Mikutano ya siasa Tanzania ni salama hata kwa watoto na sio Mara kwanza. 1995 tulikuwa watoto tunamfuata Mrema na Marando. Ila Kenya kila mwanasiasa na jeshi la wahuni maarufu kama jeshi la mzee. Sio sehemu salama kwa watoto kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.