CCM kupita kwa kishindo Unguja na Pemba ni ajabu la saba la dunia

Zanziba na hasa Pemba kulimshinda hata Mwalimu mwenyewe, hawa jamaa baana yaani wanajitekenya na kujicheka wenyewe!!!
 
Zanziba na hasa Pemba kulimshinda hata Mwalimu mwenyewe, hawa jamaa baana yaani wanajitekenya na kujicheka wenyewe!!!
Huyu ndiye alisema tusipoichagua CCM maendeleo hatupati na la kuwafanya hatuna
 
Inakujikana vizuri sana kwamba kule tunatawala kimabavu...

Na hilo halitakaa kuja kubadilika...



Cc: mahondaw
 
Kwani magamba mlishawahi kushinda uchaguzi wowote?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…