CCM kunawaka moto, wakubwa waanza kulaumiana issue za Musiba, Mangula

CCM kunawaka moto, wakubwa waanza kulaumiana issue za Musiba, Mangula

Wananchi waliojiandikisha kupiga kura. Na hakuna mpiga kura mwenye akili ndogo ya kumpigia kura Tundu Lissu.
Wasema wewe, CCM tunakosea kutokuwa na watu weledi kwenye kujibu hoja. Chukua mfano wa debate huwa wanawekwa watu mahiri waojua kujenga hoja, tafuteni vijana wenye iq na mpangilio wa kujibu mashambulizi
 
Wasema wewe, CCM tunakosea kutokuwa na watu weledi kwenye kujibu hoja. Chukua mfano wa debate huwa wanawekwa watu mahiri waojua kujenga hoja, tafuteni vijana wenye iq na mpangilio wa kujibu mashambulizi
Unajibu personal illusions? Mfano nikwambie, Mbowe ndiye aliyempoteza Ben Saanane kwasababu kama msaidizi wake wa karibu alikuwa ana siri nyingi anazozijua kumhusu. Unaweza kujibu hili?
 
Kwanini serikali ikatae kufanya uchunguzi na kwanini mbowe asikamatwe kwa alichokifanya?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesema "alimpoteza". Kama wana makubaliano akakae nje ya nchi kwa muda fulani kuna kosa gani la kisheria? Hujui kuwa mke wa Ben Saanane ni Mhindi? Kama yuko ukweni kwa " makubaliano maalum" kuna kosa la kisheria hapo? Kwanini babaake na mke wake wako kimya? Uliishawahi kujiuliza hilo?
 
Hali tete kwenye viunga vya ccm. Taarifa za uhakika kutoka ofisi kuu ya chama hicho zinasema Wakubwa wanalaumiana na hata wengine kufikia hatua ya kukata tamaa. Utumikaji wa Musiba tokea mwanzo wa awamu hii, kumepelekea mpasuko mkubwa ndani ya chama hicho.

Kilichomtokea Mzee Mangula siku ya tarehe 28th Feb 2020 kinazidi kupigia msumari wa moto kwenye kidonda hicho, NEC wanasubiri taarifa 2, ya kwanza ni ile report ya kamati ya maadili iliyowahoji akina Membe, Kinana na Makamba kwa kuwa bado wanaCCM hawajaipata na kuisikia RASMI. Ripoti ya pili ni NEC wanataka kujua Mzee Mangula alipatwa na nini mle ndani hadi kupelekea kuitishwa maji kwa haraka na baada ya dakika chache kuitishwa Gari la Wagonjwa faster faster?

Kwanini hadi leo yule aliyepeleka maji hajahojiwa? Kwanini hadi leo hakuna ripoti ya madaktari inayosema mwili wa Mzee Mangula umekutwa na sumu? Sumu aina gani? Maji yaliitishwa na Dr Bashiru, alipeleka wapi?

Kesi ya Membe dhidi ya Musiba nayo inawatesa sana maana hawawezi kuingia uhuru wa mahakama, wanatakiwa ku

Mwaka 2015, tar 23 May, wanaCCM walianza rasmi kuchukua form za urais, kumbe siku zimeisha na CCM bado haijaipanga kwa uchaguzi ipo busy kutatua migogoro ndan ya chama chao iliyoletewa na akina Musiba kwa kutumika bila kujua madhara yake kwa chama.

Corona inaua, ni hatari sana. Tuchukue tahadhali kama tunavyoshauriwa na wataalamu wa Afya.

Mungu ibariki TANZANIA.

Ni mimi Dotro Shija
Meatu.
075434901

Mwaka 2015 may 23????????
 
Ndoto ya mchana mkuu msaliti Tundu hawezi kuwa Rais wa TZ milele mwambie akatafute kazi nyingine.
Mkuu ni kweli wananchi wa Tanzania ndo wanaamua nani awe rais Kama mtu mmoja alivyojibu humu ndani?
 
Subiri uchaguzi ufanyike utaona. Ila sijasema wenye exception kama wewe wa kumpigia Tundu Lissu hampo!!!
Mkuu nchi hii ina watu 55 + milioni Magufuli akipata kura milioni 8 meaning alipigiwa kura na watu milioni nane out of watu milioni 20 waliokuwa wamejiandikisha kupiga kura, wewe unaelewa nini hapo?
 
Mkuu nchi hii ina watu 55 + milioni Magufuli akipata kura milioni 8 meaning alipigiwa kura na watu milioni nane out of watu milioni 20 waliokuwa wamejiandikisha kupiga kura, wewe unaelewa nini hapo?
Hapo ninaelewa Rais Magufuli ndiye aliyepata kura nyingi kuliko wenzake na hivyo ndiye Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwani wewe nchi yenye watu milioni 55 wakajiandikisha milioni 20, wakaenda kupiga kura milioni 15 na akashinda wa milioni 8 unaelewa nini hapo?
 
Mangula alitaka kuondoshwa Na wenzake waliokuwa kwenye kile kikao, yaan ccm kuuana hawajaanza Leo.
 
Hivi nchi hii nani anaamua nani awe rais?
Watz! Naamini Watz hawawezi kumchagua msaliti wa nchi yetu Tundu. By the way amejitahidi sana kuona nchi inaingia kwenye matatizo lakini ameshindwa amezunguka kwa mabwana zake dunia nzima lakini hajafanikiwa usaliti wake!
 
Back
Top Bottom