mbaya zaidi kila anachokiongea Lissu ni msumari kwetu maana anasema kweli tupu.
Anakotumaliza Lissu ni pale anakotuita sisi CCM mafisadi na wanyang'anyi tinamjibu vipi wakati maheka mengi ya Ardhi wastaafu wetu wanamiliki? Hakuna mahali ambapo tumewahi kusikia Lissu kaiba au kala cha mtu.