Pre GE2025 CCM kunafukuta, mpasuko mkubwa waja kuelekea Oktoba 2025

Pre GE2025 CCM kunafukuta, mpasuko mkubwa waja kuelekea Oktoba 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
maskini,
ramli na ushirikiana vinawatesa hadi warembo dah,

yaani unawamention useless persons ndani ya CCM kwa ujasiri hivyo? mbona ni dhahiri huo ni ushirkina madam!šŸ’
Gentlemen hapo hawajatajwa Kinana, Makamba,Nnauye, Mndolwa, Kikwete japo ni ndumilakuwili, Rostam, ........ Kiufupi chama cha mafisadi lazima kipasuke.
 
Kwa hiyo wanakiri wazi kwamba mchakato mzima wa kumpitisha huyo wanayemwita mama yao ulikua ni wa kihuni na ulisisimiwa na wahuni?
 
Mkuu umevuka level ya uchawa, umekua kupe kabisa kaka au kiwavi jeshi masta... Hili umeandika kwa utafiti au hisia, masta??
Luhaga Mpina ni useless? Hana ushawishi jimboni kwake??? Wakati hata national level ana ushawishi wa kutosha.. Kwamba Warioba ni useless?? Asee
gentleman,
useless persons ndio pekee wanaweza kubabaika na useless individuals wasio na athari zozote za kisiasa popote nchini.
its wastage of time and energy :BASED:
 
Back
Top Bottom