Zigi Rizla
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 1,064
- 1,107
Point ya kampeni ni kuvutia wapiga kura Sasa.... Hao madogo watapiga kura!! What's wrong with CCM! Really wanashida gani hawa watu?
Mkutano wa siasa Jumatatu kule Mwanza watoto wa shule wamejaa badala ya kua shuleni. Ikumbukwe watoto walirudi shuleni eti hakuna corona.
Hiki kitendo kilifanywa ili kuonyesha kua CCM wana wafuasi wengi na ni uongo.
Ni aibu. Inamaanisha CCM na magufuli ndio anajipenda kiasi cha kutaka kuchaguliwa ata kama itabidi watanzania kupoteza ni sawa tu bora magu afike. View attachment 1561855
Nyie ni WakoraKueni kama Kenya muamue shule ni 2021 na hio maneno iishie hapo sio kuzungusha watoto hadi hawajielewi. View attachment 1561858
Nimeona Tundu Lissu anajaza viwanja sana na hakuna maCanters/buses pembeniAti walikuwa wanajibu nyomi ya Cdm . [emoji16][emoji23][emoji1787]
Umepagawa wewe si bureePoint ya kampeni ni kuvutia wapiga kura Sasa.... Hao madogo watapiga kura!! What's wrong with CCM! Really wanashida gani hawa watu?
Mkutano wa siasa Jumatatu kule Mwanza watoto wa shule wamejaa badala ya kua shuleni. Ikumbukwe watoto walirudi shuleni eti hakuna corona.
Hiki kitendo kilifanywa ili kuonyesha kua CCM wana wafuasi wengi na ni uongo.
Ni aibu. Inamaanisha CCM na magufuli ndio anajipenda kiasi cha kutaka kuchaguliwa ata kama itabidi watanzania kupoteza ni sawa tu bora magu afike. View attachment 1561855
Tukiweka news za Tanzania mnakasirika mnasema hapa ni Kenya news tu [emoji23][emoji23][emoji23].Dogo anashangaa niko uwanjani wa Mpira nafanya nini badala ya kua shuleni. View attachment 1561856
Buda, shule zote Tanzania zipo katika mapumziko mafupi " Mid term break "Ni aibu kwa CCM. Uwanja umejaa watoto wa shule wakivaa sare za CCM na shule zimefungwa leo Mwanza. Huu Ni ushenzi uliotukuka. Kwanza hawa madogo wamekosewa haki na si wapiga kura. CCM mbona ninyi ni washenzi kiasi hiki!
Wewe tatizo lako ni watoto kwenda kwenye campaign au tatizo lako ni Tanzania kufungua shule 6 months ago while kunyans chokoraas are in streets?Kueni kama Kenya muamue shule ni 2021 na hio maneno iishie hapo sio kuzungusha watoto hadi hawajielewi. View attachment 1561858
Na hii inaonesha CCM itabaki sana kwenye fikra za watanzania, vizazi na vizazi.Ni aibu kwa CCM. Uwanja umejaa watoto wa shule wakivaa sare za CCM na shule zimefungwa leo Mwanza. Huu Ni ushenzi uliotukuka. Kwanza hawa madogo wamekosewa haki na si wapiga kura. CCM mbona ninyi ni washenzi kiasi hiki!
πππpale mgonjwa wa akili anapojaribu kudhibitisha.
shule zimefungwa mbung'o wewe.
Watoto nao wanataka kumwona JPM ni mtu wa namna gani. Kama vile ambavyo Zakayo ilimbidi apande juu ya mti kumwona Yesu, hata Magufuri kila mtu hupenda amwone kwa macho yakePoint ya kampeni ni kuvutia wapiga kura Sasa.... Hao madogo watapiga kura!! What's wrong with CCM! Really wanashida gani hawa watu?
Mkutano wa siasa Jumatatu kule Mwanza watoto wa shule wamejaa badala ya kua shuleni. Ikumbukwe watoto walirudi shuleni eti hakuna corona.
Hiki kitendo kilifanywa ili kuonyesha kua CCM wana wafuasi wengi na ni uongo.
Ni aibu. Inamaanisha CCM na magufuli ndio anajipenda kiasi cha kutaka kuchaguliwa ata kama itabidi watanzania kupoteza ni sawa tu bora magu afike. View attachment 1561855
Eti linasema pick a struggle, manyang'au yana hamu magu atosweWewe tatizo lako ni watoto kwenda kwenye campaign au tatizo lako ni Tanzania kufungua shule 6 months ago while kunyans chokoraas are in streets?
Eti tukae kama kunyans [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ninyi nyumbu muwe benchmark yetu watanzania? [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Maajabu
Yatasubiri sana, Magu is a magnetEti linasema pick a struggle, manyang'au yana hamu magu atoswe