Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Wananchi waliojiandikisha kupiga kura. Na hakuna mpiga kura mwenye akili ndogo ya kumpigia kura Tundu Lissu.Hivi nchi hii nani anaamua nani awe rais?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wananchi waliojiandikisha kupiga kura. Na hakuna mpiga kura mwenye akili ndogo ya kumpigia kura Tundu Lissu.Hivi nchi hii nani anaamua nani awe rais?
Cha kuchekesha, kuna watu watajifanya wameelewa alichoandika.
Wasema wewe, CCM tunakosea kutokuwa na watu weledi kwenye kujibu hoja. Chukua mfano wa debate huwa wanawekwa watu mahiri waojua kujenga hoja, tafuteni vijana wenye iq na mpangilio wa kujibu mashambuliziWananchi waliojiandikisha kupiga kura. Na hakuna mpiga kura mwenye akili ndogo ya kumpigia kura Tundu Lissu.
Unajibu personal illusions? Mfano nikwambie, Mbowe ndiye aliyempoteza Ben Saanane kwasababu kama msaidizi wake wa karibu alikuwa ana siri nyingi anazozijua kumhusu. Unaweza kujibu hili?Wasema wewe, CCM tunakosea kutokuwa na watu weledi kwenye kujibu hoja. Chukua mfano wa debate huwa wanawekwa watu mahiri waojua kujenga hoja, tafuteni vijana wenye iq na mpangilio wa kujibu mashambulizi
Kwanini serikali ikatae kufanya uchunguzi na kwanini mbowe asikamatwe kwa alichokifanya?Unajibu personal illusions? Mfano nikwambie, Mbowe ndiye aliyempoteza Ben Saanane kwasababu kama msaidizi wake wa karibu alikuwa ana siri nyingi anazozijua kumhusu. Unaweza kujibu hili?
Nimesema "alimpoteza". Kama wana makubaliano akakae nje ya nchi kwa muda fulani kuna kosa gani la kisheria? Hujui kuwa mke wa Ben Saanane ni Mhindi? Kama yuko ukweni kwa " makubaliano maalum" kuna kosa la kisheria hapo? Kwanini babaake na mke wake wako kimya? Uliishawahi kujiuliza hilo?Kwanini serikali ikatae kufanya uchunguzi na kwanini mbowe asikamatwe kwa alichokifanya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hajakuandikia wewe, sisi tumeelewa.Umeandika nini? Sijaelewa kabisa!
Peleka ushahidi PolisiUnajibu personal illusions? Mfano nikwambie, Mbowe ndiye aliyempoteza Ben Saanane kwasababu kama msaidizi wake wa karibu alikuwa ana siri nyingi anazozijua kumhusu. Unaweza kujibu hili?
Umesema CCM haina vijana wa kijenga hoja. Sawa. Wewe umejenga hoja hapo? Pumbavu!!!!!Peleka ushahidi Polisi
Hali tete kwenye viunga vya ccm. Taarifa za uhakika kutoka ofisi kuu ya chama hicho zinasema Wakubwa wanalaumiana na hata wengine kufikia hatua ya kukata tamaa. Utumikaji wa Musiba tokea mwanzo wa awamu hii, kumepelekea mpasuko mkubwa ndani ya chama hicho.
Kilichomtokea Mzee Mangula siku ya tarehe 28th Feb 2020 kinazidi kupigia msumari wa moto kwenye kidonda hicho, NEC wanasubiri taarifa 2, ya kwanza ni ile report ya kamati ya maadili iliyowahoji akina Membe, Kinana na Makamba kwa kuwa bado wanaCCM hawajaipata na kuisikia RASMI. Ripoti ya pili ni NEC wanataka kujua Mzee Mangula alipatwa na nini mle ndani hadi kupelekea kuitishwa maji kwa haraka na baada ya dakika chache kuitishwa Gari la Wagonjwa faster faster?
Kwanini hadi leo yule aliyepeleka maji hajahojiwa? Kwanini hadi leo hakuna ripoti ya madaktari inayosema mwili wa Mzee Mangula umekutwa na sumu? Sumu aina gani? Maji yaliitishwa na Dr Bashiru, alipeleka wapi?
Kesi ya Membe dhidi ya Musiba nayo inawatesa sana maana hawawezi kuingia uhuru wa mahakama, wanatakiwa ku
Mwaka 2015, tar 23 May, wanaCCM walianza rasmi kuchukua form za urais, kumbe siku zimeisha na CCM bado haijaipanga kwa uchaguzi ipo busy kutatua migogoro ndan ya chama chao iliyoletewa na akina Musiba kwa kutumika bila kujua madhara yake kwa chama.
Corona inaua, ni hatari sana. Tuchukue tahadhali kama tunavyoshauriwa na wataalamu wa Afya.
Mungu ibariki TANZANIA.
Ni mimi Dotro Shija
Meatu.
075434901
AsanteUmesema CCM haina vijana wa kijenga hoja. Sawa. Wewe umejenga hoja hapo? Pumbavu!!!!!
Watanzania wote umetupima akili then ukagundua ni sawa na za kwako?Wananchi waliojiandikisha kupiga kura. Na hakuna mpiga kura mwenye akili ndogo ya kumpigia kura Tundu Lissu.
Mkuu ni kweli wananchi wa Tanzania ndo wanaamua nani awe rais Kama mtu mmoja alivyojibu humu ndani?Ndoto ya mchana mkuu msaliti Tundu hawezi kuwa Rais wa TZ milele mwambie akatafute kazi nyingine.
Subiri uchaguzi ufanyike utaona. Ila sijasema wenye exception kama wewe wa kumpigia Tundu Lissu hampo!!!Watanzania wote umetupima akili then ukagundua ni sawa na za kwako?
Umeandika nini? Sijaelewa kabisa!
Mkuu nchi hii ina watu 55 + milioni Magufuli akipata kura milioni 8 meaning alipigiwa kura na watu milioni nane out of watu milioni 20 waliokuwa wamejiandikisha kupiga kura, wewe unaelewa nini hapo?Subiri uchaguzi ufanyike utaona. Ila sijasema wenye exception kama wewe wa kumpigia Tundu Lissu hampo!!!
Hapo ninaelewa Rais Magufuli ndiye aliyepata kura nyingi kuliko wenzake na hivyo ndiye Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwani wewe nchi yenye watu milioni 55 wakajiandikisha milioni 20, wakaenda kupiga kura milioni 15 na akashinda wa milioni 8 unaelewa nini hapo?Mkuu nchi hii ina watu 55 + milioni Magufuli akipata kura milioni 8 meaning alipigiwa kura na watu milioni nane out of watu milioni 20 waliokuwa wamejiandikisha kupiga kura, wewe unaelewa nini hapo?
Watz! Naamini Watz hawawezi kumchagua msaliti wa nchi yetu Tundu. By the way amejitahidi sana kuona nchi inaingia kwenye matatizo lakini ameshindwa amezunguka kwa mabwana zake dunia nzima lakini hajafanikiwa usaliti wake!Hivi nchi hii nani anaamua nani awe rais?