CCM kumuita Lissu kibaraka wa mabeberu haitusaidii. Watanzania ni waelewa sana

CCM kumuita Lissu kibaraka wa mabeberu haitusaidii. Watanzania ni waelewa sana

Kweli wewe nyumbu. Unalinganisha reli ya mkoloni na sgr kwa matumizi.
Reli ya mkokoni ilitumiwa na mwafrika?
We taahira kabisa. Matumizi ya reli ya mkolini yalikuwa nn n hii ya fisadi wenu ni nini? Idiot
 
Uvccm, uwccm, makada wote...nawapa soma..msiwewajinga kuwasakama wapinzani...kikibaki chama kimoja CCM mnapoteza ajira wote...hakutakua na katibu mwenezi, tisheti za bure, posho kwenye vikao vya chama, yani upumbavu wote unaowapa jeuri utafutika...kwanza hata awamu hii CCM haitoboi sijui nawashauri nini sasa....ila shtukeni
 
Watanzania wa kanda ya ziwa.
Ukiachana na tenda ilivyotolewa na kisha fedha kutolewa na mpwa wake meko. Uwanja wa Mwanza ambao uko eneo la kimkakati ulikuwa hautoshi?

Ndiyo kipaumbele chao? Watu bado wanachangia maji ya kunywa na ng'ombe uwajengee International Airport tena huko porini Chato wanaifanyia nini?

Tangu imejengwa kuna manufaa gani jamii inapata zaidi ya Meko kukaribisha madikteta wenzie hapo kijijini? Kuna route yoyote ya ndege inayopitia hapo?
 
CCM hii hoja ya Lissu kuwa wakala wa mabeberu haitawafikisha popote...

Hoja ambayo ingewatoa kimasomaso wana Lumumba ni kumsema na kumtangaza hadharani aliyemcharaza Lissu yale marisasi 16 ya hasira kali.

Ule umatii wote ungetoka kwa Lissu na kahamia kwa mgombea wao kwa kitendo hicho.

Na kiwe cha kweli si cha kisanii.
 
"..kama ni reli na madaraja hata wakoloni walijenga..." na Tundu Antipasi Lissu.

Watu wazima tunajua kuwa wakoloni walijenga miundombinu kwa ajili ya kupitisha mali ghafi kwenda kwao sio kwa maendeleo ya makoloni yao! Lissu Urais utapata tu huko Ubelgiji na sio Tanzania.
Kwa hiyo hizo Reli na Madaraja hao Wakoloni waliondoka navyo au sisi hatuvitumii?
 
Huyu muuaji na mtekaji wa watu hana sera. Mwaka huu ananyolewa bila maji.
 
Back
Top Bottom