Sijijui JF-Expert Member Joined Jan 14, 2018 Posts 7,877 Reaction score 8,804 Apr 19, 2020 #61 magu2016 said: Watz! Naamini Watz hawawezi kumchagua msaliti wa nchi yetu Tundu. By the way amejitahidi sana kuona nchi inaingia kwenye matatizo lakini ameshindwa amezunguka kwa mabwana zake dunia nzima lakini hajafanikiwa usaliti wake! Click to expand... Sasa Kama ni watanzania huko kujiapiza kwako kunatokana na Nini? Maana mimi na watanzania wengine wengi akigombea tu urais 2020 kura zetu anazo
magu2016 said: Watz! Naamini Watz hawawezi kumchagua msaliti wa nchi yetu Tundu. By the way amejitahidi sana kuona nchi inaingia kwenye matatizo lakini ameshindwa amezunguka kwa mabwana zake dunia nzima lakini hajafanikiwa usaliti wake! Click to expand... Sasa Kama ni watanzania huko kujiapiza kwako kunatokana na Nini? Maana mimi na watanzania wengine wengi akigombea tu urais 2020 kura zetu anazo
Tusker Bariiiidi JF-Expert Member Joined Jul 3, 2007 Posts 5,551 Reaction score 2,153 Apr 19, 2020 #62 Huyu Jamaa nime-IGNORE
M magu2016 JF-Expert Member Joined Oct 8, 2017 Posts 8,027 Reaction score 7,115 Apr 19, 2020 #63 Sijijui said: Sasa Kama ni watanzania huko kujiapiza kwako kunatokana na Nini? Maana mimi na watanzania wengine wengi akigombea tu urais 2020 kura zetu anazo Click to expand... Atapata kura za wasaliti wenzake na mafida
Sijijui said: Sasa Kama ni watanzania huko kujiapiza kwako kunatokana na Nini? Maana mimi na watanzania wengine wengi akigombea tu urais 2020 kura zetu anazo Click to expand... Atapata kura za wasaliti wenzake na mafida
Twilumba JF-Expert Member Joined Dec 5, 2010 Posts 12,576 Reaction score 14,522 Apr 19, 2020 #64 magu2016 said: Umeandika nini? Sijaelewa kabisa! Click to expand... Utaelewa siku ukibadilia ID yako. Sent using Jamii Forums mobile app
magu2016 said: Umeandika nini? Sijaelewa kabisa! Click to expand... Utaelewa siku ukibadilia ID yako. Sent using Jamii Forums mobile app
Eng. Zezudu JF-Expert Member Joined Aug 23, 2012 Posts 8,024 Reaction score 11,546 Apr 19, 2020 #65 Mbona kama unaleta habari juujuu yani Sent using Jamii Forums mobile app
wa stendi JF-Expert Member Joined Jul 7, 2016 Posts 25,190 Reaction score 27,434 Apr 19, 2020 #66 Jana nimeona amelianzisha tena na mkuu wetu wa jei efu Viol said: Musiba atakuwa na mwisho mbaya sana ♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧ Click to expand...
Jana nimeona amelianzisha tena na mkuu wetu wa jei efu Viol said: Musiba atakuwa na mwisho mbaya sana ♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧ Click to expand...